Halinabwebwe

Halinabwebwe inajihusisha na sanaa

22/06/2024

Serikali ya Tanzania imezindua rasmi ujenzi wa majengo pacha Jijini Nairobi, Kenya yatakayotumika k**a ofisi za Ubalozi wa Tanzania Nchini humo na kitega uchumi ambapo hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi.

Ujenzi huo utafadhiliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF na kujengwa katika eneo la kibiashara katikati ya Jini la Nairobi kwenye eneo ambalo Serikali ya Kenya iliipa Tanzania kwa ajili ya kujenga ofisi zake za Ubalozi.

Akiongea katika tukio la uzinduzi huo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amesema mradi huo ni sehemu ya mkakati mpya wa Serikali kuhakikisha inatumia maeneo na majengo yake yaliyo ughaibuni kuingiza fedha za kigeni badala ya kutumia fedha za kigeni.

Amesema mkakati wa Serikali unataka kuiondoa Tanzania kutoka kutumia kiasi cha shilingi bilioni 29 kwa mwaka kulipa kodi kwenye Balozi zake ughaibuni na badala yake kuingiza kiasi cha shilingi bilioni 36 kwa mwaka k**a mapato ya uwekezaji k**a huo wa Kenya.

30/05/2024
Kheri ya miaka 59 ya mapinduzi matukufu zanzibar, tutaendelea kuyaenzi na kuyatunza
12/01/2023

Kheri ya miaka 59 ya mapinduzi matukufu zanzibar, tutaendelea kuyaenzi na kuyatunza

22/11/2022
Maisha yetu tumetofautiana hatuwezi kuwa sawa inatubidi tuweke hakiba ya maneno coz bdo tupo duniani tunaishi.
20/11/2022

Maisha yetu tumetofautiana hatuwezi kuwa sawa inatubidi tuweke hakiba ya maneno coz bdo tupo duniani tunaishi.

15/11/2022

Ndio maana unakuta wachezaji wana mzukaa๐Ÿ˜‚
mchezaji anafunga bao la kwanza anavua nguo,
Unakuta mchezaji anacheka mwenyewe uwanjani๐Ÿ˜๐Ÿ˜
waite NGADA FC.
Tunaomba FIFA itoe adhabu stahiki kwa viongozi kujihusisha na Uuzaji wa ngada๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ถ, ๐—ท๐—ถ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐˜ ๐˜†๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ, ๐—ต๐—ถ๐—ถ, ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ง๐Ÿ‘‰https://play.google.com/store/apps/details?id=mwananchi.daimaapp2

11/11/2022

Yule mwenye kusengenya, ajue naye atasengenywa, yule mwenye kutoa dosari na aibu ya mwenzie ajue naye zake zitatolewa na yule mwenye kutafuta aibu za wenzie azitoe ajue na yeye watu watatafuta za kwake. Shughulika na rekebisha aibu za nafsi yako kwasababu hizo ndio utaulizwa siku ya kiama, usipoteze muda kusaka dosari za wengine. Ijumaa Mubarak.

23/10/2022

Mwanzilishi na Mmiliki wa Kampuni ya Red Bull, Bilionea Dietrich Mateschitz, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Mateschitz (78) Mfanyabiashara maarufu duniani kutokea Austria anatajwa kuwa mtu tajiri kuliko wote nchini humo, ambaye alifanikiwa kujenga jina kubwa kwa kinywaji cha Red Bull.

Bilionea huyo pia ni mwanzilishi na mmiliki wa Kampuni ya Mashindano ya magari ya Formula 1 iitwayo Red Bull Racing.

Uongozi wa Formula 1 umemsifu kwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo huo na kusema kuwa ameacha alama ambayo haitofutika.

Maisha binafsi ya bilionea huyo aliyekuwa akiishi katika mji wa Salzburg hayakuweza kujulikana kirahisi, alikuwa mkimya na hakupenda kuhojiwa, aliwahi kusema kuwa alikuwa akinywa makopo 10 hadi 12 ya Red Bull kwa siku miaka ya nyuma.

Address

Zanzibar City

Telephone

+255777750874

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halinabwebwe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category