11/04/2026
Tumetoka Ambassadors Day – Malamba Mawili 🙌✨
Sio tukio tu… ni ushuhuda wa pamoja wa neema ya Mungu juu yetu ❤️
Tumejifunza, tumetiwa nguvu, na tumeguswa rohoni kwa pamoja 💫🔥
Mungu ameendelea kuthibitisha kuwa yupo katikati yetu, na anatuongoza kila hatua 🙏
K**a kulikuwa na ukimya kidogo, samahani… tulikuwa tupo kwenye uwepo Wake 🙌🤍
Sifa na utukufu wote tunamrudishia Mungu 💯✨”
📖 Mathayo 18:20
“Kwa kuwa walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.” 🙏
Blessed 🙌✨