Arma Jay

Arma Jay Arma Jay
ARTISTES FROM RDC CONGO
SUIS EN YOUTUBE INSTAGRAM FACEBOOK
(1)

Baada ya kusambaa kwa taarifa mbalimbali zilizo dai kuwa ndoa ya Bilnas na Nandy iko kwenye mgogoro mkubwa na mgogoro hu...
12/05/2026

Baada ya kusambaa kwa taarifa mbalimbali zilizo dai kuwa ndoa ya Bilnas na Nandy iko kwenye mgogoro mkubwa na mgogoro huo unasabaishwa na Billnass kumpangia mwanamke chumba mwanamke mwingine mitaa ya masaki

Inaonekana kuwa taarifa hizo huenda hazina ukweli wowote ule kwani siku ya leo Billnass amemsindikiza Nandy nchini Kenya wawili hao wameonekana kuwa na furaha iliyo pita kiasi

Mabibi na mabwana ni kwa mala nyingine tena Billnass na Nandy wame waprove wrong, watu wasio lipenda penzi lao ๐Ÿ‘‘

Jux amewahi kueleza kuwa wolper ndio mwanamke  star wa kwanza kudate nae jux anasema alimpenda sana wolper na wote wakap...
12/05/2026

Jux amewahi kueleza kuwa wolper ndio mwanamke star wa kwanza kudate nae jux anasema alimpenda sana wolper na wote wakapendana japo kwa kipindi hicho wolper tayari alisha kipata kwenye uigizaji wa filamu za bongo movie

Jux yeye ndio alikuwa ana jitafuta katika jukwaa la Muziki wa bongo fleva, jux alieleza kuwa penzi lao lilidumu ndani ya miaka miwili siku moja jux alishangaa kumuona wolper akiendesha gari ya thamani kubwa, Jux alipo muuliza wolper hii gari umetoa wapi, Wolper alijibu usijali mpenzi hii gari nimepewa na rafiki yangu wa kiume hana shida hata kidogo

Baada ya muda wolper aliendelea kupewa zawadi kubwa na siku moja alimfuata jux na kumwambia mimi nimepata mtu anae nipatia vitu vingi ninavyo hitaji ila nakupenda wewe kwahiyo wewe usinde baki na mimi tupendane kwa siri jux alijibu aah wolper hapo nimeshidwa mimi

Baadhi ya watu wamekuwa wakihoji kwanini Alikiba amefanya kazi na wasanii wakubwa waliotoka WCB yani Rayvanny na Mbosso ...
10/05/2026

Baadhi ya watu wamekuwa wakihoji kwanini Alikiba amefanya kazi na wasanii wakubwa waliotoka WCB yani Rayvanny na Mbosso lakini hafanyi na Harmonize?

Jibu ni moja tu Alikiba huwa hana urafiki na watu wa misifa na kiki, k**a ilivyo ngumu kwa Alikiba kufanya kazi na Diamond ndivyo itakavyo kuwa ngumu kwa Harmonize sababu hawa wasanii wanapenda kiki na misifa haendani nao.

Kudate na wasanii kazi sana, Harmonize anapo post kwenye akaunti yake ya instagram, Kajala mala nyingi amekuwa na utarat...
09/05/2026

Kudate na wasanii kazi sana, Harmonize anapo post kwenye akaunti yake ya instagram, Kajala mala nyingi amekuwa na utaratibu wa ku_comment kwenye post mbali mbali za Harmonize

Hizi picha unazo ziona ni picha halisi ambazo harmonize amepiga akiwa na Judith actress wakati wakishoot video ya wimbo wa Harmonize, kiukweli wawili hao wanaonekana kupendezana kupita kiasi

Lakini cha kushangaza hadi sasa kajala haja comment wala ku like post hii ya Harmonize akiwa na Judith actress, hata paula na yeye bado haja like wala kutoa comment yoyote ile unadhani shida nini hadi kajala na paula wafanye yote hayo? ๐Ÿ˜

Baada ya kuficha kwa muda mrefu, hatimaye msanii D Voice amefunguka hadharani na kuweka wazi hisia zake, akisema wazi: โ€œ...
08/05/2026

Baada ya kuficha kwa muda mrefu, hatimaye msanii D Voice amefunguka hadharani na kuweka wazi hisia zake, akisema wazi: โ€œNampenda Lulu Diva, Mungu amjaalie ajifungue salama.โ€

Kupitia tukio hilo, D Voice pia amempongeza mpenzi wake huyo kwa hatua kubwa aliyofikia ya kufungua biashara ya duka, akieleza kuwa ni mafanikio muhimu yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono.

Aidha, msanii huyo ameendelea kusisitiza upendo wake kwa Lulu Diva huku akimuombea kila la heri katika kipindi hiki cha ujauzito, akitamani ajifungue salama na kwa mafanikio.

Hafla ya uzinduzi wa duka hilo imefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo marafiki, mashabiki na wadau mbalimbali walihudhuria kushuhudia hatua hiyo mpya katika maisha ya Lulu Diva.

Utafanyaje hapo ili aje Kwa kitanda, nahitaji wanaume wa comments na wanawake wajibu majibu ya sitaki nataka๐Ÿ™„
08/05/2026

Utafanyaje hapo ili aje Kwa kitanda, nahitaji wanaume wa comments na wanawake wajibu majibu ya sitaki nataka๐Ÿ™„

Who is the best actress?Ni msanii Yupi unamkubali na anavutia zaidi?
07/05/2026

Who is the best actress?
Ni msanii Yupi unamkubali na anavutia zaidi?

Wangapi wanataka nirudie MEMKWA Next EPโค๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ™
07/05/2026

Wangapi wanataka nirudie MEMKWA Next EPโค๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ™

Wachache wata mtambua huyu Legend ๐Ÿ™Œ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
07/05/2026

Wachache wata mtambua huyu Legend ๐Ÿ™Œ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

๐Ÿ‘‘๐Ÿฆ…   ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท
07/05/2026

๐Ÿ‘‘๐Ÿฆ… ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท

Who is the best actor?Yupi kati yao ni msanii Bora wa muda wote?
04/05/2026

Who is the best actor?
Yupi kati yao ni msanii Bora wa muda wote?

Address

Klm
Lusaka

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Arma Jay posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category