Bumela Stories

Bumela Stories Soma Hadithi Za Kila Aina, Mapenzi, Burudani, Maisha Na Elimu, Hadithi Zilizobeba Visa Na Mikasa Ya Kusisimua. Info: [email protected]

Everyday could be the same, but everyday could be different, you choose the way your life goes, the way your day goes. You could decide one morning that you wanna be happy today.. or, maybe you decide today you don't feel that great and you don't wanna talk about it.. You could be sad one day, happy the next, quiet or not... But, just remember one thing, You Are You ... Don't let anyone change you, or your not really who you were born to be anymore.. smile emoticon Never Lose Hope.

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bsarts@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 08    " James, Hii Ni Mara Yako Ya Kw...
01/02/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 08

" James, Hii Ni Mara Yako Ya Kwanza Kufanya Mapenzi.?" Aliuliza Monica Akionekana Kabisa Kuwa Alikuwa Na Uhakika Wa Kupata Jibu La Ndio.

James Akajihisi Aibu Kidogo Kwa Swali Lile

" Umejuaje? '’ Akajibu Kwa Swali James Ambaye Ni Kweli Hakuwahi Kushiriki Kitendo Cha Aina Ile Kabla.

" Learner Hajifichi, Lakini Usijari, Itabidi Nikupe Darasa, Na Baada Ya Hapo Utakuwa Mwalimu..?" Alisema Monica Huku Akimpapasa James Na Mara Mlango Ukagongwa.

Sauti Ya Mgongaji Ilikuwa Ya Paul, Wote Wakapagawa Kila Mmoja Akikimbilia Nguo Zake, James Akakimbia Na Zakwake Chumbani Kwake Akimuachia Monica Msala Wake.

Akiwa Chumbani James Alisikia Monica Akimkaribisha Ndani Mumewe Vizuri K**a Hakuna Chochote Kilichotokea, Karibu Mezani Upate Chakula Mume Wangu James Alisikia Kwa Mbali Monica Akimkaribisha Mumewe Chakula Baada Ya Kumpokea, Akaamua Kupuuza Maongezi Yao Na Kubaki Akiwaza Yake.

Alijiona Mkosaji Sana Kwa Kitendo Alichokifaya Na Shemeji Yake, Aliona Hakumtendea Haki Kaka Yake Ambae K**a Sio Yeye Angekuwa Anapambana Na Maisha Ya Kijijini. Akajiapia Kuwa Asingerudia Tena Kufanya Jambo K**a Lile.

Nusu Saa Baadae James Akazima Taa Na Kuamua Kulala, Lakini Kabla Usingizi Haujamchukua Akasikia Mlango Wake Unagongwa Polepole, Mgongaji Hakutoa Sauti Yoyote Zaidi Ya Kugonga Mlango.

James Akaamua Kuitikia Mwito Ule Mlangoni, Akawasha Taa Na Kufungua Mlango, Macho Yakamtoka Kukutana Na Monica Akiwa Uchi, K**a Alivyozaliwa, Umbile Lake Zuri Liking’arishwa Na Weupe Wake Wa Asili Ambao Ulikuwa Ukimtoa Roho James.

" Uko Tayari Kwa Darasa..?" Aliuliza Monica Akirembua Macho Kimahaba.

" Sikia Shem, Kilichotokea Leo Ni Makosa Makubwa Sana Na Tunapaswa Kuyajutia Sio Kuyarudia Kwa Makusudi" Alisema James Kwa Msisitizo Wa Hali Ya Juu.

Kichwani Alikuwa Akijiuliza Kaka Yake Alikuwa Wapi Wakati Shemeji Yake Huyu Anafanya Mambo Ya Hatari Namna Ile.

James Akataka Kufunga Mlango Lakini Monica Akawahi Kuuzuia.

" Kweli Unaniacha Nikalale Na Ukame.?, Kuwa Na Huruma Shem" Alisema Monica Kwa Sauti Ya Kudeka

James Akajitahidi Kuishinda Nafsi, Maana Tayari Mnara Wake Ulishaanza Kutoa Huduma Lakini Uoga Ulizizidi Hisia Za Matamanio.

" Nenda Kajipoze Kwa Mumeo Aisee, Ondoka Usije Ukaniletea Matatizo" Alisema James.

Je, Unahisi Nini Kitajiri Hapa..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 08    " James, Hii Ni Mara Yak...
01/02/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 08

" James, Hii Ni Mara Yako Ya Kwanza Kufanya Mapenzi.?" Aliuliza Monica Akionekana Kabisa Kuwa Alikuwa Na Uhakika Wa Kupata Jibu La Ndio.

James Akajihisi Aibu Kidogo Kwa Swali Lile

" Umejuaje? '’ Akajibu Kwa Swali James Ambaye Ni Kweli Hakuwahi Kushiriki Kitendo Cha Aina Ile Kabla.

" Learner Hajifichi, Lakini Usijari, Itabidi Nikupe Darasa, Na Baada Ya Hapo Utakuwa Mwalimu..?" Alisema Monica Huku Akimpapasa James Na Mara Mlango Ukagongwa.

Sauti Ya Mgongaji Ilikuwa Ya Paul, Wote Wakapagawa Kila Mmoja Akikimbilia Nguo Zake, James Akakimbia Na Zakwake Chumbani Kwake Akimuachia Monica Msala Wake.

Akiwa Chumbani James Alisikia Monica Akimkaribisha Ndani Mumewe Vizuri K**a Hakuna Chochote Kilichotokea, Karibu Mezani Upate Chakula Mume Wangu James Alisikia Kwa Mbali Monica Akimkaribisha Mumewe Chakula Baada Ya Kumpokea, Akaamua Kupuuza Maongezi Yao Na Kubaki Akiwaza Yake.

Alijiona Mkosaji Sana Kwa Kitendo Alichokifaya Na Shemeji Yake, Aliona Hakumtendea Haki Kaka Yake Ambae K**a Sio Yeye Angekuwa Anapambana Na Maisha Ya Kijijini. Akajiapia Kuwa Asingerudia Tena Kufanya Jambo K**a Lile.

Nusu Saa Baadae James Akazima Taa Na Kuamua Kulala, Lakini Kabla Usingizi Haujamchukua Akasikia Mlango Wake Unagongwa Polepole, Mgongaji Hakutoa Sauti Yoyote Zaidi Ya Kugonga Mlango.

