Faza_Nation_Tv

Faza_Nation_Tv Ukurasa Rasmi wa Faza_Nation_Tv Katika Mtandao wa Facebook | Tufuate Faza Nation World Wide | Burudani Asilia

08/05/2026

Nyota wa klabu ya Soka ya Al Nassr na timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo (41) , Usiku wa Jana aliweka rekodi mpya katika Ligi kuu nchini Saudi Arabia kwenye ushindi wa magoli 4 - 2 dhidi ya Al shabab ambapo Ronaldo alifunga goli 1 kwenye mchezo huo na kufikisha magoli 100 ndani ya ligi hiyo inayozidi kupata wafuasi kila kukicha.

CR7 amefikia Rekodi hii ndani ya michezo 105 pekee , Akiwa na jumla ya Magoli 971 mpaka hivi sasa kwenye safari yake katika mchezo wa soka kuelekea idadi ya magoli 1000.

Cristiano anakuwa mchezaji pekee Aliyewahi kufikia idadi hii ya mabao katika Ligi kubwa 4 tofauti.

— Zaidi ya Magoli 100 ndani Saudi Pro League (Saudi Arabia)

— Zaidi ya Magoli 100 kwenye Premier League (England)

— Zaidi ya Magoli 100 La Liga (Spain)

— Zaidi ya Magoli 100 Serie A (Italia)

— Zaidi ya Magoli 100 kwenye Champions League (UEFA)

The GOAT Himself 🐐

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

07/05/2026

🚨 RASMI! PSG wametinga fainali ya UEFA Champions , Watavaana na Arsenal Mei 30 , 2026.

UCL Finals Saturday , 30 May 2026

Arsenal FC Vs Paris Saint-Germain
● Puskás Aréna , Budapest , Hungary.

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

07/05/2026

📊 Namba za Ousmane Dembélé msimu huu Kwenye mashindano yote:

⚽ MAGOLI 19
🅰️ ASSISTS 11
🎯 G/A 30

Kwa takwimu hizi Dembele anastahili Kupewa 𝐁𝐀𝐋𝐋𝐎𝐍 𝐃'𝐎𝐑 kwa mara nyingine ???

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

07/05/2026

Khvicha Kvaratskhelia 'Mr. Champions League' , Amehusika kwa asilimia kubwa Katika safari ya PSG kwenye Michuano ya Klabu bingwa barani Ulaya msimu huu. 🇬🇪✨

🅰️ vs BAYERN MUNICH
⚽️⚽️ vs BAYERN MUNICH
🅰️ vs LIVERPOOL
⚽️ vs LIVERPOOL
⚽️ vs CHELSEA
⚽️⚽️🅰️ vs CHELSEA
⚽️ vs AS MONACO
❌ vs AS MONACO
🅰️ vs NEWCASTLE
⚽️ vs SPORTING CP
❌ vs ATHLETIC CLUB
🅰️ vs TOTTENHAM
❌ vs BAYERN MUNICH
⚽️🅰️ vs BAYER LEVERKUSEN
⚽️ vs ATALANTA

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

06/05/2026

Full Time | UEFA Champions League 🏆

FC Bayern Munich 1️⃣ – 1️⃣ Paris Saint-Germain

⚽ Harry Kane 90' +4
_
⚽ Ousmane Dembélé 3'

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

Full Time | NBC Premier League 🏆 KMC 0️⃣ – 1️⃣ Young Africans SC⚽ Allan Okello 66'  🌍🌎🌏         🌍🌎🌏
06/05/2026

Full Time | NBC Premier League 🏆

KMC 0️⃣ – 1️⃣ Young Africans SC

⚽ Allan Okello 66'

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

06/05/2026

Hii hapa orodha ya Mashabiki watakaoteseka zaidi k**a Arsenal wakinyanyua Ndoo ya UEFA na EPL msimu huu;

1. Manchester United
2. Manchester City
3. Manchester United

Mtauweza muziki wa Washika Mtutu wa London , Mashabiki wa Arsenal ni Wazungumzaji sana , Subirini wachukue haya Makombe. 😁

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

06/05/2026

📊 Safari ya Arsenal kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya msimu huu wa Mashindano wa mwaka 2025/26:

◉ W 0-2 vs. Athletic Club
◉ W 2-0 vs. Olympiacos
◉ W 4-0 vs. Atlético Madrid
◉ W 0-3 vs. Slavia Prague
◉ W 3-1 vs. Bayern
◉ W 0-3 vs. Club Brugge
◉ W 1-3 vs. Inter
◉ W 3-2 vs. Kairat
◉ D 1-1 vs. Bayer Leverkusen
◉ W 2-0 vs. Bayer Leverkusen
◉ W 0-1 vs. Sporting CP
◉ D 0-0 vs. Sporting CP
◉ D 1-1 vs. Atlético Madrid
◉ W 1-0 vs. Atlético Madrid

📊 The Gunners wamejiwekea rekodi ya Kuwa timu ya kwanza kucheza Mechi 14 bila kupoteza mchezo wowote ndani ya msimu mmoja wa UEFA Champions League;

🏟️ MECHI: 14

🏆 USHINDI: 11

🤝 DRAW: 3

❎ KUPOTEZA: 0

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

05/05/2026

Washika mtutu wa London msimu huu ndio timu bora zaidi kwenye Michuano mikubwa ya Klabu bingwa barani Ulaya. Arsenal wanafika fainali bila ya kupoteza mchezo wowote , na ndio timu pekee iliyoruhusu kufungwa mabao machache zaidi.

Arsenal hawajapoteza mchezo wowote msimu huu 2025/26 , Ambapo katika mechi 14 wameshinda 11 na Kutoa Sare 03.

The Gunners pia wametinga Fainali ya Mashindano hayo kibabe wakiwa na Jumla ya magoli 21 wakiruhusu mabao 6 pekee kwenye lango lao.

Balaa linahamia Budapest , Unawaona Arsenal wakinyanyua Ndoo 🏆 mwaka huu ???

🌍🌎🌏 🌍🌎🌏

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255711414289

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Faza_Nation_Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Faza_Nation_Tv:

Share