Nafri Entertainment

Nafri Entertainment Music promotion |Branding| Artist PR

HALIMA” ni ushirikiano wa kuvutia kati ya msanii wa Nigeria Ekunrawo na nyota wa Tanzania Jux, ukionesha nguvu ya muziki...
08/01/2026

HALIMA” ni ushirikiano wa kuvutia kati ya msanii wa Nigeria Ekunrawo na nyota wa Tanzania Jux, ukionesha nguvu ya muziki wa pamoja barani Afrika. Wimbo huu umejaa midundo ya Afrobeat, sauti zenye hisia, na melody laini zinazohadithia simulizi ya kimapenzi kwa namna ya kuvutia na yenye utulivu.

Huyu ndiye Msanii Mpya wa Kings Music kwa Mara ya kwanza Wamempata Malkia wao
08/01/2026

Huyu ndiye Msanii Mpya wa Kings Music kwa Mara ya kwanza Wamempata Malkia wao

08/01/2026

“Live kutoka Nigeria 🇳🇬 — Shenseea ndani ya club akiwa na Wizkid, mambo yalikuwa 🔥 ‘kuchop money’ si mchezo 😌💸 Ukiwa na marafiki sahihi, fursa zinajitokeza zenyewe 💯 Network ni kila kitu ✨”

08/01/2026

Katika mahojiano mapya aliyofanya karibuni, Davido amesema wazi kwamba kolabo kati yake na Chris Brown bado hazijaisha — bado zinaendelea, na ndicho kitu mashabiki wanapaswa kukitegemea zaidi mwaka ujao 🎶

Davido ameeleza kuwa tayari wamefanya kazi nyingi pamoja, na kuna nyimbo kadhaa kali ambazo hazijatoka bado. Kwa maneno yake mwenyewe, amesema kuna kolabo nyingi zinakuja kutoka mataifa mbalimbali, lakini ile ya kwake na Chris Brown ndiyo watu waishikilie zaidi 🚀

Hii inaonyesha wazi kwamba safari ya Davido na Chris Brown haijaisha, bali ndiyo kwanza inaanza — mashabiki waendelee kuwa tayari, kwa sababu mwaka ujao unaweza kuwa wao kabisa 🔥🌍

Je, upo tayari kusikia kilichoandaliwa? 🎧✨

08/01/2026

Msanii kutoka nchini Uganda Aweka watu muda da wowote kutoka sasa ataachia kazi yake na Jux na ni baada ya kushare video hii wakiwa Studio za African Boy

Remix is coming out soon from  Get ready 🥂✅
08/01/2026

Remix is coming out soon from Get ready 🥂✅

Bruno Mars ametangaza albamu yake ya nne ya kusimama peke yake, ’The Romantic’, itakayotolewa Februari 27. Hii itakuwa a...
08/01/2026

Bruno Mars ametangaza albamu yake ya nne ya kusimama peke yake, ’The Romantic’, itakayotolewa Februari 27. Hii itakuwa albamu yake ya kwanza kwa karibu miaka 10. Wimbo wa kwanza unaotangulia kutoka kwenye albamu utaachiliwa Ijumaa hii.

Nataka kujua wewe unatarajia nini?

Bruno Mars ametangaza albamu yake ya nne ya kusimama peke yake, ’The Romantic’, itakayotolewa Februari 27. Hii itakuwa a...
08/01/2026

Bruno Mars ametangaza albamu yake ya nne ya kusimama peke yake, ’The Romantic’, itakayotolewa Februari 27. Hii itakuwa albamu yake ya kwanza kwa karibu miaka 10. Wimbo wa kwanza unaotangulia kutoka kwenye albamu utaachiliwa Ijumaa hii.

Nataka kujua wewe unatarajia nini?


Dk balafu amedondosha Album yake Inapatika katika streams zote duniani  sikiliza na Enjoy Mziki Mzuri
04/12/2025

Dk balafu amedondosha Album yake Inapatika katika streams zote duniani sikiliza na Enjoy Mziki Mzuri

11/11/2025

Siyabonga na Malusi Ndimande, ambao walikamatwa mjini Mbabane mwezi Februari, wamekabidhiwa leo kwa mamlaka za Afrika Kusini baada ya miezi kadhaa ya mashauri ya kisheria katika taifa hilo jirani.

Kurejea kwa ndugu hao wa Ndimande ni hatua kubwa katika uchunguzi unaoendelea kuhusu mauaji haya mawili ya watu mashuhuri yaliyotikisa nchi mwezi Februari 2023. AKA na Motsoane waliuawa kwa risasi nje ya mgahawa ulioko Florida Road, jijini Durban, katika tukio ambalo polisi walisema lilipangwa kwa ustadi.

 Amesema Yuko Tayari kuachia wimbo hivi karibu kaa karibu na mitandao yake ya kijamii.
10/11/2025

Amesema Yuko Tayari kuachia wimbo hivi karibu kaa karibu na mitandao yake ya kijamii.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nafri Entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Nafri Entertainment:

Share