Rassi Stories

Rassi Stories HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

HAWA SITA  WAHUSISHWA NA YANGA MSIMU UJAO.   Yanga inahitaji kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi chao msimu ujao huku i...
30/05/2026

HAWA SITA WAHUSISHWA NA YANGA MSIMU UJAO.

Yanga inahitaji kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi chao msimu ujao huku ikiweka msimamo mzito yakuwa hawatasajili mchezaji asiye na uzoefu wa michuano ya Caf huku ikipanga kupitisha panga la bila huruma maana wamegundua huruma yao ndiyo inayowaponza.

Yanga wamedhamiria Kuwang'oa Vigogo hawa

1. AZIZ KI ~ Kiungo Mshambuliaji

2. LAMINE JARJOU ~ Winga wa Kushoto

3. IDD NADO ~ Winga wa Kulia

4. NASRI KOMBO ~ Beki wa kati

5. IBRA BANCE ~ Kiungo mkabaji

6. SULEYMANE FOFANA ~ Mshambuliaji wa kati

Imagine kikosi cha kwanza kitakavyokuwa

1. Diarra 2. Yao 3. Zimbwe 4. Job 5. Bacca 6. Bance 7. Okello 8. Abuya 9. Fofana 10. Aziz Ki 11. Pacome

Sub za uhakika;

Mzize ~ Winga kulia na kushoto & Mshambuliaji
Jarjou ~ Winga kulia na kushoto
Nado ~ Winga
Kombo ~ Beki (CB)

Na hapo bado Hersi anasema anahitaji wachezaji wa Bei ghali wawili. Al Ahly na Yanga wanamuwania Girumugisha. Ila k**a dili lisipokamilika upo uwezekano mkubwa wa kuwaleta wachezaji wakubwa msimu ujao maana kaamua kuuvalia njuga.

Wachezaji ninaowaona ni matapeli pale Yanga na ninatamani wafukuzwe ni KOUMA na DAMARO wee wataje wengine wanaopaswa kuondolewa pale Jangwani.

Usisahau kunifollow Rassi Stories

Utaenda kutupa mboga yote au utaitoamo yenyewe uitupe  halafu ule
30/05/2026

Utaenda kutupa mboga yote au utaitoamo yenyewe uitupe halafu ule

TUMEANZA UPYA NAONA WENGI MNAHITAJI MAJINA MAZURI YA WATOTO.   Na taarifa Njema ni kuwa tutaanza herufi A - Z,     (HERU...
27/05/2026

TUMEANZA UPYA NAONA WENGI MNAHITAJI MAJINA MAZURI YA WATOTO.

Na taarifa Njema ni kuwa tutaanza herufi A - Z,

(HERUFI A)

MAJINA YA K**E

1. Angelica/Angelina / Angelina / Angel
3.Aisha
4. Alicia
5. Annastazia
6. Agripinha
7. Abigael
8. Averina / Avina
9. Ayanah / Aahana (Islam: Aadya /Aadhira)
10. Alya / Aaliyah
11. Amara
12. Arabella / Ariella
13. Anisa
14. Ariana
15. Airine
16. Anaya
17. Azma / Asna
18. Amina / Aminael
19. Amelda / Amenda
20. Areej / Areeba


MAJINA YA KIUME

1. Avi (Avitus, Aviton, Avius)
2. Aloyce (Wakike: Aloicia)
3. Ahman/ Ahmed
4. Antidius
5. Abimeleck
6. Awesome
7. Aidan / Aaden
8. Ayoub
9. Audrey / Aubrey
10. Ayaan
11. Asad
12. Azra / Azrae
13. Acram
14. Abdi
15. Adam

Chagua jina utakalolipenda kisha niandikie kwenye komenti nikupe maana yake, Usimpe jina mtoto kabla hujajua lina maana gani kiroho.

Hakikisha unafollow hii page ya Rassi Stories

KILA MCHEZO ANAPEWA KADI,  JE INGEKUWA MKO CAF HAPO ANAIGHARIMU TIMU KWA NYEKUNDU.   WAARABU KWA MIPIRA YA FREE KICK HAW...
27/05/2026

KILA MCHEZO ANAPEWA KADI, JE INGEKUWA MKO CAF HAPO ANAIGHARIMU TIMU KWA NYEKUNDU. WAARABU KWA MIPIRA YA FREE KICK HAWAKUACHI SALAMA. Yanga wana la kujifikiria kwenye hili

Follow to know

Allan Okello  Kwa Nchi nyingine   anaenda kuwa Mchezaji BoraKama alivyofanya Uganda.   Mwanzo nilisema kuwa Okello ameku...
26/05/2026

Allan Okello Kwa Nchi nyingine anaenda kuwa Mchezaji BoraKama alivyofanya Uganda.

Mwanzo nilisema kuwa Okello amekuja kuiba nyota ya Pacome hasa kupendwa na Mashabiki. Pacome aliwahi kugoma kucheza na hatukujua sababu ni nini hiyo ikawafanya wananchi wapunguze upendo sawa sawa na kwa Diarra. Mwamnyeto alipoona Goli akajifunga Diarra akashikwa na hasira akaigharimu Timu ile ya Dodoma na mpaka sasa Mashabiki asilimia 90 wamelichukia hilo tendo alilolifanya Diarra. bahati mbaya zaidi hajaomba hata msamaha sjui halipwi??

Huyu Dogo naweza nikasema ni fundi k**a alivyo Feisal, ila kusema ukweli huyu kawazidi Ujuzi viungo wote, Nyie mnaosema anabebwa labda niwaulize anabebwaje?? na nani huyo anayekuwa amembeba?? Kwani wachezaji wengine hawaoni mpk atengenezewe yeye tu mazingira yakuonekana bora??

