Goldmattdj 121

Goldmattdj 121 Its goldmatt an upcoming. Artist with many things dont miss him in you tube "goldmatts"

True love saturday presents*I loved and i got betrayed*nilipenda na nikasalitiwa Nilifanya urafiki na watu na nikasaliti...
24/09/2022

True love saturday presents*I loved and i got betrayed*nilipenda na nikasalitiwa
Nilifanya urafiki na watu na nikasalitiwa,,kila nilichofanya kwenye maisha yangu sijawahi kufanikiwa iwe kwenye mahusiano au kwenye kazi nikamuuliza Mungu kwanini mimi tu? Kwanini utume watu wanaoishi kwa muda tu ndani ya maisha yangu,? Na nimekua mchango asilimia mia moja ni kwanini nafeli?
Unajua Mungu akajibu nini , akasema watu wote wale waliopita walikuja na kuondoka ili kunifundisha kujua thamani ya yule ambae atakaa milele ,, tunajuaa thamani ya ushindi baada ya kushindwa na kuusu marafiki muda utakuonyesha marafiki wa kweli na marafiki wasio wa kweli jinsi na kadri unavyopoteza watu ndivyo unavyoijuaa dunia ...usifurahie uzuni wa kupoteza watu ,, watu watakuja na kuondoka na utajifunza kila mwisho endelea kujiheshimu na kujipenda wewe kwanza
Brought to you by God's gift❤❤❤

TRUELOVE SATURDAY presents (A way to true love)Ikumbukwe kua mara ya mwisho tulijifunza kuusu mwanzo wa true love kwa ku...
25/09/2021

TRUELOVE SATURDAY presents (A way to true love)
Ikumbukwe kua mara ya mwisho tulijifunza kuusu mwanzo wa true love kwa kujua ni kitu gani na leo tunaanza mbinu ya kwanza katika ujenzi wa true love , 1.COMMUNICATION , hii ndio mbinu pekee sana katika kila uhusiano ambapo mawasiliano yanaitajika katika kuleta maelewanoo baina ya wapendanao unapopata mtu mwanzo kabisa mawasaliano yalitumika hili mpendane lakini pia ni njia ya kujenga ukaribu sana naeza kusema kwamba ni vyema mkaanza kupanga mambo mbali mbali , kujuana vizuri zaidi na piaa kufanya uhusiano ue imara hivyo basi baada ya kupendan na mtu tusiwaze sana vitendo pasipo kujua unachotenda ni sahihi au si sahihi all in all kwa siku ya leo napenda kusema communication first tukutane next week kwa mjadala zaidi dondosha comment au maoni au swali na utajibiwa asantw

TRUE LOVE  ❤❤❤SATURDAY presents A WAY OF TO TRUE LOVEWapendwa ni muda sana kusema nanyi...Siku hii ya leo nimewaletea nj...
11/09/2021

TRUE LOVE ❤❤❤SATURDAY presents A WAY OF TO TRUE LOVE
Wapendwa ni muda sana kusema nanyi...
Siku hii ya leo nimewaletea njia ya kufikia upendo wa kweli songa nami
K**a ulishaskia msemo usemao True love is not found rather it is built naimani utanielewa kiukweli watu wengi sana wanatafta kitu ambacho wanaweza kukitengeneza wao wenyewe .... wengi hutumia pesa, urembo, nk lakina upendo wa kweli ni ule ambao wahusika hukaa chini na kujipanga namna ipi na jinsi gani wanaweza kupendana bira shida wala vikwazo kwa kutumia mbinu mbali mbali k**a vile mawasiliano ambapo tunasema "heart to heart communication" na njia nyingine nyingi. Hivyo basi usikose jumamosi ijayo itakayoelzea namna wahusika ujenga uhusiano mzuri wa milele...mpenzi msomaji ubalikiwe sawa milele amen...peace and love ✌🏾❤ forever

Funny friday😂😂😂 emrgency"MITOTO MINGINE BHAHA"Umeenda nyumbani kwa mtu alafu unakutana na toto sumbufu balaa amjawahi ku...
20/07/2021

