12/06/2026
Kipa wa Afrika Kusini, Ronwen Williams, amesema amesikitishwa na ukosefu wa sapoti kutoka kwa mataifa mengine ya Afrika.
Williams alisema alitarajia bara la Afrika lingeungana kuisapoti timu yake, lakini badala yake aliona baadhi ya Waafrika wakifurahia kushindwa kwao.
"Tulitarajia bara letu lingesimama nasi katika nyakati k**a hizi, lakini haikuwa hivyo. Hilo lilikuwa la kusikitisha.
Jana Mashabiki Wengi Kutoka Africa walikuwa wamevalia Jezi za Mexico ikimaaniaha walienda k**a Mashabiki Wa Mexico ๐
FOLLOW US