James Akaamua Kuitikia Mwito Ule Mlangoni, Akawasha Taa Na Kufungua Mlango, Macho Yakamtoka Kukutana Na Monica Akiwa Uchi, K**a Alivyozaliwa, Umbile Lake Zuri Liking’arishwa Na Weupe Wake Wa Asili Ambao Ulikuwa Ukimtoa Roho James.

" Uko Tayari Kwa Darasa..?" Aliuliza Monica Akirembua Macho Kimahaba.

" Sikia Shem, Kilichotokea Leo Ni Makosa Makubwa Sana Na Tunapaswa Kuyajutia Sio Kuyarudia Kwa Makusudi" Alisema James Kwa Msisitizo Wa Hali Ya Juu.

Kichwani Alikuwa Akijiuliza Kaka Yake Alikuwa Wapi Wakati Shemeji Yake Huyu Anafanya Mambo Ya Hatari Namna Ile.

James Akataka Kufunga Mlango Lakini Monica Akawahi Kuuzuia.

" Kweli Unaniacha Nikalale Na Ukame.?, Kuwa Na Huruma Shem" Alisema Monica Kwa Sauti Ya Kudeka

James Akajitahidi Kuishinda Nafsi, Maana Tayari Mnara Wake Ulishaanza Kutoa Huduma Lakini Uoga Ulizizidi Hisia Za Matamanio.

" Nenda Kajipoze Kwa Mumeo Aisee, Ondoka Usije Ukaniletea Matatizo" Alisema James.

Je, Unahisi Nini Kitajiri Hapa..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 07   " Mmmh! Yote Yako..!" Ali...
01/02/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 07

" Mmmh! Yote Yako..!" Aliongea Monica Huku Akiwa Ameishika Bakora Ya James K**a Ameikaba Vile.

James Alikuwa Amebalikwa Katika Idara Ile, K**a Angekutana Na Mwanamke Asiye Mzoefu Asingethubutu Kukubali Kuingia Vitani Kupambana Na Silaha Nzito Namna Ile, Lakini Monica Hakuonekana Kuiogopa Hata Chembe, Kwanza Alionekana Kuipenda Kwa Dhati.

Monica Akafanikiwa Kuuchomoa Ulimi Wake Kinywani Mwa James Akauamishia Masikioni Na Shingoni Kwa James, Akampagawisha Kijana Wa Watu Kwa Nncha Ya Ulimi Wake Kutalii Maeneo Hayo Huku Aki Uvutavuta Uume Wa James K**a Anakamua Maziwa Ya Ng’ombe.

Haikuchukua Hata Sekunde Ishirini Monica Akasikia Umoto Mkononi Mwake, James Alikuwa Amemwaga Tayari, Na Sasa Akili Zake Zikawa Zimrudia Na Kwa Mara Nyingine Akajiona Alikuwa Akifanya Jambo Ambalo Halikuwa Sahihi.

Uume Wake Ukashuka, Na Akajikuta Nnje Ya Mchezo, Alitamani Kumwambia Monica Aache Anachokifanya Ila Hakuweza Kusema Na Hakujua Ni Kwanini, Monica Akajaribu Kumrudisha Mchezoni Kwa Dakika Kadhaa Ila Haikuonekana Kusaidia.

Monica Akaacha Alichokuwa Anakifanya Na Kusimama, Moyoni James Akashukuru Akijua Zoezi Limeahirishwa Lakini Akashangaa Kuona Monica Akijivua Ile Top Aliyokuwa Amevaa Na Kisha Kuifungua Ile Khanga Akabaki K**a Alivyozaliwa, Halafu Akamsaula Na Yeye Akabaki K**a Alivyozaliwa.

Jicho Lilikuwa Limemtoka James, Butwaa Kumuona Monica Akiwa Uchi K**a Alivyozaliwa, James Aliona K**a Alikuwa Anaota.

Monica Akamsukumiza Kwenye Kochi Akakaa Na Yeye Akakaa Juu Yake, Mnara Wa James Ukajikuta Unainuka Tena, Monica Akauchukua Na Kujizamishia Kitumbuani Mwake Huku Akikaa Vizuri Mapajani Mwa James.

James Akahisi Kautelezo Chenye Joto Fulani Zuri Kakiukaribisha Uume Wake Ndani Ya Monica, Hapohapo Akajikuta Akishusha Wazungu Kwa Mara Ya Pili.

Monica Akamuangalia James Kwa Jicho Baya Sana, Alionekena Kukerwa Na Kitendo Kile Ila Akakipuuza Na Kundelea Kucheza Singeli Pale Mapajani Kwa James, Lakini Ndani Ya Dakika Chache Akashindwa Kuendelea Kwani Uume Wa James Ukalala Tena Kimya.

Je, Unamshauri Nini Monica Kwa Hiki Anacho Kifanya.?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 06     Wakati Huu James Alikuw...
01/02/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 06

Wakati Huu James Alikuwa Akimeza Mafunda Mazito Ya Mate Akiangalia Jinsi Monica Alivyo Finyangwa Vizuri.

Mirindimo Iliyokuwa Ikionekana Nyuma Kwa Monica Iliashiria Kuwa Ndani Ya Khanga Ile Aliyokuuwa Amevaa Hakukuwa Na Vazi Lingine Lolote. Khanga Ile Haikuwa Na Uwezo Wa Kuzuia Maumbile Ya Monica Kuonekana, James Alijikuta Akipagawa.

Basi James Akataka Juice, Na Monica Akaonekana Akijongea Kuelekea Alipo James Akiwa Na Glas Mbili Za Juice, Wakati Akija James Alikuwa Akizikodolea Macho Hips Za Monica Ambazo Zilikuwa Zimeujenga Mwili Wa Monica.

Huu Ulikuwa Ugonjwa Mkubwa Sana Kwa James, Alipenda Sana Wanawake Wenye Hips Zenye Afya Njema. Monica Akafika Na Kuweka Juice Mezani Kisha Akarudi Kukaa Kwenye Kochi.

Baaada Ya Sekunde Chache Kukaa Pia Akaona Hakufai Na Kuanza Kumlalia James Mapajani, James Akajikuta Akiingiwa Na Ubaridi Fulani Uliotokana Na Uoga.

