FM facts

FM facts We speak facts

06/12/2023
Ndege ya Korean Air Flight 858 mali ya serikali ya korea kusini ilikumbana na hali mbaya Novemba 29, 1987 ilipolipuka an...
05/12/2023

Ndege ya Korean Air Flight 858 mali ya serikali ya korea kusini ilikumbana na hali mbaya Novemba 29, 1987 ilipolipuka angani kutokana na bomu lililotegwa na maajenti wawili raia wa Korea Kaskazini ndani ya chumba cha abiria cha ndege hiyo.

Tukio hilo la kusikitisha lilisababisha hasara na vifo vya abiria wote 104 na wafanyakazi 11 waliokuwa kwenye ndege hiyo.

Kwa kufuata maagizo ya serikali ya Korea Kaskazini, inaelezwa kuwa maajenti hao walitega kilipuzi hicho wakati ndege hio ipo katika kituo cha kwanza cha kusimama huko Abu Dhabi, Umoja wa Falme za Kiarabu, kabla ya wao kuteremka kutoka kwenye ndege hiyo ambayo ilikuwa inatoka Baghdad Iraq ikielekea Seoul Korea Kusini.

Wakifuatiliwa hadi Bahrain, washambuliaji hao wawili (mwanaume na mwanamke) wakigundua kuwa walikuwa karibu kuk**atwa, walimeza vidonge vya sumu vilivyokuwa vimefichwa kwenye vipisi vya sigara sigara.

Mwanamume alikufa kwa sumu hiyo ya vidonge huku mwanamke Kim Hyon-hui akinusurika na baadaye kukiri wazi kwamba alikuwa amekuhusika na shambulio hilo.

Kufuatia kesi yake ya shambulio hilo alihukumiwa kifo nchini Korea kusini, lakini baadaye alisamehewa na Rais wa Korea Kusini Roh Tae-woo. Msamaha huo ulitolewa kwa misingi ya kwamba mwanamke huyo alikuwa amekubali makosa na kuwa tayari kwa adhabu zote.

FM facts

Serum Vitamin E ni 8,000/=https://chat.whatsapp.com/CgRsXdGYI9cBRHH7DNCnql🌹Huondoa Weusi makwapani🌹 Huondoa Weusi mapaja...
29/11/2023

Serum Vitamin E ni 8,000/=
https://chat.whatsapp.com/CgRsXdGYI9cBRHH7DNCnql

🌹Huondoa Weusi makwapani
🌹 Huondoa Weusi mapajani
🌹 Huondoa Weusi kwenye macho
🌹 Huondoa Weusi kwenye VIWIKO VYA MAGOTI
🌹 Huondoa Sugu vidoleni
🌹 Huondoa Magaga Miguuni
🌹Ulainisha ngozi ILIYOSINYAA
🌹 Ulainisha ngozi iliyokak**aa
🌹Ni mafuta ya asili
🌹 Hayana chemicals
🌹 Hayachubui kabisa
🌹 Wanauume na wanawake wanapaka
🌹USOFTISHA NGOZI ngumu
🌹 Huondoa madoa mwilini

https://chat.whatsapp.com/CgRsXdGYI9cBRHH7DNCnql

👉call 0769205818 au 0624132540

❣KAMA BADO HUJAPATA HII SCRUB YA KUNG'ARISHA NGOZ   ANDIKA NAMBA YAKO NA MKOA ULIOPO ILI UHUDUMIWE KWA HARAKA NA WAKALA ...
16/11/2023

❣KAMA BADO HUJAPATA HII SCRUB YA KUNG'ARISHA NGOZ ANDIKA NAMBA YAKO NA MKOA ULIOPO ILI UHUDUMIWE KWA HARAKA NA WAKALA WETU

https://chat.whatsapp.com/CgRsXdGYI9cBRHH7DNCnql

COFFEE SCRUB TSH 12,000
USAFIRI TSH 3000

❣Raha ya kufanya scrub ngoz inawakuwa inang'aa hata ukipaka mafuta yanakolea kwenye ngoz

❣Usishangae kuona mwenzio anapaka mafuta anatakata alafu unapaka unafubaa my dear dead skin zimejaa kwenye ngoz yako kila unachopaka kinadunda hakifiki ndani ya ngoz kinaishia juu tu kwenye deadskin
(cell zilizokufa)

❣Fanya scrub kuondoa cell zilizokufa kwenye ngoz yako alafu tafuta lotion yako paka uone utakavyong'aa na kuwa na rangi moja
Lkn k**a hufanyi scrub my dear utaishia kubadirisha lotion kila ck na kulalamika lotin mbaya
Kumbe ngoz yako imejaa dead skin chunusi hazikuishi madoa ndo yamejaa

Anza leo kuipenda ngozi yakohttps://chat.whatsapp.com/CgRsXdGYI9cBRHH7DNCnql

0769205818 na 0624132540

Anarcha ni mwanamke mtumwa wa kiafrika aliyelazimishwa kufanyiwa upasuaji wa maumivu makali bila ganzi mwaka 1846 na mta...
02/11/2023

Anarcha ni mwanamke mtumwa wa kiafrika aliyelazimishwa kufanyiwa upasuaji wa maumivu makali bila ganzi mwaka 1846 na mtaalamu wa upasuaji James Sims raia wa US k**a sehemu ya majaribio ya kuifanyia utafiti tiba ya fistula.

Baada ya kujifungua mtoto wake na kufa mwaka 1845 Anarcha alipelekwa kwa Sims kwa sababu alikuwa akitokwa na mkojo mfululizo. Mkojo huo ulimsababisha kupata maumivu makali. Hii ilimfanya Anarcha kuwa hitaji kubwa la Sims kumfanyia upasuaji wa majaribio ili wapate tiba.

Kumbuka kuwa mtaalamu huyu alimfanya Ana kuwa mgonjwa wa majaribio katika upasuaji huo, alimfanyia upasuaji mara 30 ndipo akawa amefanikiwa kupata tiba ya tatizo hilo, mbaya zaidi iliaminika kuwa watu weusi hawakuwa wanapata maumivu, hivyo mara 30 zote ilikuwa bila ganzi.

Baada ya Anarcha kufariki mwaka 1910 sanamu yake ya heshima ilijengwa mjini Alabama. Jiunge nasi telegram.

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FM facts posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to FM facts:

Share