02/08/2022
JIFUNZE MBINU ZA KUUZA ZAIDI NA KUPATA WATEJA WENGI MTANDAONI .
K**a wewe ni mjasiriamali unaezalisha bidhaa zako au unanunua na kuuza bidhaa na unahitaji kuuza bidhaa zako kwa wingi kwa njia ya mtandao ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa ..basi nina habari nzuri mno kwa ajili yako.
Nimekuandalia darasa la BURE ambalo utajifunza mbinu za kupata wateja wengi mtandaoni.
Ndani ya darasa hilo tutazungumzia yafuatayo:
1. Siri kuu tano (5) zinazotumiwa na wafanyabiashara wakubwa ili kuuza zaidi.
2. Makosa saba(7) Yanayowafanya wajasiriamali wa mtandaoni kukosa wateja.
3. Namna ya kuandaa matangazo yenye kunasa wateja wengi.
4. Namna ya kutangaza matangazo kupitia mtandao wa Facebook na Instagram.
Kujiunga na darasa hilo Gusa kiungo (Link) ifuatayo :๐๐๐
https://chat.whatsapp.com/KVifkvUi5CD1sEFYaGEaj0
Ni mimi mpenda mafanikio yako
Joram Majogoro
( C E O Amazing Creations.)
WhatsApp Group Invite