James Akabaki Kujikunyata Asijue Cha Kufanya, Ilichukua Dakika Moja Tu Kabla Monuca Hajaamka Tena Na Kuanza Kumkumbatia James.

Chuchu Zake Zikipitapita Mwilini Mwa James Na Kuzidi Kumpagawisha. James Akajikuta Akisimamisha Kila Kilicho Na Uwezo Wa Kusimama Mwilini Mwake.

James Alianza Akitamani Apewe Hicho Ambacho Monuca Anamringishia, Lakini Akili Ikamkumbusha Kuwa Yule Alikuwa Shemeji Yake.

" Shemeji Sio Vizuri, Mimi Namheshimu Sana K**a Paul..?" Alisema James Huku Akijinasua Kutoka Kwenye Kumbato Lile La Monica, Wakabaki Wakitazamana.

Monica Akatabasamu Jambo Ambalo Liliziongezea Uzuri Lipsi Zake Ambazo Zilikuwa Zinatamanisha Kunyonya Wakati Wote.

" We Unadhani Kaka Akiju.." James Akajaribu Tena Kujilazimisha Kuzungumza Lakini Ulimi Wa Monica Ukamkata Kauli.

Monica Akaanzisha Uchokozi Wa Ulimi Kwa Ulimi Na James Akajikuta Hana Upinzani Tena, Akamuachia Monica Kuwa Dereva Wa Gari Lile Na Yeye Kubaki Kuwa Abiria.

Wakati Zoezi La Kunyonyana Likiendelea Monica Akawa Nautalii Mwili Wa James Kwa Viganja Na Vidole Vyake, James Alikuwa Mpole Tu Akiendelea Na Kazi Yake Ya Kunyonyana Busu.

Monica Akafungua Suruali Ya James Na Ndani Ya Sekunde Chache Akakipata Alichokuwa Anakitafuta

" Mmmh! Yote Yako" Aliongea Monica Huku Akiwa Ameshika Bakora Ya James K**a Ameikaba Vile.

Je, Una Lipi La Kumshauri James Kutokana Na Hiki Anacho Kifanya..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 05     James Hakuwa na Uhakika...
01/02/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 05

James Hakuwa na Uhakika K**a Huko Chumbani Angepata Usingizi Kwa Balaa Analoliacha Sebuleni.

" Acha Zako Bwana, Unaniacha Na Nani Sasa Usiku Wote Huu, Hebu Njoo Ukae Hapa" Aliongea Monica Kwa Sauti Ya Madeko Huku Akimuelekeza James Kulikalia Kochi Alilokuwa Amekalia.

Agizo Lile Lilimsh*tua Sana James, Moyoni Akawaza Kuwa Wito Ule Lazima Ulitokana Na Moja Kati Ya Mambo Mawili

" Au Shemeji Ananiita Ili Kunisema Kwa Tabia Mbaya Ambayo Nimeionesha Kuiacha CD Ya Ngono Kwenye Deki.!?" James Alijiwazia

Mwana Bumela Stories, Najua Unajua Ila Kiutamaduni, Sio Jambo La Kawaida Mwanamke Kumualika Mwanaume Washirikiane Kuangalia Kanda Za Ngono.

Basi James Akatii Wito, Akaenda Na Kukaa Kwenye Ile Nafasi Moja Iliyobakia Kwenye Kochi Baada Ya Nyingine Kuwa Imekwishatumiwa Na Shemeji Yake.

Wakaendelea Kutazama Video Ile Ingawa James Alijifanya K**a Yeye Hakuwa Na Haja Ya Kungalia Kilichokuwa Kinaendelea, Muda Mwingi Alikuwa Akiangalia Chini Kwa Aibu.

" Napenda Sana Mwanaume Anayefanya Mapenzi Romantic K**a Huyu, Halafu Ona Mnanii Wake Umeshibaaa, Daah Huyo Dada Anafaidi Kweli" Monica Aliongea Bila Aibu

James Alishangaa Kuona Monica Anajaribu Kuifanya Video Ile K**a Maigizo Ya Kanumba.

" Yani Anategemea Tuanze Kuyajadili Haya..!?" Alijiuliza James Ambaye Aliamua Kukaa Kimya K**a Ambaye Hakusikia Maneno Ya Monica.

Mara Monica Akasimama, Kisha Akamwambia James

" Nakuja Sasa Hivi, Usiondoke" Kisha Akaelekea Chumbani Kwake.

James Alibaki Njia Panda, Akajiuliza Atoe Ile Cd Au Aiache, Mwisho Akaamua Kuacha Kila Kitu K**a Kilivyokua Maana Hakujua Matokeo Ya Kubadili Mazingira Aliyoyaacha Shemeji Yake.

Baada Ya Dakika K**a Tano Monica Akamudia James, Lakini Muonekano Wake Ulibadilika Sana Kutokana Na Kubadili Mavazi, Alikuwa Amevaa Kitop Cha Rangi Ya Pink Ambacho Kiliyaacha Mabega Yake Wazi.

Ndani Ya Kitop Kile Chepesi Hakukuwa Na Sidiria Kwani James Aliweza Kuziona Chuchu Zikiwa Zimesimama Dede K**a Zinataka Kukitoboa Kitop Kile.

Chini Monica Alikuwa Amevaa Khanga Nyeupe Ambayo Ilikuwa Na Maua Ya Blue, Monica Akamvuka James Akielekea Kwenye Jokofu, Huku Akimuuliza James

" Utakunywa Nini Mume..?"

Je, Nini Maoni Yako Kwenye Kipande Hiki..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 04     Baada Ya Paul Kulewa Aa...
29/01/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 04

Baada Ya Paul Kulewa Aakaanza Kuonesha Tabia Za Ajabu Ambazo James Hakuwahi Kudhani K**a Kaka Yake Huyo Anazo.

Paul Alianza Kushika Makalio Ya Wahudumu Wa Pale Bar, Na Kuanza Kupigia Simu Wanawake Wake Wa Nje Ambao Alikuwanao, Mwisho Mmoja Wao Akaja Na Akaondokanaye Huku Akimchukulia James Bodaboda Na Kumtaka Atangulie Nyumbani.

