Kimondo arts

Kimondo arts ni wadau wa utalii wa ndani na nje ya nchi yetu hasa kwa tamaduni za kitanzania karibu mbeya jioonee ngoma za asili,vifaa vya jadi,mti wenye kisima,

Tupigie  na tutembelee tulipo
10/07/2024

Tupigie na tutembelee tulipo

Safari ya  kwenda  mbuga ya taifa gombe  kigoma  kuona uumbaji wamungu  alivyo waumba  sokwe  mtu. Tumepigiwa simu na wa...
20/06/2024

Safari ya kwenda mbuga ya taifa gombe kigoma kuona uumbaji wamungu alivyo waumba sokwe mtu. Tumepigiwa simu na wadau wanahitaji tuwapeleke huko. Nawe ukipenda kuongozana nao jiandae mda si mwingi utaiona ratiba

Mwaka huu  tunasafari  ya  kuwatembeza  watalii wa ndani maeneo kadhaa hapa nchini  ratiba kamili  na ghalama ya  watali...
20/06/2024

Mwaka huu tunasafari ya kuwatembeza watalii wa ndani maeneo kadhaa hapa nchini ratiba kamili na ghalama ya watalii italetwa kwenu hivi punde.

Tutatumia basi kubwa kutalii kigoma mbuga ya wanyama gombe na mbuga ya wanyama buhigwe. Kupitia mpanda .humo njiani watalii watafrahi sana maana kila kivutio watakiona.

Awamu ya pili watalii wa ndani watatumia usafiri wa basi dogo la kubeba watalii 32 watatembelea makumbusho ya chifu melele pale mbalali, nyumba nditu, hifadhi yakitulo ziwa nzambwe.

Awamu ya tatu kutakuwa na watalii wandani ambayo safari hiyo. watalii watakao husika ni wanasiasa na viongozi wa dini ambao wao watatalii kwenye miradi yakitaifa inayo endelea kujengwa ukanda wa kusini ikiwemo tanki kubwa la maji mto kiwira,na mapumnziko yao yatakuwa ni hoteli ya ngonga kyela k**a upo katika kundi hilo subiri ratiba na makundi mengine yaendelee kutufutilia.

Pia ukiwa na shida ya usafiri wowote wa kukodi mahali popote nchini tz na mda wowote kwa shughuli binds na za taasisi tupigie tutakufikia.

Safiri  nasi  wakati  wote
20/06/2024

Safiri nasi wakati wote

19/04/2024
Huyu kijana wa kimondo anawatakia mwaka mpya wenye mafanikio makubwa kwenu nyoote
12/01/2024

Huyu kijana wa kimondo anawatakia mwaka mpya wenye mafanikio makubwa kwenu nyoote

Wapendwa niwatakie mafanikio mwaka 24 ,ila sisi tupo kwenye mkesha ibada inaendelea
31/12/2023

Wapendwa niwatakie mafanikio mwaka 24 ,ila sisi tupo kwenye mkesha ibada inaendelea

Kuna mtu mmoja anaitwa lisu. Anamaneno ya kimaudhi na ya hovyo sana .Kuna maneno mengine anapotaka  kuliongea Jambo apun...
22/07/2023

Kuna mtu mmoja anaitwa lisu. Anamaneno ya kimaudhi na ya hovyo sana .Kuna maneno mengine anapotaka kuliongea Jambo apunguze hasira. Tunajua nihasira tu. Kutokana ilishawahi kuumizwa.asamehewe tu.

Tunachokitaka kuwaomba viongozi wote wapewe uwanja sawa wakuongea. Upande usitumie maneno makali wakati wa kutaka ufafanuzi wa Jambo lolote wanalo ona linaenda mlama.

Kuna kauli Mimi huwa hazinibariki sana.watawala ukiwakuta jukuani wanaongea Jambo kwakujiachia Sana bila owaga wowote. Na wanaweza hata kutamuka maneno yakejeri na dhihaka wakajiona wapo sawa tu.

Lakini akija Sasa wa kujibu na kukosoa haijarishi anatumia lugha gani .anaonekana K**a hayuko huru hivi. Na mkosaji mkubwa mbele ya jamii, Kitu gani kina mwogopesha?

Mimi kwa mtazamo wangu nilishatoa maoni kwanini usifutwe mfumo wa vyama vingi? Mbona K**a haijakaa sawa vile .
K**a umewahi hudhulia makongamamo,mikutano ya vyama vyasiasa hasa viwili hapa . Wote hawana busara kabisa .isipokuwa mmoja hataki kuambiwa baya .akisahau kuwa wote ni binadamu na wote ni wasomi na wote wanamadhaifu Yao.
Mimi afrika siielewi kabisa .majukwaa mengi yanatuharibu ubongo Sana. Yanataka masikini abaki kuwa masikini na mwelevu abaki kuwa mwelevu. Mke ndani anapaswa kushilikishwa Mali zote za mme wake,50_50 .nabinadamu wote ni sawa. Ni usawa wa damu tu? Au?

Viongozi jizuieni hasira. Msitegemee kila kitu kitapokelewa kwa asilimia Mia moja .Kuna watu mmewasomesha msitegemee hamtakosolewa,hamtakashifiwa,hamtapingwa,vumilieni lugha zote .ndiyo faida za kuleta shule,na tehama mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ukiwa mwongo na mtoto Kuna vitu atalithi. K**a unatukana matusi Naye ataona matusi ni sehemu .ya maisha. Ukimsikia Babu yetu anakwambia unahaki gani kudai kitu wakati haukuwepo tunapodai uhuru. Kwahiyo mtoto uliyemzaa Hana haki yakudai sehemu ya kipande Cha aridhi.kutoka kwako? Mfumo wa vyama vingi unafaida gani hasa kwa mwanachi?ufutwe Mimi naumia Sana kusikia familia hatuelewani kisa vyama .shida iko wapo vikifutwa letu liwe moja?

Mama aliyembeba mumewe kumpleka arpot ,amefia njiani kaacha mumewe anakula baga na wanawake wengine.
02/05/2023

Mama aliyembeba mumewe kumpleka arpot ,amefia njiani kaacha mumewe anakula baga na wanawake wengine.

17/03/2023

SERIKALI YARUHUSU WANAWAKE KUONGELEA KIFUA WAZIMwanaharakatimzalendoMar 12, 2023Read originalMamlaka ya serikali ya Jiji la Berlin nchini Ujerumani imeruhusu kuanzia sasa taratibu zibadilishwe ili wanawake waruhusiwe kuogelea vifua wazi katika swimming pools za umma (public) k**a ilivyo kwa wanaume....

Address

Mwanyanje
Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kimondo arts posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share