Kinachombeba ni kipaji chake na sio vingine. Ikumbukwe taarifa zinasema mwamba huyu malezi yake ya soka kayapatia Ulaya, kaja Vipers na kunyanyua Kombe la ligi huku Tuzo ya MVP na Top Scorer(Goli 19) akibeba zote. Halaf bado mnamlinganisha na Wachezaji wenu wanaocheza sana ila finish yao ni mbovu.

Ebu kuweni sirias bhana huyu Okello ni Kiungo bora zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania haijawahi kutokea kwenye ligi yetu Mchezaji kucheza mechi 5 mfululizo na akaandika rekodi ya Kufunga Magoli 9, MOTM ร—4 na kumfukuzia Feisal kwenye mbio za ufungaji bora japo yeye anasema hataki kuwa Mfungaji bora.

TAARIFA ZINASEMA Yanga wanahitaji Kitika cha Shilingi BILLION 7 ili waweze kumuachia, Ofa ya kwanza ya Billion 4.2 imekataliwa. Ninajua mnaweza kupinga ila timu inayomhitaji inatokea Ulaya. Na wanaangalia uwezekano k**a Atauzwa basi Aziz Ki atanunuliwa kuja kuziba nafasi yake.

Maoni yako ni yapi. Okello auzwe ili Aziz Ki Arudi?? au Hammhitaji tena Aziz Ki mbaki na Okello wenu

Follow to know

24/05/2026

MNAOSEMA HAMNA MTAJI WA KUANZISHA BIASHARA SHAURI ZENU.

Huku wenzenu wanauza mifagio, kila mfagio Elfu 10. Sijui mnakwama wapi?

WAFUNGAJI - NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2025-26๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Feisal - Azam: 12๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Okello -Yanga: 9๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ Dube - Yanga: 9๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Mudathir -Yanga: 8๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ iddi Nado...
24/05/2026

WAFUNGAJI - NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2025-26

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Feisal - Azam: 12๐Ÿ”ฅ
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Okello -Yanga: 9
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ Dube - Yanga: 9
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Mudathir -Yanga: 8
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ iddi Nado -Azam: 8
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Ngoy - Namungo: 8
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒChama - Simba: 8
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Mwalimu - Simba: 8
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Mossi -Singida: 8
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Pacรดme -Yanga: 7

Hapa Simba wameupiga mwingi.   Chilambo tayari ni mnyama,  kapombe akapumzike sasa
23/05/2026

Hapa Simba wameupiga mwingi. Chilambo tayari ni mnyama, kapombe akapumzike sasa

Alichopost Clatous Chama jana kwenye ukurasa wake ni kuwakosea heshima watu waliompa ulaji yaani watu waliomfanya abaki ...
23/05/2026

Alichopost Clatous Chama jana kwenye ukurasa wake ni kuwakosea heshima watu waliompa ulaji yaani watu waliomfanya abaki TZ, k**a mnakumbuka kabla ya Chama kwenda Yanga SC, Simba tayari walikuwa wameshamchoka na alitakiwa arudi timu za kwao Zambia, lakini Yanga SC wasivyo na hiana wakamchukua akiwa anachechemea na performance yake ileile wakampa thamani.

Baadaye wakaona kwasababu nafasi yake ya kucheza kwenye kikosi haipo na wanaenda kwenye michuano ya kimataifa ni bora wampeleke Singida kwa Mkopo ili akaonekane kimataifa wakati huo Singida alikuwa anashiriki CAFCC na hapo ndipo Simba SC wakauona tena ubora wa Chama wakamrudisha.

Bahati mbaya sana Chama hakuliona hilo na ndo kaandika vile kuwadharirisha waajiri wake wote wawili yaani Singida BS na Yanga SC.

Hii haina afya kwa mchezaji mkubwa na wa kimataifa k**a Chama.

Tuliwaambia msimalize Maneno kwa maana tulihisi hili linaweza kutokea tena tuliwaambia kuwa ni wazi Chama amefanya mengi...
23/05/2026

Tuliwaambia msimalize Maneno kwa maana tulihisi hili linaweza kutokea tena tuliwaambia kuwa ni wazi Chama amefanya mengi sana kwenye ligi hii na hata kimataifa.

Tukawakumbisha ya Nkana hamkusikia mkaendelea kumfananisha na Kila mchezaji mlieleta.

Tukawaonesha kuhusu uwezo wake mkaamua kumchukua baada ya kupendezwa nae kumbe lengo lilikua ni kumtoa kwenye mstari mkamdhalilisha na kumuita Mzee mkamtupa kwa watu wa makabila.

Tukawaambia huyu ni bora kuliko huyo hamkuelewa tena tukamtoa mlikompeleka haijachukua muda akathibitisha ubora wake kwenu na sasa mliesema Bora hasikiki kabisa.

Kwa sasa nisikia mnamfananisha na yule mwingine kwani huyu kaenda wapi au ni majeruhi?

Katika ligi hii hakuna atakaefanya aliyoyafanya Chama acheni utoto kulini kunasehemu mliteleza huyu ni bora kuliko huyo Joshua Mtale wenu aliepoa.

LIGI BADO HAIJAISHA TUTAONA MENGI.
Usiache kutufollow Rassi Stories

Ligi Ya Zanzibar Beki Akijifunga Goli Anak**atwa๐Ÿ˜€
23/05/2026

Ligi Ya Zanzibar Beki Akijifunga Goli Anak**atwa๐Ÿ˜€

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rassi Stories posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share