Paul Aliondoka Na Kumuacha James Akijiuliza Paul Anakosa Nini Kwa Monica Mpaka Anafanya Mambo Ya Ajabu Namna Ile.

James Alimuona Monica K**a Mwanamke Ambaye Alikuwa Na Kila Kitu Cha Kuitwa Mrembo Na Kumdatisha Mwanaume Yeyote Na Hata Kutamani Angekuwa Yeye Angetulia Na Monica Mpaka Kifo.

" Kwanini Paul Anamafanyia Hivi Monica." James Aliendelea Kujiuliza.

Alipofika Nyumbani James Alikuta Taa Inawaka Na Hofu Ikamtawala, Maana Iliashiriya Umeme Kurudi.

Akaingia Ndani Na Kumkuta Shemeji Yake Akiwa Amekaa Sebuleni Akiwasubiri.

" Mwenzio Umemuacha Wapi" Aliuza Monica.

" Ameniambia Kuna Jambo Anafuatilia Bado Mjini Mimi Nitangulie" James Alidanganya.

Monica Akaonekana Kutoamini Maelezo Yale Ila Akapuuza Na Kumkaribisha Shemeji Yake Chakula Huku Yeye Akirudi Kukaa Pale Sebuleni Na Kuwasha Tv.

James Akainuka Kuelekea Kwenye Chakula Huku Akimuona Shemeji Yake Akichukua Remote Ya Deki, Hapo Akaona Nguvu Za Miguu Zikimuisha, Ila Akajikaza Na Kuendelea Na Safari Ya Kuelekea Kula.

" Shem Hii Cd Ni Yako..?" Swali Kutoka Kwa Monica Likapenya Masikioni Mwa James Wakati Akiendelea Kula, Moyo Ukampasuka, Akashindwa Hata Kutoa Jibu.

" Cd Ipi..?" James Akajifanya Kuuliza Swali Ambalo Monica Alilipuuza.

James Akaendelea Kula Chakula Ambacho Alikuwa Anakimeza K**a Dawa Tu, Utamu Wa Chakula Uliibwa Na Mawazo Juu Ya Janga Lililokuwepo Mbele Yake.

Baada Ya Kumaliza Kula James Akaamua Kuelekea Chumbani Kwake Kuficha Uso Wake, Ila Hili Nalo Lilikuwa Na Ugumu Maana Kufika Chumbani Kwake Ilibidi Apite Pale Sebuleni Ambapo Shemeji Yake Alikuwepo, Mwisho Akaamua Kupita, Liwalo Na Liwe.

Wakati Akikatisha Pale Sebuleni James Aligundua Kuwa Shemeji Yake Alikuwa Akiiangalia Cd Ile Ya Ngono, Basi Yeye Akajikausha Na Kuchapa Mwendo Kuuelekea Mlango Wa Chumba Chake.

" Unaenda Kulala Shem..?" Swali Likamtoka Monica Na Kumlazimu James Kusimama Kulijibu Japo Hakugeuka.

" Ndio, Wacha Nipumzike Nimechoka Sana Leo" Alijibu James Ingawa Hakuwa Na Uhakika K**a Kweli Anakwenda Kulala Huko Chumbani.

Je, Nini Maoni Yako Juu Ya Mkasa Huu..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Edgar A Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 03     Mpaka Majira Ya...
22/01/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Edgar A Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 03

Mpaka Majira Ya Saa 8 Mchana Umeme Ulikuwa Bado Haujarudi Ambapo Paul Alirudi Kutoka Kazini Na Kumtaka James Watoke, James Hakuwa Na Namna Zaidi Ya Kutoka Na Kaka Yake Huku Akiwa Hajui Nini Kitatokea Huko Nyuma.

Safari Hii Dua Yake Ikabadilika Kutoka Kuomba Umeme Urudi Na Kuomba Umeme Usirudi.

Safari Ya James Na Paul Ikawachukua Mpaka Kwenye Kituo Kimoja Ambapo Walikuta Wanafunzi Wengi Wakifundishwa Masomo Mbalimbali.

" Hii Ni Biashara Yangu, Hapa Tunafundisha Masomo Yote Kwa Ngazi Ya Sekondari" Alielezea Paul Huku James Akiitikia Tu.

Akili Ya James Ilikuwa Imevurugwa Na Majanga Aliyoyaacha Nyumbani.

" Wewe Bwana Si Umesoma PCM, Kuna Uhaba Wa Walimu Wa Physics Hapa K**a Unaweza Nikupe Nafasi Uwe Unafundisha Vijana Wa O’Level"

Paul Alishauri Na James Akakubali Haraka Maana Alikuwa Anapenda Sana Kazi Ya Ufundishaji Na Aliamini Atafanya Vizuri Na Kujitengenezea Kipato.

" Sawa, K**a Uko Tayari Tumebakiza Hatua Moja, Inakubidi Kupewa Darasa Tuone Uwezo Wako Kabla Ya Kuamua Kukupa Kazi" Alielezea Paul Na James Akakubali.

Paul Akamchukua James Mpaka Kwenye Ofisi Ndogo Ambapo Walimkuta Kijana Wa Rika Moja Tu Na James Akiwa Na Madame Kalista.

" Vipi Sir Mwabhulesi" Alisalimia Paul

" Poa Brother, Shikamoo" Akajibu Kijana Yule

" Enhee Madame Kalista Majukumu Yanaendaje..?" Paul Aliuliza

" Salama Tu Sir Paul, Namalizia Hapa Nitoke." Aliongea Madame Kalista

" Sawa, Hongereni Na Pia Poleni"

Paul Aliongea Kisha Akawapa Maelezo Kuhusu James Akimtaka Sir Mwabulesi Kumtafutia Muda Ambao Atapata Darasa Kwaajili Ya Majaribio.

" Tuna Kipindi Cha Physics, Fom 3 Leo Saa 10 Na Nusu, Nadhani Angekitumia Hiki" Alielezea Sir Mwabhulesi Ambaye Alikuwa Ndio Msimamizi Wa Shughuli Za Pale.

Sir Paul Na Madame Kalista Wote Wakakubaliana Na Sir Mwabulesi Kukitumia Kipindi Hicho Kwaajili Ya James Kujaribiwa Uwezo Wake.

