Shilawadu

Shilawadu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Shilawadu, Art, Morogoro.

Mwanatengenezaji maarufu wa maudhui mtandaoni, MrBeast, ameweka historia kwa kufikisha wafuasi milioni 400 kwenye YouTub...
03/06/2025

Mwanatengenezaji maarufu wa maudhui mtandaoni, MrBeast, ameweka historia kwa kufikisha wafuasi milioni 400 kwenye YouTube — rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na msanii yeyote wa maudhui duniani!

MrBeast, ambaye alianza safari yake ya YouTube mwaka 2012 kwa kuchapisha video za michezo ya kubahatisha, alipata umaarufu mkubwa mwaka 2017 baada ya kuchapisha video ya kuhesabu hadi 100,000 — tukio lililompa umaarufu wa kimataifa.

Kwa sasa, amewapita kwa mbali wapinzani wake wote, ikiwa ni pamoja na T-Series, ambao wanafuatia kwa nafasi ya pili wakiwa na zaidi ya wafuasi milioni 100 nyuma yake.

MrBeast amejulikana kwa mashindano ya kipekee na zawadi kubwa za fedha, huku akivutia mamilioni ya watazamaji kwa ubunifu wake wa kipekee. Mwaka 2023 alidhamiria kuvuka idadi ya T-Series — na sasa amefanikiwa rasmi kuwa YouTuber namba moja kwa wafuasi duniani.

🌍💰✈️ Kutoka kwenye video za michezo hadi safari za ndege binafsi na zawadi za maelfu ya dola — MrBeast amethibitisha kuwa ndoto zinawezekana!

Rasmi sasa makao makuu ya chama cha vilabu barani Afrika ACA yatakuwa nchini Morocco ndani ya Jengo Moja na ofisi za FIF...
03/06/2025

Rasmi sasa makao makuu ya chama cha vilabu barani Afrika ACA yatakuwa nchini Morocco ndani ya Jengo Moja na ofisi za FIFA na CAF

Afrika Kusini, Kenya na Morocco, ndio nchi zilizokuwa zinajadiliwa kuwa na ofisi hizo na sasa ni rasmi Morocco ndio yatakuwa makao makuu ya chama cha vilabu barani Afrika chama ambacho mwenyekiti wake ni Rais wa Yanga Eng. Hersi Said

Je hata weza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kaka diamond platnamz na kuchukua ufalme wake toa maoni mdau
19/12/2019

Je hata weza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kaka diamond platnamz na kuchukua ufalme wake toa maoni mdau

baadaya ya  bingwa wa vpl mwaka 2016-2017 kuchezea kichapo cha mbwa koko yanga wamepigwa Vikar na golimaiya je ungepata ...
18/07/2018

baadaya ya bingwa wa vpl mwaka 2016-2017 kuchezea kichapo cha mbwa koko yanga wamepigwa Vikar na golimaiya je ungepata nafsi kuishaur manajiment ya yanga ungehishauri nin k**a mdau wa Soja nipe jibu

akika k**a wew ni mzima wa afya    Mshukuru mungu kwa kila jambo   Usipite bira ya ku like
05/08/2017

akika k**a wew ni mzima wa afya
Mshukuru mungu kwa kila jambo
Usipite bira ya ku like

daaah uyu jamaa kiboko ata wenye timu chali aaaaaaaaaaaaaaaaah
03/01/2017

daaah uyu jamaa kiboko ata wenye timu chali aaaaaaaaaaaaaaaaah

daaah aya nimaajabu duniani   uyu mama raia wakorea ameishangaza dunia baadaya kujifungua watoto mapacha 11     ili nitu...
21/12/2016

daaah aya nimaajabu duniani
uyu mama raia wakorea ameishangaza dunia baadaya kujifungua watoto mapacha 11
ili nitukio rajabu sana hapa dunia k**a mdau au mchbuz
Unatoa maoni gani kuhusu muelekeo huuu wadunia yetu
Share kabisa mafans

kwa upande wko k**a mdau au mzarendo  katika awa majamaa  hapo chini nan apewe tunzo ya kulitangaza taifa letu duniani t...
21/12/2016

kwa upande wko k**a mdau au mzarendo katika awa majamaa
hapo chini nan apewe tunzo ya kulitangaza taifa letu duniani toa maoni yako acha ushabiki na ikibidi share kabisa

Msanii darasa anayetamba na ngoma yake mpya 'muziki'amepata ajari ya gari alipo kuwa safarini namwenzake ascikana wakito...
18/12/2016

Msanii darasa anayetamba na ngoma yake mpya 'muziki'amepata ajari ya gari alipo kuwa safarini namwenzake ascikana wakitoka kahama kueleka dar er salaam akuna aliye Jeruiw labda gari k**a mdau wakaribu au mshabiki wa kazi zake usipite bure
toa neno moja k**a ishara ya kumpa pole

Address

Morogoro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shilawadu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category