Funny friday😂😂😂 emrgency
"MITOTO MINGINE BHAHA"
Umeenda nyumbani kwa mtu alafu unakutana na toto sumbufu balaa amjawahi kuonana lakini limeshakuzoea unakuja mwenyewe labda umechomekea shati nini!! Linaanza kukurukia mara linavuta shati mpaka linachomoka .....mama ake anabaki " we junior embu mwache uncle" ...basi unafika unakaa sebuleni linaanza kukusumbua mara likupige kibao cha kushtukiza ulikua unaangalia zako mbele kwenye tv mara linakudandia mapajani ....unajibalaguza kuliambia aya nenda kwa mama ....linakutemea mate usoni na mama ake anacheka tu na kukwambia " nakwambia leo utakoma mimi hua nalifinya kisiri siri " sasa unakuta umeletewa chai na maandazi toto mbele yako linakuangalia umekuja kwetu kudoea wewe acha uroho linataka kuokota andazi kwakua mikono yake michafu unaamua kulimegea kipande halitaki linataka zima....haujakaa sawa vizuri limemwaga chakula kwa hasira masaa yanaenda kwenye tv muda wa habari..lenyewe kuweka cartoon...linaanza kulia kwa nguvu mama ake anasema aya embu liwekeeni makatuni yake kipindi icho unataman lipigwe balaa ujakaa sawa ishangae umepigwa na remote kichwani unageukua kwa hasira unakuta toto linacheka .......ngoja niishie apa ila k**a upo hivyo na mtoto wako watu hawapendi ujue

FUNNY FRIDAYS PRESENTS🤣🤣🤣"bangi si mchezo"Mlevi alimuuliza  mvuta bangi "eety india mbali?"Mvuta bangi kajibu "sina uhak...
27/05/2021

FUNNY FRIDAYS PRESENTS🤣🤣🤣"bangi si mchezo"
Mlevi alimuuliza mvuta bangi "eety india mbali?"
Mvuta bangi kajibu "sina uhakika ila inaonekana sio mbali sana maana kazini kwetu yupo muhindi anakuja na baiskeli"

TRUELOVE SATURDAY♥️♥️♥️ PRESENTS"LOVE YOUR HEART(PENDA MOYO WAKO)"Kalibuni tena wapendwa katika page yetu hii ,,,ningepe...
17/10/2020

TRUELOVE SATURDAY♥️♥️♥️ PRESENTS"LOVE YOUR HEART(PENDA MOYO WAKO)"
Kalibuni tena wapendwa katika page yetu hii ,,,ningependa ushare kwa wenzako ni magroup mengineili waweze nao kujifunza....
*******
Ifuatayo ni barua toka kwa moyo wako..
Mpendwa binadamu,,,,
Ni mimi moyo wako nasema nawe leo hii ,,nionee huruma ,embu fikilia basi nina kufanya uwe hai kila sekunde ipitayo sikuachi hata kidogo, silali na wala sipumziki kwa ajiri yako...lakini tazama unanipeleka kwa binadamu anaenitesa kwa matusi...dharau...kejeli na vitu vyote vibaya hanipi furaha yoyote😥😥 ...na ananiacha na makovu ya vidonda ...ingawa yote bado nipo nawe ...jiulize je nikikuacha itakuaje???...
Hautouona uhai tena...basi mpendwa binadamu tumia akili yako kunihurumi nami angalau..niwe na amani ya kufanya wwe usonge mbele...nakupenda
Ni mimi ,,moyo♥️
******
Ni kweli upende moyo wako umekufanyia mengi sana toka uzaliwe hujakuacha hata sekunde ila wamekuja watu wakakuacha...tena kwa kukuliz na machozi..dear LOVE YOUR HEART ✌♥️ stay blessed

TRUELOVE SATURDAY♥️♥️♥️ PRESENTS"TOFAUTI KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE"1.mwanamke akipata tatizo anataka dunia nzima ijue...
14/10/2020

