12/05/2026
Baada ya kusambaa kwa taarifa mbalimbali zilizo dai kuwa ndoa ya Bilnas na Nandy iko kwenye mgogoro mkubwa na mgogoro huo unasabaishwa na Billnass kumpangia mwanamke chumba mwanamke mwingine mitaa ya masaki
Inaonekana kuwa taarifa hizo huenda hazina ukweli wowote ule kwani siku ya leo Billnass amemsindikiza Nandy nchini Kenya wawili hao wameonekana kuwa na furaha iliyo pita kiasi
Mabibi na mabwana ni kwa mala nyingine tena Billnass na Nandy wame waprove wrong, watu wasio lipenda penzi lao ๐