Ahmad Machaku

Ahmad Machaku Hapaa unakutana na taarifa zinazinihusu na kuwahusu wengine, za kijamii, mada nk

 Morogoro : Wameshusha  Bei nguo zote. Hii na Kwa wadada na kina mama Bonge la offer kutoka kwa Mamy Eddo collection.Baa...
25/04/2026

Morogoro : Wameshusha Bei nguo zote. Hii na Kwa wadada na kina mama
Bonge la offer kutoka kwa Mamy Eddo collection.
Baada ya kuhamia kwenye Fremu nyingine Katika Soko kuu la Chifu Kingalu , Mamy eddo wameshusha bei karibu Kwa asilimia 50, Lengo la kutoa mzigo na kuingiza mzigo mpya.
wapo jengo la Chifu Kingalu Morogoro
Juu fremu namba A142
Hakikisha Usipitwe na Offer hii ya ambayo haijawahi kutokea Morogoro.

call: 0716185996
vaa pendeza tokelezea

Dukani kwetu  Morogoro Kuna mzigo mpya siku zote  Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea  kijanja. Unajua Mabegi ya   yapo...
22/04/2026

Dukani kwetu Morogoro Kuna mzigo mpya

siku zote Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea kijanja.

Unajua Mabegi ya yapoje?
​✅ Ni imara na yenye ubora wa hali ya juu.
✅ Bei zetu ni nafuu kulingana na ubora wake.
✅ Size zote zinapatikana kuanzia watoto wadogo hadi wakubwa.

​📍 Mahali Tulipo: Jengo la Mangesho, Mtaa wa Uhuru, Morogoro Mjini
📞 Mawasiliano: 0743 744 878
📲 Instagram:
​"Wahi sasa mzigo ni mpya na unawahi kuisha!"

Dukani kwetu  Morogoro Kuna mzigo mpya siku zote  Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea  kijanja. Unajua Mabegi ya   yapo...
22/04/2026

Dukani kwetu Morogoro Kuna mzigo mpya

siku zote Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea kijanja.

Unajua Mabegi ya yapoje?
​✅ Ni imara na yenye ubora wa hali ya juu.
✅ Bei zetu ni nafuu kulingana na ubora wake.
✅ Size zote zinapatikana kuanzia watoto wadogo hadi wakubwa.

​📍 Mahali Tulipo: Jengo la Mangesho, Mtaa wa Uhuru, Morogoro Mjini
📞 Mawasiliano: 0743 744 878
📲 Instagram:
​"Wahi sasa mzigo ni mpya na unawahi kuisha!"

Leo ni Jumanne k**a kawaida yetu,  .icecream.parlour bado Tupo na Ile offer ya Kila Jumanne . Nunua hii moja upate moja ...
14/04/2026

Leo ni Jumanne k**a kawaida yetu, .icecream.parlour bado Tupo na Ile offer ya Kila Jumanne .

Nunua hii moja upate moja nyingine
.icecream.parlour Bado wanahakikisha wanakupa huduma zilizo Bora kabisa ambazo hupati popote ispokuwa ni hapa tu.

Njoo Sasa na Watoto wako wapate Shangwe wakiwa na Watoto wenzao wakifurahi pamoja

walete Sasa huku wafurahie ladha halisi ya ice cream tamu za viwango kutoka hapa .icecream.parlour

📍 Tupo Boma Road, Mbele ya KCB Bank
⏰ Tupo Wazi kila siku: Saa 7 mchana – Saa 5 usiku*
📞 0658929299

Uongozi wa  Unawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka Wakristo na watanzania wote
05/04/2026

Uongozi wa Unawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka Wakristo na watanzania wote

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro kupitia UWT  Mh. Lucy Simirya Kombani  , Anawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka . T...
05/04/2026

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro kupitia UWT Mh. Lucy Simirya Kombani , Anawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka . Tusherehekee Kwa Amani , Upendo na Utulivu .

Salam za Pasaka kutoka kwa Mkurugenzi wa   Dr. Jamillah Hassan Miyonga   anasema " Nawatakia wakristo wote heri ya Sikuk...
05/04/2026

Salam za Pasaka kutoka kwa Mkurugenzi wa Dr. Jamillah Hassan Miyonga anasema

" Nawatakia wakristo wote heri ya Sikukuu ya Pasaka . Tusherehekee kw Upendo na Amani
Dr . Miyonga

Pasaka Pasaka Pasaka Pasaka. Pasaka hiyoo kwenye Kona. Sisi Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea katika mtoko wa sikukuu...
31/03/2026

Pasaka Pasaka Pasaka Pasaka.
Pasaka hiyoo kwenye Kona.
Sisi
Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea katika mtoko wa sikukuu hii ya pasaka na kiatu Cha kijanja. Ndiyo sikukuu Around the Corner
Unajua Viatu vya vipoje?
​✅ Viatu ni imara na vyenye ubora wa hali ya juu.
✅ Bei zetu ni nafuu na zinatofautiana kulingana na hitaji lako.
✅ Size zote zinapatikana kuanzia watoto wadogo hadi wakubwa.