Wakati Huu Ilikuwa Ni K**a Saa 9 Na Robo, Hivyo James Akataka Kujua Atafundisha Nini Na Akautumia Muda Huo Kujiandaa.

Saa 10 Na Nusu Ilipofika James Akaingia Darasani Na Kupiga Pindi Pindi Huku Paul, Mwabulesi Na Madame Kalista Wakimuangalia.

Baada Ya Kipindi Wote Wakaukubali Uwezo Wake Na Kumpa Kazi.

" Tunalipa Elefu 4 Kwa Kipindi, Hivyo Itategemea Unapata Vipindi Vingapi Kwa Siku Sawa.!" Alielezea Paul
Na James Akakubali Bila Kipingamizi Kisha Wakaondoka.

Safari Yao Ikaenda Kukomea Tena Kwenye Bar Ambapo Paul Aliagiza Pombe Akimtaka Na James Kuagiza Lakini James Alikataa Kwani Hakuwa Mnywaji Wa Vilevi.

Je, Unahisi Nini Kitajiri Hapa...?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Edgar A Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 02     Kale Kagauni Al...
22/01/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Edgar A Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 02

Kale Kagauni Alikovaa Monica Kalikuwa Kepesi Kanaangaza Sana, Macho Ya James Yakaganda Kwenye Chupi Nyeupe Iliyojionyesha Ambayo Monica Aliiva Siku Hiyo, Japo Alijifanya K**a Haangalii.

Wakaufikisha Mkaa Ule Ambapo Ulipaswa Kuwekwa Kisha James Akaanza Safari Ya Kurudi Chumbani.

" Unakaa Sana Ndani Ya Wewe Mume Wangu, Mwisho Uje Ukute Mke Kaibiwa Huku" Monica Aliongea Kiutani Na James Akacheka.

" Sasa K**a Sina Cha Kufanya Si Bora Nijifiche Ndani Ili Mke Asijue K**a Mumewe Hana Kazi" Alijibu James Na Kumfanya Monica Acheke

" Njoo Ukae Hapa Uangalie Movie Bwana" Monica Alimsihi James.

James Hakubisha Alikaa, Monica Akawasha Tv Na Kumuacha Achague Cd Ambayo Angependa Kuiangalia, Akamuwekea Kisha Akaendelea Na Mambo Yake Mengine.

Baada Ya K**a Nusu Saa Monica Akamuijia James Akiwa Amependeza Sana.

" Sasa Shem, Mimi Naenda Salon, Kuwa Na Uhuru Hapa Ni Kwako" Alisema Monica

" Harafu, Kubadilisha Hiyo Ikiisha Si Unajua" Monica Akamuuliza James Huku Akiichukua Remote Kutaka Kumuonesha James Namna Ya Kubadili Cd Kwenye Deki.

" Siwezi Kushindwa, Uzuri Wa Vitu Vya Mzungu Vinajieleza Vyenyewe" James Alijibu Huku Akiipokea Ile Remote Na Monica Akaondoka Akimuacha James Akitazama Kwa Uchu.

Maumbile Ya Monica Yalimvuruga Ajili James, Hasa Alipoona Vizuri Wowowo Likienda Ntokela Ipanga Ipanga Ntokela.

Ni Kweli Monica Alijaaliwa Mwili Mzuri Uliojiviriga Vyema Na Hips Mithili Ya Nane, Makalio Yake Makubwa Kujitosheleza Na Mwili Wake.

Hakika Alionekana Vizuri Ndani Ya Ile Suruali Ya Jeans Ya Kubana Ambayo Alikuwa Amevaa Monica.

James Alijikuta Akianza Kumtamani Monica Ingawa Alijitahidi Kuzipuuza Fikra Hizo Maana Alikuwa Akimuheshimu Mno Paul Ambaye Alikuwa Na Upendo Wa Dhati Kwake Ingawa Hawakuwa Ndugu Wa Tumbo Moja.

Baada Ya Monica Kuondoka, James Akaikumbuka Cd Yake Ya Ngono Ambayo Hakuwa Hata Amewahi Kuiangalia Toka Ainunue Akiwa Kidato Cha Tano, Maana Kwao Kijijini Hakukuwa Hata Na Umeme, Hivyo Alipokuja Mjini Aliibeba Akitegemea Kuiangalia K**a Atapata Nafasi Hiyo.

James Aliona K**a Ameipata Nafasi Tayari, Hivyo Akaenda Chumbani Na Kuichukua Ile Cd Na Akafanikiwa Kuiingiza Ndani Ya Deki Kisha Akaanza Kuiangalia Kwa Sauti Ya Chini Sana.

Baada Ya Dakika K**a 10 Tu Toka Aanze Kuangalia Umeme Ukakatika, Hapo Ndipo James Alipopata Homa Akijaribu Kutumia Kila Njia Kutaka Kuitoa Cd Ile Kwenye Deki Lakini Jitiha Zake Ziligonga Ukuta, Ikambidi Akae Akisali Umeme Urudi Haraka Ili Aweze Kuitoa Cd Ile Kabla Wenyeji Wake Hawajarudi.

Je, Unahisi Nini Atafanya James Kuitoa Hiyo CD Kwenye Deki....?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/Bumela_

STORY : MONICAWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 01     James Alikuwa Ndo Kwanz...
21/01/2026

STORY : MONICA
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 01

James Alikuwa Ndo Kwanza Amemaliza Elimu Yake Ya Kidato Cha Sita, Akiwa Anangojea Matokeo Akaamua Kutoka Kwao Kijijini Na Kutembelea Mjini Ili Angalau Aone Dunia Invyokwenda.

Siku Zote James Aliamini Mjini Kuna Fursa Nyingi Ambazo Hazitamuacha Akae Bure K**a Ambavyo Amekaa Kijijini.

Mjini Alipokelewa Vizuri Na Kaka Yake Mtoto Wa Baba Yake Mkubwa Ambaye Alikuwa Ni Mwalimu Katika Shule Moja Ya Sekondari Pale Mjini.

Kaka Yeke Huyu Likuwa Ameoa Na Mke Wake Alikuwa Mrembo Sana, Walijaaliwa Kupata Mtoto Mmoja Wa Takribani Miaka 12.

