Rassi Stories

Rassi Stories HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

29/08/2026

Kwa Wanawake Tuu!!

Mume wa kurudi Saa 12 Jioni na wale wa kurudi saa 4 za Usiku unapendelea zaidi yupi hapo??

29/08/2026
"Mwanamke ukiwa masikini utakuwa mtumwa kwa mume wako, wewe acha kufanya kazi kutafuta pesa subiri kuolewa na mwanaume t...
29/08/2026

"Mwanamke ukiwa masikini utakuwa mtumwa kwa mume wako, wewe acha kufanya kazi kutafuta pesa subiri kuolewa na mwanaume tajiri atakufanya mtumwa wake na kukufanyia hata vitu ambavyo hutaki, ukiwa na hela kuna vitu mume wako hawezi kukufanyia hata k**a akitaka kukufukuza lazima afikiri mara mbili ila k**a ukiwa masikini utatawaliwa Biblia inasema tajiri humtawala masikini " _mchungaji Rose Shaboka ameyasema hayo katika semina ya wanawake aliyoiandaa

Huyu  Karim  naye  ni wa Moto balaa
27/08/2026

Huyu Karim naye ni wa Moto balaa

Kwenye dunia ya sasa ni ngumu kumpata kiungo k**a Jude Bellingham ( HAKUNA ) …. Jamaa anauwezo wa kufanya vitu vingi kwa...
27/08/2026

Kwenye dunia ya sasa ni ngumu kumpata kiungo k**a Jude Bellingham ( HAKUNA ) …. Jamaa anauwezo wa kufanya vitu vingi kwa usahihi kwenye game yake akiwa uwanjani .

1: Anakupa ubora timu bila mpira β€œ Defensive β€œ

2: Uwezo wa kulinda mali vizuri .

3: Dribblers mzuri sana ( kuitoa timu kwenye eneo moja mpaka lingine )

4: Kushambulia nafasi πŸ™Œ

5: Creativity : Nafikiri kwenye eneo hili kaboresha sana msimu huu tofauti na misimu iliyopita .

6: Uwezo wa kufunga βœ… ( Anakupa magoli pia )

✍🏼 Jude Bellingham kwenye generation yake ndio kiungo aliyekamilika maeneo mengi sana + anakupa mwendelezo kwenye ubora wake .

✍🏼 Kwenye michezo miwili ya Laliga ( 1 Goal & 2 Assists : G/A 3 )

WORLD CLASS MIDFIELDER .

Hivi niwaulize kwanini hamuwapendi polisi na wakati wanawalinda?
27/08/2026

Hivi niwaulize kwanini hamuwapendi polisi na wakati wanawalinda?

Huyu aliyependekezwa  kuwa  Makamu wa Rais  na  Baadae  aje kuwa  Rais  2030  hapa usije kushangaa  Engineer  anakuja ku...
27/08/2026

Huyu aliyependekezwa kuwa Makamu wa Rais na Baadae aje kuwa Rais 2030 hapa usije kushangaa Engineer anakuja kuwa Waziri mkuu, Siasa ni mkondo mrefu mtu Wangu, najua Bunge haliwezi kukataa kwasababu litakuwa limemkatalia Mtawala

Muwe mnawaamini mafundi wakisema neno.πŸ˜…πŸ˜…
27/08/2026

Muwe mnawaamini mafundi wakisema neno.πŸ˜…πŸ˜…

Niwaambie tu  Ukweli  wale  mnaombeza Aziz Ki  mkisema ni mzee na Yanga wamefanya k**ari mbaya  Kumuachia Okello  na kum...
26/08/2026

Niwaambie tu Ukweli wale mnaombeza Aziz Ki mkisema ni mzee na Yanga wamefanya k**ari mbaya Kumuachia Okello na kumsajili Aziz Ki Mzee iko hivi.

Okello licha yakuwa ana umri wa Miaka 25 yeye alikuwa anakupa pasi nzuri za uhakika Aidha afunge au atengeneze Assist ndio maana kwa muda mfupi alifanya maajabu makubwa lakini tukiongelea ule ukweli ni kwamba kiwango cha Okello bado hakijafika kwa Aziz Ki kwasababu ya Ile Nguvu ya kumiliki mpira

➑️ Mpira wa Tanzania hautofautiani na wa Morocco, Huku mpira sio mchezo wa Miguu tu, Mpira ni Vita Ndio maana Mwezi huwezi kupita bila Red Card. Sasa Okello ni mwepesi sana wa kuhimili mikiki mikiki ya Ligi hii

Aziz Ki ana miaka 30, Na huyu Duke Abuya ana miaka 32 k**a alivyo Shalulile, ni wazi hapa hakuna mzee. Mbona kina Messi, Ronaldo na Pepe wa miaka ya 80 bado wanacheza??

Je, Duke Abuya ambaye Umri wake umesogea kwa uchezaji wake unaweza kumuita mzee?? Au ni k**a vile kijana tu wa miaka 19. Hii inatokana na Fitness ya mchezaji Umri sio kigezo.

Yanga wameamua kujifunza kwa waarabu ambao wao wanasajili wa miaka 30+ lkn wa kazi chafu kuliko vijana wadogo wadogo hawa ambao bado hawajawa na Ukomavu kwenye Football mfano Doumbia

Huyu Abuya, Mudathir na Max hawa ndio viungo bora na hatari zaidi kwasasa Afrika Mashariki k**a kuna mwingine mlete anayejua sekta zote k**a hawa wanalinda, wanakaba, wanachenga kwa kujiamini, wanagawa pasi ndefu na fupi, wanatengeneza mashambulizi na kufunga pia. Huu ni utatu mtakatifu, Fred Ngoma sio mbovu ila kwa hawa ana mengi ya kujifunza...

Eti Ngoma alisajiliwa kwaajili ya Kumkalisha Abuya Benchi, wee mdau unaona hilo linatimia au ni kuikosea klabu heshima?? Follow Rassi Stories kwa habari za michezo na burudani

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rassi Stories posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share