TRUELOVE SATURDAY♥️♥️♥️ PRESENTS
"TOFAUTI KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE"
1.mwanamke akipata tatizo anataka dunia nzima ijuee lakin mwanaume akipata tatizo ni pambana na hali yako
-sasa apa unajuta mdada akipata kazi anataka dunia nzima ijue...akiumizwa na konda atataka dunia nzima ijue....yani yeye ni lipukaa ....kwa mwanaume yeye....ni akapata ni kunyamaza...
2.mwanamke madeko ,mwanaume mbabe.
- apa mwanamke anaweza sema anaumwa kichwaa sasa itabidi umpe maneno matamu sana ili kichwa kitulie unaambiwa hug ya dakika mbili tu kwa mwanamke inatoshaa kutuliza mauvivu ya kichwa ila mwanaume ni ubabe yani akija kachoka wewe kausha tu ukiongea usiongee sana mwisho aanze kukwepa na awe anarudi usikuu wa manane...ili kukwepa cheleani aisee ni balaa sa nyingine mwanamke anaweza ongea maneno yasio na maana ila wwe k**a mwanaume jikaze msikilize kabisaa hata k**a ni upuuzi yeye anaongea hivyo kupata attention na sio ufumbuzi..
******
Kwa leo naishiaa hapa....usikose makala hii ni tamu sana haswa kwa wanandoa na wale vijana wanaelekea uko .....share kwa wengine pia wafahamu.....peace love✌♥️be blessed ...happy nyerere day@ goldmatts

FUNNY FRIDAY 😂😂😂PRESENTS"LAUGHING DOUBLE DOUBLE"  Haya ticheke tena mie simoo**********Mke: mume wangu hivi kumvlisha ne...
10/10/2020

FUNNY FRIDAY 😂😂😂PRESENTS"LAUGHING DOUBLE DOUBLE"
Haya ticheke tena mie simoo
**********
Mke: mume wangu hivi kumvlisha neli mtoto kwa kiingereza unasemaje?
Mme: duh kweli nimeoa mke kilaza,unashindwa hata hiyo
Mke: basi mwenzangu kipanga unaejua ngeli nambie
Mme: yani unashidwa kusema kidnapping
********
Mzee: dereva ongeza sauti tumsikilize mwalimu nyerere
Dereva: ungemsikiliza mwalimu wako saiv ungekua na gari lako
*******
Polisi: hodi hodi
Jamaa: kimya
Polisi: hodi hodi
Jamaa: we nani kwani
Polisi: sisi ni polisi
Jamaa: mntaka nini?
Polisi : kuongea na wewe
Jamaa:kuongea na mimi?
Polisi: ndio
Jamaa: mko wa ngapi?
Polisi: tuko wa tatu
Jamaa: k**a mko wa tatu si muongee wenyew...
******* ukivmbisha mashavu utapata nn sasa cheka unenepe maisha ni mafupi..✌♥️....stay blessed

TRUELOVE♥️♥️♥️SATURDAY PRESENTS: "LONELYNESS/UPWEKE" Karibuni tena wapendwa katika kurasa yetu hii ..... leo nina mada a...
03/10/2020

TRUELOVE♥️♥️♥️SATURDAY PRESENTS:
"LONELYNESS/UPWEKE"
Karibuni tena wapendwa katika kurasa yetu hii ..... leo nina mada ambayo watu wengi itawagusa ...unajua kabisa upweke unamkuta kila mtu yani ..kuna kipindi kila mtu anakutenga au anakupuuzia kabisa ...na hata uonyeshe upendo namna ipi hakuna wakukufariji..poleeee saana
****
Basi leo nakifundisha kitu cha kufanya endapo ukajikuta katika hali hii kana kwamba ..hakuna anaekujali...awe familia,mchumba,rafiki ...na wengine wengi..
Embu jiulize ...umewaamini wote hao lakini wamekuacha mpweke leo kiukweli inaumiza na kuhuzunisha sana ... ila hakuna namna ya kumbadili binadamu...ndugu yangu cheka kidogo uujue ukweli
********
Kumbuka hata yesu walimtenga wengi sana lakini aliishi kwa amani...tazama alisali mwenyewe ...alitembea mwenyewe...hivyo iwe kwako ..Mungu anakupenda sana na ameamua kuwafanya watu wakutenge ili umpe nafasi yeye leo...amkaa bwna anza kuomba anza kusali ongea na Mungu k**a rafiki yako ... yeye hamgeuki mtu bali anamsikilizaa....waache watu wakutenge acha waende huenda sio walio sahihi..tembea na bwana ndugu...
*********
Peace love ✌♥️ be with you.....endelea kushare kurasa yetu tujifunze mengi...usikosee wiki ijayo STAY BLESSED

TRUELOVE SATURDAY ♥️♥️♥️presents FINDING HAPPYNESS(KUIPATA FURAHA) Karibuni tena wapendwa katika page yetu hii leo nalul...
19/09/2020

