RAS RAS

Wakati akifanya mahojiano na  mwanamuziki SIMBA..!🦁]] ameweka wazi kwamba yeye ni moja ya sababu kubwa iliyopelekea tuzo...
16/04/2022

Wakati akifanya mahojiano na mwanamuziki SIMBA..!🦁]] ameweka wazi kwamba yeye ni moja ya sababu kubwa iliyopelekea tuzo za Tanzania kufa.

SIMBA..!🦁]] anasema kuna tuzo kubwa ambayo alikuwa amenyimwa na alipokuwa amenyimwa tuzo hiyo na akapewa msanii mwingine ndio hapa mashabiki zake walilalamika na mpaka ilifikia hatua mpaka wadhamini wakawa wamejitoa na ukawa mwanzo wa tuzo hizo kufa.

Ikumbukwe kwamba SIMBA..!🦁]] kwenye tuzo za mwaka huu aligoma kushiriki akisema focus yake kwa sasa ni kwenda kimataifa zaidi.

Mwanamuziki Maunda Zahir] amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko kigamboni kwa ajali ya gari.Habari zinadai kwamba Ma...
14/04/2022

Mwanamuziki Maunda Zahir] amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko kigamboni kwa ajali ya gari.

Habari zinadai kwamba Maunda Zahir] alikuwa akiendesha gari aina ya VITZ ambayo ghafla iliacha njia na kwenda kugonga lori la mchanga ambapo inasemekana dada yetu aliaga dunia pale pale.

Mwimbaji na mfanyabiashara wa mavazi,  amekanusha vikali madai ya kuwa amefilisika na kulazimika kufunga duka lake la ng...
13/04/2022

Mwimbaji na mfanyabiashara wa mavazi, amekanusha vikali madai ya kuwa amefilisika na kulazimika kufunga duka lake la nguo lililopo Mwananyamala jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wanahabari Hamisa amekiri duka lake kufungwa, akieleza ni katika kulihamisha kwa sababu zake binafsi za kibiashara.

"Duka langu limehamishiwa sehemu nyingine kwa sababu binafsi za kibiashara ambazo siwezi kutaja," alisema mrembo Hamisa ambaye jana alilamba dili la ubalozi wa Kampuni ya kubashiri michezo ya PM Bet.

"Sijawahi kuwa tajiri, mimi ndio napambana, ndio maana unaona leo nafanya hivi, kesho hata ukinikuta nauza nyanya au kitu chochote jua napambana na maisha" - Alisema Hamisa.

Tunasema ni zaidi ya rekodi katika mtandaoni wa YouTube nchini ambapo video ya wimbo mpya wa Harmonize na Ibraah, Mdomo ...
13/04/2022

Tunasema ni zaidi ya rekodi katika mtandaoni wa YouTube nchini ambapo video ya wimbo mpya wa Harmonize na Ibraah, Mdomo imeipata views milioni 1 YouTube ndani ya sekude 24 tu!.

Haya yanajiri baada ya hivi karibuni video ya Ibraah, Rara kupata views zaidi 600K ndani ya dakika tatu lakini ikachukua siku nne kufikisha views milioni 1 YouTube.

Utakumbuka video ya wimbo wa Diamond Platnumz, Waah! ambao kamshirikisha Koffi Olomide kutoka DR Congo iliyotoka Novemba 30, 2020, iliweza kufikisha views milion 1 ndani ya saa nane pekee na kuweka Afrika Mashariki ambayo sasa Harmonize kaivunja.

Ikumbukwe Mei 2021, bendi toka Korea Kusini, BTS ilivunja rekodi mara baada ya video ya wimbo wao, Butter kufikisha views milioni 108.2 ndani ya saa 24 na kuivunjilia mbali rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Black Pink toka Korea ambao video yao, How You Like That' M/V ya mwaka 2020 ilipata views milioni 86.3 ndani ya saa 24.

“Kabla ya Manara hajapewa kazi pale Simba sikumbuki vizuri lakini nadhani ilikuwa kati ya mwaka 2011 Simba walianza kuni...
13/04/2022

“Kabla ya Manara hajapewa kazi pale Simba sikumbuki vizuri lakini nadhani ilikuwa kati ya mwaka 2011 Simba walianza kunifuata mimi ulikuwa ni Utawala wa Aveva na Kaburu, waliniitaji nitumike kwenye Klabu hiyo k**a Afisa Habari wake,”

“Lakini kutokana na maono yangu na namna nilivyokuwa na namna ambayo nilikuwa naihitaji Ruvu shootings na kwa jinsi ambavyo Ruvu Shooting ilikuwa ikiniitaji niliwaambia kwamba Samahani kwa sasa sijawa Tayari kuelekea popote pale,”

“Walinifuata sana nakumbuka siku ya mwisho wakaamua kuchukua Maamuzi ya kumpa kazi Manara Tulikuwa Tanga tuna mechi dhidi ya Coastal Union nilipokea simu ya Kaburu wakinisisitiza niende Simba na nitakuwa na maisha mazuri,” Masau Bwire.

