IsleBlog

IsleBlog House

12/06/2026

👉ZNZ KUJENGA SKULI ZENYE LIFTI ELIMU SAWA KWA WOTE

  UPDATES|| ZANZIBAR NA SINGAPORE  KUSHIRIKIANA KIUCHUMIRais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inaku...
10/06/2026

UPDATES|| ZANZIBAR NA SINGAPORE KUSHIRIKIANA KIUCHUMI

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inakusudia kuimarisha uhusiano na ushirikiano na Jamhuri ya Singapore kwa kuelekeza nguvu zaidi katika diplomasia ya uchumi, biashara na uwekezaji.

Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo alipofanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mhe. Tharman Shanmugaratnam, Ikulu Zanzibar alizikaribisha kampuni na wawekezaji wa Singapore kuwekeza Zanzibar katika sekta za uchumi wa buluu, utalii, nishati, teknolojia na kuongeza thamani ya mazao ya baharini na mwani.

Kwa upande wake, Rais Tharman Shanmugaratnam amepongeza hatua kubwa za maendeleo zinazofanywa Zanzibar na kuahidi kuhamasisha wawekezaji wa Singapore kuja kuwekeza Zanzibar.

Baada ya mazungumzo hayo, Rais Dkt. Mwinyi, alimwandalia mgeni wake, Rais Tharman dhifa ya chakula cha mchana iliyofanyika Ikulu Zanzibar.

👉*ZNZ DAY YAACHA GUMZO  KILIFAIR KWA UROJO*👇https://youtu.be/JLRWJO2hacM*SUBSCRIBE NOW*
07/06/2026

👉*ZNZ DAY YAACHA GUMZO KILIFAIR KWA UROJO*
👇
https://youtu.be/JLRWJO2hacM

*SUBSCRIBE NOW*

Kamisheni ya Utalii Zanzibar kinara viwanja vya maonesh...

👉*KUWA MTALAKA SIO KIGEZO CHA UMASIKINI MAMA OF ZANZIBAR*👇https://youtu.be/fQZLhkTQ2GY*SUBSCRIBE NOW*
07/06/2026

👉*KUWA MTALAKA SIO KIGEZO CHA UMASIKINI MAMA OF ZANZIBAR*
👇
https://youtu.be/fQZLhkTQ2GY

*SUBSCRIBE NOW*

Kipindi cha BODALETU imekutana na mwana mama mjane mwen...

 || Mamlaka ya Bandari ya Saudi Arabia (Mawani) Yafungua Njia Mpya ya Meli Kati ya Bandari ya Jeddah, India na DjiboutiM...
06/06/2026

|| Mamlaka ya Bandari ya Saudi Arabia (Mawani) Yafungua Njia Mpya ya Meli Kati ya Bandari ya Jeddah, India na Djibouti

Mamlaka ya Bandari ya Saudi Arabia (Mawani) imeanzisha huduma mpya ya meli inayoendeshwa na kampuni ya Emirates Shipping Line katika Bandari ya Kiislamu ya Jeddah. Huduma hii inaunganisha bandari hiyo kubwa zaidi ya Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu na Bandari ya Mundra nchini India pamoja na Bandari ya Djibouti, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhusiano wa kibiashara na huduma za usafirishaji (logistics).

Mawani imeeleza kuwa njia hiyo mpya itakuwa na uwezo wa kubeba hadi makontena 2,144 ya futi ishirini (TEUs).

Mamlaka hiyo iliongeza kuwa huduma hii mpya itaimarisha ufanisi wa mnyororo wa usambazaji (supply chain) na kurahisisha mtiririko wa biashara katika Bahari ya Shamu, ambayo ni moja ya njia kuu na zenye shughuli nyingi zaidi za baharini duniani.

Hatua hii ni sehemu ya mkakati wa Mawani wa kuboresha nafasi ya Saudi Arabia katika viashiria vya utendaji wa usafirishaji na lojistiki duniani, huku ikisaidia ukuaji wa mauzo ya nje ya nchi hiyo. Juhudi hizi pia zinaenda sambamba na malengo ya Mkakati wa Kitaifa wa Usafirishaji na Lojistiki wa Saudi Arabia, unaolenga kuifanya nchi hiyo kuwa kitovu cha lojistiki duniani kinachounganisha mabara ya Asia, Afrika, na Ulaya.

👉*HALI ILIVYO ZCT WADAU WAZUNGUMZIA MAFANIKIO WALIYOYAPATA KILIFAIR*👇https://youtu.be/PtKa5UjQA7M*SUBSCRIBE NOW*
05/06/2026

👉*HALI ILIVYO ZCT WADAU WAZUNGUMZIA MAFANIKIO WALIYOYAPATA KILIFAIR*
👇
https://youtu.be/PtKa5UjQA7M

*SUBSCRIBE NOW*

Wajumbe wa baraza la wakilishi kufikisha salamu za wada...

👉*KWA MARA YA KWANZA TRA ZNZ YAANZISHA MFUMO HUU MPYA WA KODI*👇https://youtu.be/jSI7qjf7f94*SUBSCRIBE NOW*
05/06/2026

👉*KWA MARA YA KWANZA TRA ZNZ YAANZISHA MFUMO HUU MPYA WA KODI*
👇
https://youtu.be/jSI7qjf7f94

*SUBSCRIBE NOW*

TRA Zanzibar yaelezea mfumo loyalty wa ushirikiano na t...

👉*KAMISHENI YA UTALII YAWAKOSHA WADAU WA UTALII ZNZ*👇https://youtu.be/pqZTuJhVraw*SUBSCRIBE NOW*
04/06/2026

👉*KAMISHENI YA UTALII YAWAKOSHA WADAU WA UTALII ZNZ*
👇
https://youtu.be/pqZTuJhVraw

*SUBSCRIBE NOW*

Kamisheni ya Utalii Zanzibar yafanya mabadiliko makubwa...

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IsleBlog posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to IsleBlog:

Share