TRUELOVE SATURDAY ♥️♥️♥️presents FINDING HAPPYNESS(KUIPATA FURAHA)
Karibuni tena wapendwa katika page yetu hii leo naluletea mada isiyo ngeni kwako naiman utanielewa vyema basi songa nayo
*************
Kuna dada mmja aliekua katika vasi la kitajiri sana akaingia hospitali kuonana na daktari alipofika alimwambia kua yeye hawezi kuipata furaha basi daktari akamwita mama mmja mzee sana alitekua akasafisha pale wodini yule mama alipofika alimwambia dada yule tajiri stori yake...akasema" mimi nilipoteza kila kitu nilichokipenda sana kuanzia mume wake na pia mtoto wake na sikuweza kutoka nje hata siku moja nikawa najificha bila kua na furaha yeyote ila siku moja alitokea paka mmoja ambae alikua na njaa sana na hakua na pakwenda nikamwonea huruma nikamuingiza ndani ya nyumba yangu na kumlisha chakura kizuri nilishtuka sana alimaliza sahan nzima na baada ya apo akawa ananizunguka zunguka miguuni kiukwel nilifurahi sana hapo ndipo nilipoanza kuona mwanga wa furaha nikawa ninasaidia hadi majirani na mwisho furaha yangu ikarudi tena kutokana na matendo yangu" basi alipomaliza kusimulia kisa chake yule dada tajiri alishangaa sana na kutokwa machozi ingawa na pesa zake zote lakini hakuwahi kuipata furaha ila leo amepata siri ya furaha je ni ipi?
*******
Jamani wapenzi wasomaji siri ya furaha ni kutoa msaada na sio kupokea mama yule alipoteza furaha yake lakini ilirejea tena kutokana na msaada wake kwa viumbe hai hivyo nawe pia uliepita hapa jitaftie furaha yako kwa kutoa msaada kwa watu ✌♥️
************
Endelea kua nasi kujifunza mengi stay bessed
********** kwa wapenzi wa muziki pia burudani ipo kwa vizazi vipya vinavyoibuka
Pitia link apa uone maajabu ya kijana goldmatts anaejaribu kupenya ndani ya game la muziki toa support yako kwa kusbscribe ,kushare,like na comment👉
https://www.youtube.com/channel/UChmtNYSJUyPyieRLOy3Znlw

Emergence TRUELOVE SATURDAY ♥️♥️♥️ presents A RICHEST BOY IN THE WORLDNajuaa wengi mtashangaaa sana kwani hamjawahi kumw...
13/09/2020

Emergence TRUELOVE SATURDAY ♥️♥️♥️ presents
A RICHEST BOY IN THE WORLD
Najuaa wengi mtashangaaa sana kwani hamjawahi kumwona the richest boy in the world au kumskia basi leo nakufundisha utajiri ni nini twende wote...
*******
Kuna kijana alikua kwenye familia iliyo jiweza sana kifedha na yenye vitu vyenye thamani sana basi siku moja baba yake alimpeleka kwenye mahali ambapo waliishi maskini baada ya kuona mengi bab yake alimuuliza amejifunza nini yule kijana akasema " baba sisi tupo na kiwanja kidogo ila wao wanauwanja usio na kipimo, sisi tunataaa nyingi za garama lakini wao nyota zipo juu yao zisizo hesabika, sisi tumejenga fensi tusiivamiwe lakini wao hulindwa na marafiki zao, sisi tunanunua chakula wao wanazalisha"..baba yake akashangaa kisha kijana ak**alizia kua "asante sana baba kwa kunionyesha sis tulivyo maskini" duh baba wa yule kijanaa alishaangaa sana
****
Basi mpendwa msomaji katika dunia wengi hudhani kua na vitu vya thamani na furaha ni utajiri lakini kumbe wanajidanganya , utajiri wa kweli ule ambao umejaa UPENDO,URAFIKI na AMANI hivyo mtu akijifungia ndani na kudhan yeye ni tajiri katulia ni sawa na mfungwa ,,,wapendwa jiachieni inje ya ulimwengu tokeni muione dunia kwani ni ya kwenu
**** peace love✌♥️ true love is all matters in life thanks alot
PLEASE SHARE COMMENT AND LIKE
BE BLESSED

Welcome to my planet subscribe to my youtube channel
10/09/2020

Welcome to my planet subscribe to my youtube channel

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Goldmattdj 121 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Goldmattdj 121:

Share