30/05/2026
HAWA SITA WAHUSISHWA NA YANGA MSIMU UJAO.
Yanga inahitaji kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi chao msimu ujao huku ikiweka msimamo mzito yakuwa hawatasajili mchezaji asiye na uzoefu wa michuano ya Caf huku ikipanga kupitisha panga la bila huruma maana wamegundua huruma yao ndiyo inayowaponza.
Yanga wamedhamiria Kuwang'oa Vigogo hawa
1. AZIZ KI ~ Kiungo Mshambuliaji
2. LAMINE JARJOU ~ Winga wa Kushoto
3. IDD NADO ~ Winga wa Kulia
4. NASRI KOMBO ~ Beki wa kati
5. IBRA BANCE ~ Kiungo mkabaji
6. SULEYMANE FOFANA ~ Mshambuliaji wa kati
Imagine kikosi cha kwanza kitakavyokuwa
1. Diarra 2. Yao 3. Zimbwe 4. Job 5. Bacca 6. Bance 7. Okello 8. Abuya 9. Fofana 10. Aziz Ki 11. Pacome
Sub za uhakika;
Mzize ~ Winga kulia na kushoto & Mshambuliaji
Jarjou ~ Winga kulia na kushoto
Nado ~ Winga
Kombo ~ Beki (CB)
Na hapo bado Hersi anasema anahitaji wachezaji wa Bei ghali wawili. Al Ahly na Yanga wanamuwania Girumugisha. Ila k**a dili lisipokamilika upo uwezekano mkubwa wa kuwaleta wachezaji wakubwa msimu ujao maana kaamua kuuvalia njuga.
Wachezaji ninaowaona ni matapeli pale Yanga na ninatamani wafukuzwe ni KOUMA na DAMARO wee wataje wengine wanaopaswa kuondolewa pale Jangwani.
Usisahau kunifollow Rassi Stories