02/06/2026
π³β½ JE, NI SAHIHI KOCHA KUMUADHIBU MCHEZAJI BAADA YA KUKOSA PENATI?
Wapo wanaosema nidhamu ni muhimu kwa timu, lakini wengine wanaamini kukosa penati ni sehemu ya mchezo na mchezaji anahitaji kupewa moyo badala ya kuadhibiwa.
Wewe k**a shabiki una maoni gani? Kocha yuko sahihi au amekosea? Tuambie kwenye comments. ππ₯