" Sasa Wacha Nielekee Kibaruani, Nikirudi Nitakutembeza Uone Mji Mdogo Wangu James"

Paul Alimuaga James Akaenda Zake Kazini Na Kumuacha James Akibaki Na Shemeji Yake Tu Maana Hata Peter, Mtoto Wa Paul, Alikuwa Amekwenda Shule Tayari.

Basi James Akarudi Chumbani Na Kuendelea Kusoma Kitabu Chake Cha Think Big Ambacho Alikuwa Akikirudia Mara Ya Tatu Sasa Kwani Hakikuisha Utamu, Pia Hakuwa Na Kingine Cha Kusoma.

" James… James? Ilisikika Tokea Mlangoni Sauti Ambayo Bila Shaka Ilikuwa Ya Monica.

James Alihakiki Sauti Ilikuwa Ya Shemeji Yake Akiita Huku Akigonga Mlango Wa Chumba Alichokuwemo.

" Naam'' James Aliitika Huku Akiacha Haraka Kufanya Ambacho Alikuwa Akikifanya Na Kutii Wito Ule.

" Naomba Unisaidie Kuingiza Mkaa Ndani" Aliongea Shemeji Monica Mara Baada Ya James Kufungua Mlago.

James Hakuwa Na Kipingamizi, Akaelekea Nje Ambapo Kulikuwa Na Gunia La Mkaa Ambalo Inaonekana Ndo Lilikuwa Limenunuliwa.

" Sasa Shemeji Utaliweza Kweli Hili..?" James Aliuliza Baada Ya Kuona Gunia Lile Ni Kubwa Sana Kwa Shemeji Yake Kuachiwa Upande Mmoja Wa Kubeba Pekeyake.

" Nitajitahidi, Tutalifikisha Tu" Alijibu Monica Na Kazi Ya Kubeba Ikaanza.

Ilikuwa Ni Kazi Ngumu Sana Kwa Monica, Aliweza Kunyanyua Kidogo Tu Na Kila Baada Ya Hatua Tatu Akalitua Chini Na Kupumzika, James Alikuwa Akimuonea Huruma.

Wakati Wanaingia Ndani Khanga Ya Monica Ikadondoka, Ndani Alikuwa Na Kigauni Cha Kulalia Ambacho Kilikuwa Kifupi Sana, Juu Ya Magoti, Lakini Monica Akapuuza Kuikota Khanga Ile Na Kuendelea Na Kazi Waliyokuwa Wakiifanya.

Kwa Macho Ya Wizi James Alikuwa Akiyaangalia Maumbile Ya Monica Ambayo Kwakweli Yalikuwa Na Nguvu Ya Kumtikisa Mwanaume Yeyote Amtizamae.

JE, UNAHISI NINI KITAJIRI HAPA.., NA KWANINI MONICA HAKUOKOTA KANGA YAKE..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
Bumela Stories

STORY : NDOA YANGUWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 04          Kaka Bumela, A...
21/12/2025

STORY : NDOA YANGU
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 04

Kaka Bumela, Asikuambie Mtu, Hasira Nilizokuwa Nazo Nilitamani Ardhi Ipasuke, Sms Za Boss Wangu Ziliemdelea Na Mimi Sikutaka Kuacha Ili Nijue.

" Mimi Nimehatarisha Ndoa Yangu Mara Ngapi, Sasa Hivi Nimeacha Kumpa Unyumba Mume Wangu Kwasababu Yako Halafu Unataka Kuniletea Ujinga!

Kumbuka Mambo Ninayokufanyia, Mdogo Wako Yupo Chuo, Hana Mkopo, Mama Yako Anaumwa Mimi Ndiyo Namtibia, Nyumba Nawajengea, Sasa Kwa Taarifa Yako Ukibeba Hiyo Mimba Nitajua Kuwa Umemchagua Mume Wako.

K**a Huamini Basi Jaribu Uone, Nitasimamisha Kila Kitu, Unanikuna Lakini Nitakuacha, Na Si Hivyo Tu, Huyo Mumeo Kazi Atakua Hana, Si Uliniambia Kuhusu Uizi Wake, Sasa Nitahakikisha Kuwa Anapoteza Kazi Na Namfunga Tuone K**a Huyo Mtoto Utamlea Na Nini?” Maneno Ya Boss Wangu Ditrcus

Katika Kipindi Chote Kile Cha Ujazuzito Bosi Alikua Anamtishia Mke Wangu, Yeye Ndiyo Alimletea Mke Wangu Vidonge Na Kumuambia Ameze Ili Kutoa Mimba, Niliumia Sana, Nilishindwa Kunyanyuka, Nilijikuta Nalia K**a Mtoto.

Pamoja Na Yote Hayo Lakini Nilivumilia Mpaka Mke Wangu Akatoka Hospitalini, Sikumuambia Chochote Mpaka Alipopata Nafuu.
Nilipomuambia Hakubisha, Alikubali Kuwa Yeye Alianza Hiyo Tabia Zamani Kipindi Akisoma Chuo Na Alikutana Na Bosi Wangu Siku Ya Harusi Yangu.

Mke Wangu Alinieleza Kuqa Walipendana Tangu Walipoonana Siku Ya Kwanza, Mimba Za Kwanza Alikua Akitoa Mwenyewe Kwani Alikua Hataki Kabisa Mambo Ya Watoto Lakini Kuna Kipindi Alitaka Kunizalia Ili Aniache Niilee Lakini Bosi Ndiye Alikataa.

Aliniomba Msamaha Na Kuniambia Yeye Hafurahii Tendo La Ndoa Akifanya Na Mwanaume Na Aliolewa Kwakua Baba Yake Ni Mtu Wa Dini Sana Hivyo Asingependa Kumuaibisha.

Aliniomba Msamaha Na Sasa Hivi Anataka Tuachane, Sababu Yake Kubwa Ni Kuwa Kachoka Kuishi Maisha Ya Kuigiza, Anataka Nimuache Kwasababu Yoyote Ile Kwani Kachoka Na Hawezi Kunizalia, Hawezi Kubeba Mimba.

Kaka Maneno Ya Mke Wangu Ni Mazito, Nimechanganyikiwa Kwakeli.

