IsleBlog

IsleBlog House

👉DKT MWINYI AELEZEA MASHARTI ALOPEWA NA UINGEREZA NA MKWAMO ULIPO👇
13/05/2026

👉DKT MWINYI AELEZEA MASHARTI ALOPEWA NA UINGEREZA NA MKWAMO ULIPO
👇

Rais wa Zanzibar akiwa katika ziara ya kichama kisiwa Pemba ameelezea namna mipango ilivyo katika mradi wa ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Pemba ...

👉RAIS MWINYI WALIOHUSIKA KUHUJUMU FIDIA TUTAWACHUKULIA HATUA KALI👇
13/05/2026

👉RAIS MWINYI WALIOHUSIKA KUHUJUMU FIDIA TUTAWACHUKULIA HATUA KALI
👇

Rais Mwinyi amechukizwa na waliofanya hujuma kwenye malipo ya fidia na kuahidi kuchukua hatua kwa wote waliohusika. K**a bado hujasubscribe chana...

👉TAHADHARI NA MIGUU KUJAA MAJI👇
12/05/2026

👉TAHADHARI NA MIGUU KUJAA MAJI
👇

Dr. Kahabi anaelezea namna tunavyoweza kuepukana na ugojwa wa matende au miguu kujaa maji pamoja na mabusha, imezoeleka mbuu lakini sio mbuu peke...

👉MAMA ALIETUPA MTOTO MCHANGA AKAMATWA👇https://youtu.be/5NtMTRH098ESUBSCRIBE NOW
11/05/2026

👉MAMA ALIETUPA MTOTO MCHANGA AKAMATWA
👇
https://youtu.be/5NtMTRH098E

SUBSCRIBE NOW

Tukio la Kutupwa mtoto maeneo ya Kikwajuni Bondeni hati...

  UPDATES|| BILIONEA DANGOTE KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA MAFUTABilionea wa Nigeria Aliko Dangote amesema anafikiria kuje...
10/05/2026

UPDATES|| BILIONEA DANGOTE KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA MAFUTA

Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote amesema anafikiria kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta chenye uwezo wa kusafisha hadi mapipa 650,000 kwa siku nchini Kenya.Mradi unaokadiriwa kugharimu kati ya dola bilioni 15 hadi 17 za Kimarekani.

Kauli hiyo imeripotiwa na gazeti la Financial Times baada ya kufanya mahojiano na mfanyabiashara huyo tajiri barani Afrika, ambaye amesema kiwanda hicho kinaweza kujengwa mjini Mombasa kutokana na uwepo wa bandari kubwa na yenye kina kirefu.

Kauli ya Dangote imekuja siku chache baada ya Rais wa Kenya William Ruto kusema kuwa nchi za Afrika Mashariki zilikuwa zikijadili uwezekano wa kujenga kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta katika bandari ya Tanga nchini Tanzania.

Hata hivyo, Dangote alilinganisha bandari za Mombasa na Tanga akisema Kenya ina uchumi mkubwa na soko pana la walaji, huku akisisitiza kuwa uamuzi wa mwisho uko mikononi mwa Rais Ruto, na yeye yupo tayari kufuata mwelekeo ambao serikali ya Kenya itaamua.

👉KUTANA NA DAVIDO MACODE MUUZA NGUO BARABARANI👇https://youtu.be/7y0FpacXJt8?si=YD28ToPv6AL1BchkSUBSCRIBE NOW
09/05/2026

👉KUTANA NA DAVIDO MACODE MUUZA NGUO BARABARANI
👇
https://youtu.be/7y0FpacXJt8?si=YD28ToPv6AL1Bchk

SUBSCRIBE NOW

BODALETU imekutana na kijana Davido Macode Muuza nguo Kando ya barabara na kuingiza kipato kikubwa kwa siku. K**a bado hujasubscribe chanal yetu ...

  UPDATES|| TANZANIA, AFRIKA KUSINI WAIBUKA WASHIDNI KATIKA UTALII.Nchi kadhaa za Afrika zimeonesha ukuaji mzuri katika ...
09/05/2026

UPDATES|| TANZANIA, AFRIKA KUSINI WAIBUKA WASHIDNI KATIKA UTALII.

Nchi kadhaa za Afrika zimeonesha ukuaji mzuri katika sekta ya utalii, huku ikitarajiwa ukuaji huo kuendelea kwa kasi na kuongeza mchango katika uchumi na jamii licha ya changamoto mbalimbali duniani.

Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya Baraza la Utalii na Usafiri Duniani (WTTC) ijulikanayo k**a Travel and Tourism Economic Impact 2025, iliyowasilishwa katika mkutano wa baraza hilo unaofanyika ndani ya meli ya kitalii ya Crystal Cruises, iliyowasili leo Jumamosi Mei 9, 2026 katika Bandari ya Alexandria nchini Misri.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Afrika Kusini yenye asilimia 7.7 na Tanzania yenye asilimia 7.4 zimeongoza barani Afrika kwa kuvutia uwekezaji katika sekta ya utalii, zikiwa juu ya wastani wa dunia wa asilimia 3.8.

Aidha, Afrika Kusini, Tanzania na Kenya zimeonyesha mafanikio katika mapato yanayotokana na watalii kununua bidhaa na kuzipeleka nje ya nchi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii wa Tanzania, Dkt. Hassan Abbasi ni miongoni mwa washiriki wa mkutano huo.

👉MKUTANO MKUBWA WA DUNIA WCO ESA ZANZIBAR👇
08/05/2026

👉MKUTANO MKUBWA WA DUNIA WCO ESA ZANZIBAR
👇

TRA Mwenyeji Mkutano wa Shirika la Forodha Duniani Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika (WCO ESA) Zanzibar, zaidi ya wajumbe 100 kutoka nchi w...

08/05/2026

👉PBZ BANK NA HUDUMA MPYA YA LIPA HAPA TANZANIA NZIMA
👇

👉WANANCHI WAPAZA SAUTI KUPANDA KWA NAULI ZA BOTI👇
07/05/2026

👉WANANCHI WAPAZA SAUTI KUPANDA KWA NAULI ZA BOTI
👇

Wananchi wapaza sauti kuhusu kupanda kwa bei nauli za boti. K**a bado hujasusbscribe chanal yetu fanya hivyo sasa ili uwe wa kwanza kupata habari...

👉RAIS MWINYI KINARA UPIGAJI KURA WTA AFRIKA👇
07/05/2026

👉RAIS MWINYI KINARA UPIGAJI KURA WTA AFRIKA
👇

Zanzibar kuendeleza hatua za maendeleo katika sekta ya Utalii kufatia fursa zinazoendelea kumiminika Zanzibar zinazosogeza fursa kwa wananchi, Za...

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IsleBlog posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to IsleBlog:

Share