Tujuze

Tujuze journalist
(5)

Tujuze ni sehemu peke utapata story zinazo tuzunguka za kila sehemu na pia utapata ushauri wa maisha ya kawaida , mapenzi, ndoa ,biashara ,sport za kila aina duniani, music, trending story,... na pia ni sehemu ya matangazo ya kila bidha yako k**a uko mfanya biashara wa kila sehemu

Kipa wa Afrika Kusini, Ronwen Williams, amesema amesikitishwa na ukosefu wa sapoti kutoka kwa mataifa mengine ya Afrika....
12/06/2026

Kipa wa Afrika Kusini, Ronwen Williams, amesema amesikitishwa na ukosefu wa sapoti kutoka kwa mataifa mengine ya Afrika.

Williams alisema alitarajia bara la Afrika lingeungana kuisapoti timu yake, lakini badala yake aliona baadhi ya Waafrika wakifurahia kushindwa kwao.

"Tulitarajia bara letu lingesimama nasi katika nyakati k**a hizi, lakini haikuwa hivyo. Hilo lilikuwa la kusikitisha.

Jana Mashabiki Wengi Kutoka Africa walikuwa wamevalia Jezi za Mexico ikimaaniaha walienda k**a Mashabiki Wa Mexico ๐Ÿ˜‚

FOLLOW US

Raul Jimenez alilia baada ya kufunga goli dhidi ya South Africa...Raul Jimenez huenda leo asingekuwepo duniani au hata a...
11/06/2026

Raul Jimenez alilia baada ya kufunga goli dhidi ya South Africa...

Raul Jimenez huenda leo asingekuwepo duniani au hata asingekuwepo kwenye viwanja akicheza mpira wa miguu..

Mwaka 2020 kwenye mchezo wa Arsenal dhidi ya Wolverhampton alipata jeraha la kuvunjika fuvu la kichwa..

Jeraha hilo lilifanya akae nje kwa miezi nane , jeraha hilo lilitajwa k**a moja ya jeraha kubwa kuwahi kutokea kwenye ligi kuu ya Uingereza..

Jeraha hilo lilifanya ashuke kiwango na hata kombe la dunia 2022 alikuwa mchezaji wa akiba tu..

Hii ni 2026 leo Raul Jimenez amefanya comeback ndani ya Mexico..

Mechi ya ufunguzi amefunga goli lake la kwanza la kombe la dunia..

Raul ametoa chozi ,Raul amelia, unaijua kauli yake pendwa baada ya kutoka kwenye majeruhi ? Raul anasemaga " it is a miracle to be here with you "

Ndio ni miujiza Raul kuwa hapa na akifunga goli kutumia kichwa ambacho kilipata shida, na goli hilo kalituma kwa hayati baba yake mzazi aliyefariki mwezi march mwaka huu..

RAUL ๐Ÿ™Œ

  Huyu hapa mfungaji wa goli la kwanza la Kombe la Dunia 2026.  Anaitwa Julian Quinones. Je, la pili litafungwa nani???3...
11/06/2026

Huyu hapa mfungaji wa goli la kwanza la Kombe la Dunia 2026. Anaitwa Julian Quinones.

Je, la pili litafungwa nani???

30โ€™: Mexico 1-0 Afrika Kusini

๐Ÿšจ Aritz Aduriz (mchezaji wa zamani wa Athletic Bilbao) ๐Ÿ—ฃ๏ธ โ€œKatika mechi dhidi ya Real Madrid, nilimpiga kichwani Pepe. B...
10/06/2026

๐Ÿšจ Aritz Aduriz (mchezaji wa zamani wa Athletic Bilbao)

๐Ÿ—ฃ๏ธ โ€œKatika mechi dhidi ya Real Madrid, nilimpiga kichwani Pepe. Baada ya hapo, Sergio Ramos alinifuata na kuniuliza, โ€˜Unataka kutoka uwanjani kwa lifti au kwa gari la wagonjwa? Chagua moja.โ€™โ€

๐Ÿ˜… โ€œNikamuuliza kwa nini ananiuliza swali hilo kwa namna hiyo. Ramos akajibu, โ€˜Kwa sababu Pepe amesema nikuulize.โ€™โ€

Tutafute pesa wadau ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
07/06/2026

Tutafute pesa wadau ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

โ€ฆMahak**a Kuu ya Pretoria nchini Sauzi ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ imetoa hati ya kuk**atwa kwa Ngizwe Mchunu, mwanaharakati anayepinga uwepo wa ...
07/06/2026

โ€ฆMahak**a Kuu ya Pretoria nchini Sauzi ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ imetoa hati ya kuk**atwa kwa Ngizwe Mchunu, mwanaharakati anayepinga uwepo wa wageni Waafrika waishio kinyemela nchini humoโ€ฆ

Taarifa hii imepokelewa vizuri na waafrika wakigeni waishio nchini humo maana huyu ndiye alikua mstari wa mbele kuwapinga

Mbona anaongelewa sana huyu kulikoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
03/06/2026

Mbona anaongelewa sana huyu kulikoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Hawa ndio Mashujaaa kweli kweli ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โœ…โœ…โœ…
30/05/2026

Hawa ndio Mashujaaa kweli kweli ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โœ…โœ…โœ…

PSG Bingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE mara 2 mfululizo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
30/05/2026

PSG Bingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE mara 2 mfululizo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

โ€ฆmaafisa watatu wa uhamiaji kutoka nchini Gambia ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ wametoroka nchini Italy ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น..Basirou L. Bojang, Lamin Drammeh na Bamb...
26/05/2026

โ€ฆmaafisa watatu wa uhamiaji kutoka nchini Gambia ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ wametoroka nchini Italy ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น..

Basirou L. Bojang, Lamin Drammeh na Bambi Jah wamezamia na kuingia mitini nchini Italy ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น walipokuwa wameenda kwa mafunzo ya wiki moja kuhusu usalama wa mipaka, hapo jijini Romaโ€ฆ

Idara ya Uhamiaji ya Gambia (GID) imelaani vikali tukio hilo na imeziomba mamlaka za Italy ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น kuwabaini maafisa hao na kuwarejesha nyumbani Gambia ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ mara moja!โ€ฆ

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255628849189

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tujuze posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Tujuze:

Share