​📍 Mahali Tulipo: Jengo la Mangesho, Mtaa wa Uhuru, Morogoro Mjini
📞 Mawasiliano: 0743 744 878
📲 Instagram:
​"Wahi sasa mzigo ni mpya na unawahi kuisha!"

siku zimekwisha. Jambo limefika Sasa  . Ni jumamosi hii pale Mt. Uluguru Hotel .   Mgeni Rasmi ni Mbunge wa wote , kipen...
23/03/2026

siku zimekwisha. Jambo limefika Sasa . Ni jumamosi hii pale Mt. Uluguru Hotel .


Mgeni Rasmi ni Mbunge wa wote , kipenzi Cha wanawake wa Morogoro Mh. Lucy Kombani Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro kupitia UWT

Wanawake mnataka Nini Tena mwaka huu . unazijua wewe
kata Tiketi yako Kisha kitu ni Mt. Uluguru Hotel jumamosi 28 March 2026.
Haina Dharula

jipatie Tiketi yako Sasa Kwa
Tshs:70,000/= VIP na
Tshs:40,000/= kawaida

ni wakati wa
Kuserebuka Kujiachia na kuongeza mahusiano mapya.
Tunasema new Connection
NondozaLucykombani hakikisha huzikosi.

womentogether2026 imedhaminiwa na





cc
call: 0659330565 /0717707807

Duka Bora la Viatu Mkoani Mororogoro Guchi Store  Morogoro  hawajawaji kuwaacha wanawake wa Morogoro .Na ndiyo maana msi...
13/03/2026

Duka Bora la Viatu Mkoani Mororogoro Guchi Store Morogoro hawajawaji kuwaacha wanawake wa Morogoro .
Na ndiyo maana msimu huu Tena wapo nao bega kwa bega Tena.

Guchi Store wanakwambia ukifika Dukani kwao Masika,wewe nenda tu Bei yako basi. Hukosi kiatu kwao. Kwa sababu wO wapo Kwa ajili ya wote.
Asanteni sana Guchi Store Morogoro nyinyi ni Bora muda wote.
wewe mwanamke wa Morogoro , Fika Sasa Guchi Store jipatie viatu vyako Bora kabisa Kisha tukutane Midland Hotel ukajipatie Fursa na Burudani za nguvu kabisa .

jipatie Tiketi yako Sasa Kwa
Tshs:70,000/= VIP na
Tshs:40,000/= kawaida
ili uungane na wanawake wenzio wa Morogoro pale Midland Hotel Msamvu 28 March 2026 jumaamosi

Mgeni Rasmi ni Mh. Lucy Kombani Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro

Wanawake wa Moro na maeneo ya jirani , Muda wenu Sasa umefika.
Kujiachia na kuongeza mahusiano mapya.
Tunasema new Connection
hakikisha huzikosi.

imedhaminiwa na


na


cc
call: 0659330565 /0717707807

11/03/2026

MSIMU MPYA WA SIKUKUU , Morogoro tunauanza na Chimbo jipya kabisa la viatu vya watoto.
Ndiyo ni chimbo jipya katika Maduka mapya kabisa.
Hawa Sasa ndiyo wakali wa viatu vya watoto hapa Town

ni Morogoro , wanauanza msimu wa SIKUKUU na mzigo mpyaaa kabisa.
wamefungua Mzigo mpya wanakusubiri wewe tu mzazi na mlezi .

Wapo Mtaa wa Uhuru katika jengo la Mangesho
wanatazama barabara inayoelekea Boma Road
Wewe mzazi weweee usingoje mzigo ukate
wahi Sasa Kwa maandalizi ya sikukuu kwa mtoto
wasiliana nao:
sim: 0743 744 878
insta :
Mwanao atavaa kiatu kikali kwa Bei Rahisi zaid

Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Morogoro kupitia UWT  ambaye pia ni Mjumbe wa k**ati ya ustawi na maendeleo ya jamii ya Bunge...
08/03/2026

Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Morogoro kupitia UWT ambaye pia ni Mjumbe wa k**ati ya ustawi na maendeleo ya jamii ya Bunge Mh. Lucy Kombani , anawatakia heri wanawake wote katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani.

"Mwanamke ni tunda la matumaini , akitolewa Kwa heshima , Jamii inapata mustakabali Bora."

cc

Address

Morogoro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ahmad Machaku posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Ahmad Machaku:

Share