Mapenzi penzini story1987

Mapenzi penzini story1987 Ni page ya story kali za kukusimua za mwandishi chris peter chilman

MLIMA ARARAT: SHAHIDI WA DUNIA YA ZAMANI NA GHARIKA YA NUHUKatikati ya mashariki ya Uturuki, karibu na mipaka ya Armenia...
02/05/2026

MLIMA ARARAT: SHAHIDI WA DUNIA YA ZAMANI NA GHARIKA YA NUHU
Katikati ya mashariki ya Uturuki, karibu na mipaka ya Armenia na Iran, kuna mlima mmoja mkubwa unaoinuka kwa utukufu na kimya cha ajabu. Huu ni Mlima Ararat—mlima wenye kilele kilichofunikwa na theluji mwaka mzima, unaoonekana k**a mlinzi wa historia ya kale sana ya dunia.
Mlima huu una urefu wa takribani mita 5,137, na unaonekana k**a jitu la mawe lililosimama peke yake jangwani. Ukiulinganisha na Mlima Kilimanjaro (mita 5,895), Kilimanjaro ni mrefu zaidi kidogo, lakini Ararat unabaki kuwa maarufu zaidi kiBiblia kutokana na hadithi yake ya kiimani na kihistoria.
Kwenye Biblia, Mlima Ararat unatajwa moja kwa moja katika kitabu cha Mwanzo:
“Na Safina ikatua juu ya milima ya Ararati.” (Mwanzo 8:4)
Huu ndio mstari unaoifanya Ararat kuwa mlima wa kipekee sana katika historia ya imani ya Kikristo, Uyahudi na Uislamu.
GHARIKA YA NUHU NA ARARAT
Biblia inasimulia kwamba dunia ilijaa uovu, na Mungu akaamua kuleta gharika kubwa kuangamiza kila kitu kilicho na uhai. Lakini Nuhu alipewa maagizo ya kujenga safina ili kuokoa familia yake na viumbe wa kila aina.
“Bali Nuhu akapata neema machoni pa Bwana.” (Mwanzo 6:8)
Mvua ilinyesha kwa siku 40 mchana na usiku, maji yakafunika dunia yote, na milima mingi ikatoweka chini ya maji. Baada ya muda, maji yakaanza kupungua, na Safina ya Nuhu ikatua juu ya milima ya Ararati.
Hapo ndipo dunia ilipopata mwanzo mpya.
ARARAT KATIKA HISTORIA NA IMANI
Ingawa Biblia haitoi maelezo zaidi ya tukio hilo, simulizi ya Nuhu lilibaki kuwa msingi wa mafundisho ya Wayahudi, Wakristo na hata Waislamu kuhusu:
Hukumu ya Mungu
Rehema ya Mungu
Na mwanzo mpya wa binadamu
Yesu mwenyewe alilitaja tukio la Nuhu k**a mfano wa nyakati za mwisho:
“Kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.” (Mathayo 24:37)
ARARAT LEO
Leo hii, Mlima Ararat bado upo nchini Uturuki, ukiwa na theluji juu yake na miamba mikali inayouzunguka. Ni mlima unaotazamwa k**a:
Alama ya imani
Ishara ya mwanzo mpya wa maisha
Na sehemu yenye siri kubwa ya kihistoria
Wakazi wa maeneo ya chini wanaishi kwa ufugaji, kilimo kidogo na biashara za mipakani, huku mlima huo ukiendelea kusimama kimya k**a shahidi wa historia ya kale sana ya dunia.
HITIMISHO
Mlima Ararat si tu mlima mrefu wa mita 5,137—ni kumbukumbu ya dunia kuokolewa mara ya kwanza, na ishara kwamba hata baada ya maangamizi makubwa, Mungu hutoa nafasi mpya ya maisha.
Follow Historia zilizofichwa
+255671080371 Whatsapp pekee
✍️ Mwalimu Chalema
TANGAZO
KWA ANAETAKA KITABU CHA VIFO VYA WANAFUNZI/MITUME WA YESU KIKO TAYARI TUMA UJUMBE WHATSAPP KITABU KINA KURASA 41 NI SOFT COPY TOLEO LA KWANZA .Mnavyozidi kuniunga mkono, naamini hiyo itafanikisha kutoa na hard copy.maana kiukweli hardcopy ni gharama.
GHARAMA ni 5000/= dollar 2.

