Ahmad Machaku

Ahmad Machaku Hapaa unakutana na taarifa zinazinihusu na kuwahusu wengine, za kijamii, mada nk

 wanatuambia hivi ,Tar 6.6.2026 Tuungane kwenye  Burudani Kubwa ya COMEDY SHOW itakuwa pale Ottoland Hotel Morogoro, Hak...
02/06/2026

wanatuambia hivi ,
Tar 6.6.2026 Tuungane kwenye Burudani Kubwa ya COMEDY SHOW itakuwa pale Ottoland Hotel Morogoro, Hakikisha Haukosi.

Baada ya show Tutaungana na kwenye Tour ya Pugu. Comedy + Tours = Full Enjoyments

Tutaungana na Celebrity MbaliMbali akiwemo ,

Jumatatu ya Leo k**a kawaida yetu  .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora.  Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Morogoro...
01/06/2026

Jumatatu ya Leo k**a kawaida yetu .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora. Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Morogoro unazipata .icecream.parlour Boma Road
icecream.parlour Tunahakikisha unaianza week ukiwa fresh kabisa.
ianze Week yako na uhakikishe inaenda powa kabisa Kwa kukupa Furaha kamili ya Icecream Bora kabisa wewe na wale uwapendao.

Njoo Leo tuenjoy pamoja tukiiqnza week fresh kabisa

Watoto wako upo nao sambamba, walete Sasa huku wafurahie Msimu huu wa likizo Kwa ladha halisi ya ice cream tamu za viwango kutoka hapa

📍 Tupo Boma Road Morogoro, Mbele ya KCB
⏰ Tupo Wazi kila siku: Saa 7 mchana – Saa 5 usiku
📞 0658929299

01/06/2026

Usiku wa Tarehe 29 mei 2026, Mwanamuziki wa alipiga bonge la Show Mkoani Morogoro .
Katikakati ya Show akampandisha Mdau maarufu na muuza magari maarufu Ndugu yetu na kuanza kumpa Heshima na shukrani zake Kutokana na mchango mkubwa wa Fuko Magari Kwake na wasanii wengine hasa wa Singeli wakifika Morogoro na hata nje ya Morogoro.

🎓 EWE MZAZI NA MLEZI: Je, unatafuta shule bora kwa mtoto wako?👉 Nafasi za Nursery, Pre & Primary zinapatikana sasa!🔥 Hak...
31/05/2026

🎓 EWE MZAZI NA MLEZI:
Je, unatafuta shule bora kwa mtoto wako?
👉 Nafasi za Nursery, Pre & Primary zinapatikana sasa!

🔥 Hakikishia mtoto wako anapata Shule Bora ambayo ni
Nafasi za:
✔️ Day & Boarding
✔️ Usafiri salama
✔️ Chakula bora
✔️ Mafunzo ya Kifaransa pia yapo.

💛 Miyonga si shule tu, ni familia!

📞 Wasiliana nasi: 0670783793
📍 Ruaha-Kilosa, Morogoro

👉 Mlete mtoto wako sasa!

Sunday special.  Leo k**a kawaida yetu  .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora.  Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Mor...
31/05/2026

Sunday special. Leo k**a kawaida yetu .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora. Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Morogoro unazipata .icecream.parlour Boma Road
icecream.parlour Tunahakikisha weekend yako inaenda powa kabisa Kwa kukupa Furaha kamili ya Icecream Bora kabisa wewe na wale uwapendao.

Njoo Leo tuenjoy pamoja tukiendea na weekend fresh kabisa

Watoto wako upo nao sambamba, walete Sasa huku wafurahie ladha halisi ya ice cream tamu za viwango kutoka hapa

📍 Tupo Boma Road Morogoro, Mbele ya KCB
⏰ Tupo Wazi kila siku: Saa 7 mchana – Saa 5 usiku
📞 0658929299

LEO 30 MAY 2026.Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mh. Danstan Kyobya .kilombero ameongoza Uzinduzi wa Jukwaa la Vijana pamoja ...
30/05/2026

LEO 30 MAY 2026.
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mh. Danstan Kyobya .kilombero ameongoza Uzinduzi wa Jukwaa la Vijana pamoja na Ifakara Mwenge Jogging

Mwenge utapokelewa tarehe 13 June katika Halmashauri ya Mji Ifakara kutokea Mlimba DC katika Wilaya hii ya Kilombero.

Mwenge utapokelewa katika Shule ya Msingi Ihanga, Kata ya Lumemo na Mkesha utakuwa kijiji cha Msolwa Ujamaa kata ya Sanje.

Mwenge utakagua miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara.

Kauli Mbiu: Tanzania ni Yetu Sote tushik**ane kwa Pamoja Kuleta Maendeleo

Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro  Mh. Dr. Jamillah Hassan Miyonga  , anawatakia Eid Mubarak waislam na...
27/05/2026

Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Mh. Dr. Jamillah Hassan Miyonga , anawatakia Eid Mubarak waislam na Watanzania wote Kwa jumla

Msimu wa sikukuu umeingia sweettreats.icecream.parlour tunakupa vibe la Eid al-Adha  kwa kukupa huduma  bora za   Icecre...
25/05/2026

Msimu wa sikukuu umeingia
sweettreats.icecream.parlour tunakupa vibe la Eid al-Adha
kwa kukupa huduma bora za Icecream zenye ladha tamu za kufanya familia yako ifurahi.
unajua kwamba shangwe zote za Eid zipo .icecream.parlour ?

usikose kufika kwani tuna jambo na wewe maalum
📍 Tupo Boma Road Morogoro, Mbele ya KCB
⏰ Tupo Wazi Alhamisi- Ijumaa
Saa 7 mchana – Saa 5 usiku
📞 0658929299

Offer ya Sikukuu ya Eid kutoka  Morogoro.Fika Sasa  Dukani kwetu  Morogoro mzigo mpo wa kutosha Sasa . siku zote  Tupo k...
18/05/2026

Offer ya Sikukuu ya Eid kutoka Morogoro.
Fika Sasa Dukani kwetu Morogoro mzigo mpo wa kutosha Sasa .

siku zote Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea Kwa kiatu Cha kijanja haswa katika msimu huu wa sikukuu.

Unajua Viatu vya vipoje?
​✅ Viatu vyetu ni original
✅ Size zote zinapatikana kuanzia watoto wadogo hadi wakubwa.

​📍 Tupo: Jengo la Mangesho, Mtaa wa Uhuru, Morogoro Mjini
📞 Mawasiliano: 0743 744 878
📲 Instagram:
​"Wahi sasa umfurahishe mtoto wako "


Ijumaa ya Leo k**a kawaida yetu  .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora.  Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Morogoro u...
15/05/2026

Ijumaa ya Leo k**a kawaida yetu .icecream.parlour tunakupa kilicho Bora. Icecream zenye ladha tamu Kwa hapa Morogoro unazipata .icecream.parlour Boma Road
icecream.parlour Tunahakikisha siku yako anaenda powa kabisa Kwa kukupa Furaha kamili ya Icecream Bora kabisa

Njoo Leo tuenjoy pamoja tukiianza weekend fresh

Watoto wako upo nao sambamba, walete Sasa huku wafurahie ladha halisi ya ice cream tamu za viwango kutoka hapa .icecream.parlour

📍 Tupo Boma Road Morogoro, Mbele ya KCB
⏰ Tupo Wazi kila siku: Saa 7 mchana – Saa 5 usiku
📞 0658929299

Address

Morogoro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ahmad Machaku posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Ahmad Machaku:

Share