Mimi Sijali Kwa Hayo Yote Aliyoyafanya Bado Nampenda, Naomba Msaada Wako Nifanye Nini Ili Kuokoa Ndoa Yangu Kwani Nimekwama.

Yani Kaka, Sasa Hivi Ukija Kuniona Ule Mwili Wangu Umetoweka Nimedhoofika, Naomba Unishauri Kipi Nifanye..?

NDUGU ZANGU K**A UMESOMA MKASA HUU BASI NAOMBA TUMSAIDIE USHAURI NDUGU YETU..?

Tukutane Kwenye Simulizi Ingine.

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/BsArtsEnt

STORY : NDOA YANGUWRITTER : Bumela YEAR : 2025bsarts@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 03          Binti Wa Kazi Alikua ...
15/12/2025

STORY : NDOA YANGU
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 03

Binti Wa Kazi Alikua Asharudi Nyumbani Kuandaa Chakula Nami Nilirudi Mpaka Nyumbani, Nikaingia Chumbani Kwetu Na Kuanza Kupekua Droo Zote.

Sikufika Mbali Niliona Vidonge Flani Na Baada Ya Kuviangalia Kupitia Google Nikaona Ni Kwaajili Ya Kutoa Mimba.

Nilimuita Binti Wa Kazi Na Kumuuliza Kilichotokea, Alikua Akitetemeka, Nilianza Kumpiga Mpaka Akaniambia Ukweli, Aliniambia Ni Kweli Mama Alikunywa Vidonge Ili Kutoa Mimba.

Nilijiuliza Kwanini Lakini Sikupata Majibu, Niliwaza Sana, Lakini Kuna Kitu Kiliniambia Hembu Shika Simu Yake, Mke Wangu Alikua Kadondoka Vitu Vyake Vyote Vilibaki Nyumbani, Nilimuambia Binti Wa Kazi Anipe Simu Yake.

Alinileteea, Nikaanza Kuhangaika Kuifungua, Aliweka Password Ambayo Ni Mwaka Wake Wa Kuzaliwa Hivyo Haikunichukua Muda Kuifungua.

Kwa Kawaida Huwa Sigusi Simu Yake Hivyo Huwa Hana Wasiwasi, Nilianza Kukagua Kuangalia Meseji Za Wanaume Kuona K**a Labda Alikua Kabeba Mimba Ya Mwanaume Mwingine Na Aliitoa Ili Kukwepa Aibu.

Sikuona Meseji Yoyote Ya Mwanaume, Lakini Niliona Meseji Nyingi Za Whatsapp Ambazo Hazijafunguliwa,
Ilikuwa Ni Namba Ambayo Haiajaseviwa, Nilihisi Ni Ya Mwanaume Lakini Nilipoingia Nilichokiona Kidogo Nidondoke.

Niliona Meseji Za Mke Wangu Akichat Na Bosi Wangu, Walikua Wakichat Mambo Ya Mapenzi, Mke Wangu Alikua Anachat Na Bosi Wangu Ambaye Ni Mama Mtu Mzima Wa Miaka Hamsini Na Zaidi Walikua Wakitumiana Picha Za Uchi Na Maungo Yao, Mke Wangu Alikua Akisagana Na Bosi Wangu.

Katika Hizo Meseji Bosi Wangu Kuna Sehemu Alikua Akilalamika Kuwa Mke Wangu Anamsaliti Kwa Binti Yetu Wa Kazi. Yani Kaka Mwanzono Kulikua Na Binti Wa Kazi Ambaye Mke Wangu Alimfukuza Na Ilikua Ni Shinikizo La Bosi Wangu.

Niliendelea Kusoma Meseji Za Nyuma Na Kuona Kuwa, Tangu Mke Wangu Alipopata Ujauzito Bosi Wangu Alikua Akimshinikiza Atoe Mimba Na K**a Asipofanya Hivyo Basi Atamuacha.

Ilionekana K**a Walianza Zamani Kwani Kuna Sehemu Mke Wangu Alikua Akimuambia Boss Wangu.

“ Nataka Nimzalie Nimuachie Mtoto, Sitaki Mtoto, Mimi Sijaumbwa Kuwa Mama Lakini Mme Wangu Atachanganyikiwa, Atakufa Na Presha, Watu Wanamcheka Sana, Niruhusu Nimzalie Huyu Baada Ya Hapo Namuacha.” Bosi Alijibu Chini Sms Ikisomeka Hivi

“ Siwezi Kuruhusu Hilo, Umebeba Mimba Bila Idhini Yangu, Unaonekana Ushaanza Kumpenda Mume Wako Kuliko Mimi."

Daah Kaka Akili Yangu Ilizidi Kuvurugwa.

JE, UNA LIPI LA KUMSHAURI NDUGU YETU HAPI..?

Uhondo Utaendelea
Hapahapa
instagram.com/BsArtsEnt

STORY : NDOA YANGUWRITTER : Bumela YEAR : 2025bumelastories@gmail.com+255 744 266 088SEHEMU - 02      Kaka Bumela, Sikuj...
11/12/2025

STORY : NDOA YANGU
WRITTER : Bumela
YEAR : 2025
[email protected]
+255 744 266 088

SEHEMU - 02

Kaka Bumela, Sikujiwazisha Sana, Mara Nyingi Mimba Zake Huwa Hazinipendi Hivyo Nilimsikiliza, Aliponiambia Toka Nilitoka, Aliponitukana Nilinyamaza Na Hata Aliponiambia Nifue, Nipike Au Nipige Deki Nilifanya Vyote Hivyo Kwakua Tu Nampenda.

Usiku Aligoma Kulala Na Mimi, Alitaka Kulala Kwenye Chumba Cha Mfanyakazi, Mimi Sikua Na Shida, Nilikubali Akawa Analala Kule.

Asubuhi Akiamka Mimi Ndiyo Nafanya Kazi Zote Ananiambia Kuwa Kachoka Na Binti Wa Kazi Anatakiwa Kupumzika, Nikiongea Ananiambia Kuwa K**a Nimechoka Niondoke Ili Nirudi Kazini Kwani Hanitaki.

Mimi Nilijua Kuwa Ni Hasira Na Kisirani Cha Mimba, Nilinyamaza Na Sikufanya Chochote. Jioni Ya Siku Hiyo Bosi Wangu Alikuja, Ghafla Mke Wangu Alichangamka, Alikua Mtu Mpya.

