Richard's page

Richard's page Karibu sana katika huu ukurasa,humu tutayajenga yale yote yaliyobomoka hasa hasa yanayohusu kuijenga tanzania mpya na watu wake

17/08/2020

Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Dkt. John Pombe Magufuli leo Aug 17, anatarajia kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi katika Mkutano wa 40 wa SADC utakaofanyika kwa video kuanzia saa 5:00.

17/08/2020
17/08/2020

BREAKING NEWS : Watu 4 wamefariki dunia na wengine 6 wamejeruhiwa hii leo Agosti 17, 2020, kufuatia ajali ya gari iliyohusisha gari aina ya Costa baada ya kuangukiwa na Lori katika eneo la Nanenane mkoani Morogoro.

17/08/2020

“Gharama ya kipimo cha vinasaba (DNA) ni Shilingi Laki moja kwa mtu mmoja, kwa hiyo k**a wanaohitaji kupimwa ni Baba na Mtoto au Mama na Mtoto gharama ni shilingi Laki mbili” - Fideus Bugoye, Mratibu Kazidata ya Taifa ya Vinasaba vya Binadamu
(📸via Clouds Digital)

10/08/2020

Karibuni tujumuike tuupate ukweli tukiwa pamoja nategemea mchango wenu

06/08/2020
01/08/2020

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA imefuta kibali kilichokuwa kikiruhusu ndege za Shirika la ndege la Kenya kutua Tanzania.

01/08/2020

: kutoka DSM, ratiba ya shughuli ambayo ilitarajiwa kufanyika leo ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda kukabidhi ofisi rasmi kwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Aboubakar Kunenge imesogezwa mbele hadi Jumatatu August 03,2020 kufuatia RC Kunenge kubanwa na majukumu mengine ya Kitaifa ya ufunguzi wa maonesho ya Nanenane.

01/08/2020

Kutoka DSM, Leo August Mosi, 2020, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda anakabidhi ofisi rasmi kwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Aboubakar Kunenge.

28/07/2020

:Rais Mhe.Dkt.Magufuli amewasili mkoani Mtwara kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya rais mstaafu Marehemu Benjamin William Mkapa ambaye atazikwa kesho Lupaso Masasi mkoani Mtwara

Address

Tabora
UNYAMWEZI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Richard's page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share