Cc Wasafi FM

Kocha wa timu ya 🇿🇦 Orlando pirates, Fadlu Davids amesema Simba ni timu ngumu na hatari hasa wanapocheza nyumbani na wan...
13/04/2022

Kocha wa timu ya 🇿🇦 Orlando pirates, Fadlu Davids amesema Simba ni timu ngumu na hatari hasa wanapocheza nyumbani na wanatakiwa kujiandaa sawasawa kabla ya mchezo huo.
---
“Tunakwenda kukutana na timu nzuri, timu inapofuzu hatua hii ni lazima uipe heshima ya ubora Simba wako vizuri sana wanapocheza nyumbani,” amesema Davids.
---
“Simba wana washambuliaji wenye kasi. Hatutakiwi kufanya makosa mengi hatarishi, tumeshaanza kujipanga kabla ya kuanza safari.” amesema Davids.

Cc sportsarena

🚨 CONFIRMED: KANOUTE, ONYANGO KUIKOSA PIRATES----Kwenye hatua ya robo fainali, Simba ambayo itaanzia nyumbani itamkosa J...
12/04/2022

🚨 CONFIRMED: KANOUTE, ONYANGO KUIKOSA PIRATES
----
Kwenye hatua ya robo fainali, Simba ambayo itaanzia nyumbani itamkosa Joash Onyango ambaye ana kadi tatu za njano alizoonyeshwa katika mechi za makundi.
----
Kanoute alipata pia kadi ya njano kwenye mchezo dhidi ya Berkane na mechi zote mbili za US Gendermarie hivyo atakosekana kwenye mchezo ujao.
----
Kanuni ya saba ya CAF inaeleza kuwa: “Mchezaji aliyepata kadi tatu za njano atakosa moja kwa moja mchezo unaofuata wa mashindano ya klabu ya CAF. Mwishoni mwa hatua ya Makundi kadi za njano ambazo hazipelekei mchezaji KUSIMAMISHWA (1/2) zitafutwa.”

Cc

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amevuliwa taji la ubingwa wa Afrika (African Boxing Union) mara baada ya muda wa kul...
11/04/2022

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amevuliwa taji la ubingwa wa Afrika (African Boxing Union) mara baada ya muda wa kulitetea kupita. Hili ni taji la pili kuvuliwa ambapo awali alivuliwa taji la ubingwa wa mabara la WBF.

Mwakinyo sasa hana taji la ubingwa analoshikilia.

Cc

🗣️ "Kumekuwa na utamaduni wa matumizi ya tochi maarufu k**a laser, sisi k**a Simba msimamo wetu hatuzikubali, hazitufura...
11/04/2022

🗣️ "Kumekuwa na utamaduni wa matumizi ya tochi maarufu k**a laser, sisi k**a Simba msimamo wetu hatuzikubali, hazitufurahishi na kuendelea kuzitumia hizo tunaiweka klabu kwenye hatari ya kupigwa faini. Tuache huo sio utamaduni wetu."- Ahmed Ally.

🗣️ "Maswali yamekuwa mengi kuhusu Uwanja wa Mkapa sababu siku ya mchezo dhidi ya Orlando Pirates kutakuwa na mashindano ...
11/04/2022

🗣️ "Maswali yamekuwa mengi kuhusu Uwanja wa Mkapa sababu siku ya mchezo dhidi ya Orlando Pirates kutakuwa na mashindano makubwa ya Quran, na inafahamika kwamba uwanja unatakiwa kuwa wazi kwa masaa 72 kabla ya mchezo. Baada ya mazungumzo baina ya Simba, CAF, TFF na waandaaji wa mashindano ya Quran tumekubaliana matukio yote yatafanyika ndani ya siku hiyo moja na CAF wamebariki hilo."- Ahmed Ally.

"Timu inapata matokeo ndio maana tunaonekana bora, lakini kwa upande wangu bado sijafanya kile mashabiki na uongozi wang...
11/04/2022

"Timu inapata matokeo ndio maana tunaonekana bora, lakini kwa upande wangu bado sijafanya kile mashabiki na uongozi wangu walikusudia kutoka kwangu muda bado upo nitaendelea kufanya kwa ubora zaidi,” alisema Djuma na kuongeza;
----
“Yanga ina wachezaji wengi wazuri na wenye uchu ya mafanikio ndio wamekuwa wakinizibia upungufu nilionao, natamani kuwa bora zaidi ya hapa nilipo na hilo linawezekana ni suala la muda tu.”

Mwanamuziki Nandy ametoa taarifa rasmi kwamba account yake ya instagram imekuwa hucked na yuko kwenye kupambana kuirudis...
11/04/2022

Mwanamuziki Nandy ametoa taarifa rasmi kwamba account yake ya instagram imekuwa hucked na yuko kwenye kupambana kuirudisha.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RAS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share