Wakasalimiana Kwa Kukumbatiana, Mke Wangu Alimchukua Bosi Wangu Wakaingia Naye Chumbani, Alikua K**a Anataka Kumuambia Umbea Flani, Kwakua Wote Ni Wanawake Sikujali, Niliona Wanaongea Mambo Yao.

Kaka Nilichokifanya, Nilimtumia Meseji Bosi Wangu Ili Anisaidie Kumtuliza Kwani Anaonekana K**a Ana Kisirani Sana. Mimi Nilibaki Sebuleni, Lakini Kula Nilisikia K**a Ni Watu Wanazozana,
Kuna Kitu K**a Walikua Wanabishana, Sijui Kwanini Lakini Nilijikuta Naenda Kusikiliza.

“ Kwanini Umemruhusu Kuja, Huyu Anatakiwa Kuja Mambo Yakiwa Yashakamilika, Mimi Nikimuona Hivi Namuonea Huruma, K**a Hutaki Nitabeba, Mimi Nilikuambia Sitaki Kumuona Lakini Wewe Huelewi!” Nilimsikia Mke Wangu Alikua Analalamika.

Bosi Alikua Anambembeleza, Bosi Alikua Anaongea Sauti Ya Chini K**a Ananong'oneza, Pamoja Na Kusogea Karibu Lakini Kusema Kweli Sikumsikia Kabisa, Nilisikia Tu Mke Wangu Akipayuka Hivyo Sikuweza Kuunganisha Maada Zao.

Baada Ya K**a Dakika Arobaini Hivi Bosi Alitoka, Nilikua Sebuleni Naangalia Tv, Aliniaga Lakini Aliniambia Kuwa Siku Inayofuata Basi Niende Kazini Kwani Inaonekana Mke Wangu Hanitaki Na Yuko Sawa

Nilijaribu Kumsihi Lakini Aliniambia Kutokana Na Hali Ya Mke Wangu Tunatakiwa Kumpa Kile Anachotaka, Stress Kidogo Tu Zinaweza Kusababisha Mimba Yake Kutoka.

Nilimuambia Mke Wangu Anahitaji Msaada Lakini Alisisitiza, Kwakua Nilikua Namuamini Nilikubali Kuwa Kesho Yake Nitaenda Kazini.

Kweli Kesho Yake Nilienda Kazini, Lakini Nikiwa Kule Kwenye Saa Nane Mchana Nilipigiwa Simu Na Binti Wa Kazi, Aliniambia Kuwa Hali Ya Mke Wangu Imekua Mbaya, Kadondoka Na Wanamuwahisha Hospitalini, Alikua Kaita Majirani.

Nilichukua Gari Ya Kazini Na Dereva Na Kwenda Mpaka Hospitalini, Nilipofika Hospitali Niliambiwa Kuwa Mke Wangu Alikua Kadondoka Na Mimba Imetoka.

Kidogo Nichanganyikiwe, Nililia K**a Mtoto Huku Nikimuonea Huruma Mke Wangu, Alikua Bado Kalala Kapoteza Fahamu.

“ Samahani Kaka, Naweza Kuongea Na Wewe.” Daktari Ambaye Alikua Anamtibu Mke Wangu Aliniuliza.

Alionekana Kijana Mdogo Tu, Niliingia Mpaka Ofisini Kwake.

“ Huyu Dada Ni Nani?” Aliniuliza Baada Ya Kukaa, Macho Yake Yalikua Yananiangalia Kwa Tahadhari K**a Vile Kuna Kitu.

“ Ni Mke Wangu.” Nilimjibu Kwa Mkato.

“ Mke Wako Wa Ndoa?” Aliniuliza.

Swali Lake Lilinikera Kwani Sikuona K**a Litasaidia Kitu, Lakini Kwakua Yeye Ndiyo Alikua K**a Kashikilia Uhai Wa Mke Wangu Basi Nilimjibu.

“ Ndiyo Wa Ndoa, Kwani Vipi?”

“ Mna Watoto Wa Ngapi?” Aliniuliza.

“ Swali Gani Hilo Sasa, Linahusiana Nini Na Hali Ya Mke Wangu?” Nilimjibu Kwa Hasira, Aliziona Hasira Zangu Na Kutulia.

“ Samahani Kaka, Nilikua Nauliza Ili Kujua K**a Labda Ulimlazimisha Kubeba Mimba Au Mlikua Hamjapanga Kwakua Amemeza Vidonge Vingi Sana Na Mimba Ya Miezi Minne Kutoa Ni Hatari Sana!”

Nilinyanyuka Kwa Hasira Na Kutaka Kumpiga Yule Daktari, Niliongea Sana Nikimtukana Na Kumuambia Kuwa Mke Wangu Amehangaika Zaidi Ya Miaka 12 Kutafuta Mtoto, Amebeba Mimba Zaidi Ya Sita Zinatoka Tuu Halafu Leo Atoe Mimba.

Daktari Alitulia Na Kuniambia Kuwa, Ana Uhakika Asilimia Mia Kuwa Mke Wangu Amezidiwa Kwakua Alitaka Kutoa Mimba, Alinionyesha Vipimo Vya Damu Lakini Sikumuamini.

Aisee Kaka Bumela, Nilitoka Kwa Hasira Nikiwa Siamini Kuwa Mke Wangu Anaweza Kutoa Mimba.

Yani Kaka Kipindi Chote Kile Tulichohangahika Kupata Mtoto Eti Leo Naambiwa Mke Wangu Ametoa Mimba, Hivi Inaingia Akilini Kweli..! Haiwezekani.

Nilirudi Wodini, Mke Wangu Bado Alikua Kalala, Pamoja Na Kuwa Sikumuamini Daktari Lakini Kichwa Kilikua Hakifanyi Kazi.

JE, UNA LIPI LA KUMSHAURI NDUGU YETU HAPI..?.

Uhondo Utaendelea
Hapa https://chat.whatsapp.com/IiLUwZoo5Xq5txzP4B8hNQ?mode=hqrc

instagram.com/BsArtsEnt

Address

Tabata Bima
Dar Es Salaam

Telephone

+255744266088

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bumela Stories posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Bumela Stories:

Share