Mambo mhimu ya kuzingatia ili usipoteze baraka zako 1;usishike pesa au walet au mkoba wako  ikiwa umetoka kuhusiana na m...
07/11/2025

Mambo mhimu ya kuzingatia ili usipoteze baraka zako
1;usishike pesa au walet au mkoba wako ikiwa umetoka kuhusiana na mtu kimwili haijalishi ni mumeo au mpenzi wako
2: hakikisha mnaoga wote wa wili kabla hamjashika hata nguo zenu za kuvaa
3: usifanye ibada yoyote kabla hujaoga kaama ulikua umetoka kuhisiana na mtu kimwili
4: msiende kazini bila kuoga kila unapo amka asubuhi
5: usisahau kusali au kuswali kabla hujatoka kwenda kazini
6: achana na mahusiano mengi unabeba mikosi na laaana za watu wengine
7: ikitokea ulihusina na mtu mwingine kimwili ambae sio mtu wako unaetarajia nae kufikia marengo usikutane nae kimwili kwa siku arobaini ili kuepuka kumungiza kwenye kubeba mikosi ya watu by dr criss

21/09/2025
😄😄
21/09/2025

😄😄

Mimi ni mtamu kuliko sukari 😘🙌
20/09/2025

Mimi ni mtamu kuliko sukari 😘🙌

Anajiita mshangazi wa kienyeji
13/09/2025

Anajiita mshangazi wa kienyeji

Kigoma moja
10/09/2025

Kigoma moja

Atatoboa kweli
10/09/2025

Atatoboa kweli

  Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria anayechezea klabu ya Bayer Leverkusen, Victor Boniface, amejikuta kwenye vichwa v...
07/09/2025

Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria anayechezea klabu ya Bayer Leverkusen, Victor Boniface, amejikuta kwenye vichwa vya habari baada ya taarifa kuibuka kwamba harusi yake na mpenzi wake, Rikke Hermine, imeahirishwa.

Tukio hilo linaripotiwa kutokea baada ya mchumba wake kugundua kuwa mali zote za nyota huyo—ikiwemo nyumba, magari na vitega uchumi vingine—zimeandikishwa kwa jina la mama yake mzazi, badala ya jina lake binafsi.

Sakata hilo liliibuka wakati wa maandalizi ya harusi, ambapo ndugu wa Rikke walitaka uthibitisho wa mali za Boniface. Nyaraka za kisheria zilizooneshwa zilibainisha kuwa hazijasajiliwa kwa jina la mchezaji huyo, bali mama yake, hatua ambayo inadaiwa alichukua kwa sababu za kiusalama na kutokana na changamoto za uaminifu ambazo nyota wengi wa Kiafrika barani Ulaya hukumbana nazo.

Tukio hili limezua mjadala mkubwa mtandaoni, hasa kuhusu uaminifu katika mahusiano na jinsi wachezaji wa soka wanavyolinda mali zao kutokana na hatari za kifamilia na kisheria.

Usisahau unaweza kuni FOLLOW tuzidi kupata updates zaidi

*💞 Nakupenda leo, kesho na milele; katika shida na raha, katika upweke na furaha, nitabaki kuwa wako bila masharti.**💞 K...
06/09/2025

*💞 Nakupenda leo, kesho na milele; katika shida na raha, katika upweke na furaha, nitabaki kuwa wako bila masharti.*

*💞 Kila uhusiano hujengwa kwa maamuzi; kila siku chagua kumpenda, chagua kumvumilia, chagua kumsamehe, chagua kumsikiliza, chagua kumheshimu, na mwisho chagua kubaki.*

Address

23147
Dar Es Salaam

Telephone

+255657933338

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mapenzi penzini story1987 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Mapenzi penzini story1987:

Share