Ambassadors Ukonga

Ambassadors Ukonga Welcome to ambassadors youth choir official page. Local church Ukonga sda. Dar es salam, Tanzania.

Tumetoka Ambassadors Day – Malamba Mawili 🙌✨Sio tukio tu… ni ushuhuda wa pamoja wa neema ya Mungu juu yetu ❤️Tumejifunza...
11/04/2026

Tumetoka Ambassadors Day – Malamba Mawili 🙌✨
Sio tukio tu… ni ushuhuda wa pamoja wa neema ya Mungu juu yetu ❤️
Tumejifunza, tumetiwa nguvu, na tumeguswa rohoni kwa pamoja 💫🔥
Mungu ameendelea kuthibitisha kuwa yupo katikati yetu, na anatuongoza kila hatua 🙏
K**a kulikuwa na ukimya kidogo, samahani… tulikuwa tupo kwenye uwepo Wake 🙌🤍
Sifa na utukufu wote tunamrudishia Mungu 💯✨”
📖 Mathayo 18:20
“Kwa kuwa walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.” 🙏




Blessed 🙌✨

Wageni wa heshima leo 💙✨Mabalozi wa Ukonga tumealikwa rasmi na Mabalozi wa Kanisa la Malamba Mawili kuungana pamoja kush...
11/04/2026

Wageni wa heshima leo 💙✨
Mabalozi wa Ukonga tumealikwa rasmi na Mabalozi wa Kanisa la Malamba Mawili kuungana pamoja kusherehekea World Ambassadors Day 🌍🤝
Sio tu tukio, bali ni nafasi ya kuimarisha umoja, urafiki na huduma kwa jamii 💯🙏
Tukiwa pamoja tunajifunza, tunakua, na tunaiwakilisha imani yetu kwa vitendo ❤️🔥
Karibu sana kwenye familia ya mabalozi 💫




BlessedMoments

Tumeokolewa ili tutumike 🙌🔥 | World Ambassador Day 🌍✨Usikose kuwa sehemu ya vijana wenye kusudi 💙
02/04/2026

Tumeokolewa ili tutumike 🙌🔥 | World Ambassador Day 🌍✨
Usikose kuwa sehemu ya vijana wenye kusudi 💙



✨ “Kiongozi mmoja mwenye moyo wa huduma – akituongoza k**a Mabalozi na Pathfinders pia 🙌.Kiongozi bora ni yule anayehudu...
18/08/2025

✨ “Kiongozi mmoja mwenye moyo wa huduma – akituongoza k**a Mabalozi na Pathfinders pia 🙌.

Kiongozi bora ni yule anayehudumu, si kutumikiwa’ (Marko 10:45).

‘Mtu akitamani kazi ya uaskofu, atamani kazi njema’ (1 Timotheo 3:1).

Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya viongozi wenye moyo wa kujitoa 🌿.

---

Karibu tushirikiane ibada kuu ya Sabato, tukijifunza namna ya kujenga upya daraja la uhusiano uliovunjika 🕊️✨📖 Fungu kuu...
09/08/2025

Karibu tushirikiane ibada kuu ya Sabato, tukijifunza namna ya kujenga upya daraja la uhusiano uliovunjika 🕊️✨
📖 Fungu kuu: Mat 18:15
📅 Jumamosi | 09.08.2025
📍 Ukonga SDA Church






"

Tulikuwa kambini Ukonga 2025...Wimbo wa Njiro ya Kishindo cha Wakoma ulipoanza, tulihisi kishindo moyoni.Sauti za waimba...
03/08/2025

Tulikuwa kambini Ukonga 2025...
Wimbo wa Njiro ya Kishindo cha Wakoma ulipoanza, tulihisi kishindo moyoni.
Sauti za waimbaji zilijaa uweza wa kipekee.
Tulijikuta tukiinuka bila kushurutishwa.
Kila mstari wa wimbo huo ulitutetemesha.
Tuliimba kwa sauti moja, kwa imani moja, kwa moyo mmoja.
Tulianza hata kumatch – si kwa fasheni, bali kwa ushuhuda.
Wimbo huo haukuwa burudani tu – ulikuwa huduma.
Kwa mara nyingine tena, Mungu alitembea Ukonga.
Na hatutakuwa vile tulivyokuja – tumerudi tukiwa tumebarikiwa.

02/08/2025
Tulikusanyika k**a familia moja, tukakula chakula cha kiroho mezani pa Bwana. Hatuondoki k**a tulivyokuja – tumebadilish...
02/08/2025

Tulikusanyika k**a familia moja, tukakula chakula cha kiroho mezani pa Bwana. Hatuondoki k**a tulivyokuja – tumebadilishwa. 🤝❤️

Makambi mtaa wa ukonga 2025
01/08/2025

Makambi mtaa wa ukonga 2025

31/05/2025








"Living for impact means making each moment count. It's about leaving a positive mark on the world, inspiring others thr...
06/04/2025

"Living for impact means making each moment count. It's about leaving a positive mark on the world, inspiring others through your actions, and creating change that lasts. Don’t just go through life—grow through it, and let your presence be a reflection of your purpose." 🌟💫

Address

Ukonga
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ambassadors Ukonga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Ambassadors Ukonga:

Share

Category