DuplexGraphics

DuplexGraphics best services that you will enjoyed

HitMaker wa ngoma ya Bia Tamu na Dear Ex  amewajibu mashabiki kwenye comment za post zake za Instagram baada ya  kusema ...
02/01/2023

HitMaker wa ngoma ya Bia Tamu na Dear Ex amewajibu mashabiki kwenye comment za post zake za Instagram baada ya kusema alifuatwa na msanii huyo kumsaini WCB.

Marioo amekanusha taarifa hiyo kwa kumjibu shabiki yake Lukanga Stewart akiandika "Hakuna kitu ka hiyo jombaa"

Kisha akamjibu DC wa Instagram Mwijaku kwa kuandika "Hahahah mkubwa kateleza mfupa hauna ulimi".

Marioo ametoa majibu hayo baada ya Mwijaku na Lukanga kujua ukweli kuhusu kutaka kusainiwa na WCB.

Vuta kushoto kuona Marioo akiwajibu kwenye post zake za Instagram.

Mkongwe wa soka Nchini Brazil Edson Arantes do Nascimento Pele  amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 82 Sao Paulo ...
29/12/2022

Mkongwe wa soka Nchini Brazil Edson Arantes do Nascimento Pele amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 82 Sao Paulo Brazil baada ya kusumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.

DIS Wishing u Happy Merry Christmas Be happy to make your day Beautiful
25/12/2022

DIS
Wishing u Happy Merry Christmas
Be happy to make your day Beautiful

  Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Evangelistic Fellowship of Africa (PEFA) la nchini Kenya, Benard Nzau, amedai kwamb...
26/04/2022

Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Evangelistic Fellowship of Africa (PEFA) la nchini Kenya, Benard Nzau, amedai kwamba hakuwa akifahamu kwamba picha yake ya selfie aliyoi-post kwenye Facebook, imegeuzwa kuwa meme.

Mchungaji Nzau amesema kwamba hakuwa akifahamu kwamba mitandaoni ni maarufu hadi alipokwenda Mombasa na binti yake kumjulisha ni kwa namna gani picha yake imekuwa maarufu na yenye gumzo mitandaoni.

Hata hivyo, Mchungaji huyo amesema kwamba amesikitishwa kuona picha yake ikisambaa kwenye mambo yasiyofaa, "Sisi ni familia inayoheshimika ambayo faragha yetu imevamiwa, naomba mamlaka iwaonye watu wa aina hiyo na kuwachukulia hatua,"

26/04/2022

Tazama Mkongwe wa mchezo wa kupigana Mieleka Kutoka Nchini Indian, alivyo muwish Happy .

  Kikosi cha Klabu ya   Tayari wameshafika Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho bara...
22/04/2022

Kikosi cha Klabu ya Tayari wameshafika Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika utakaochezwa siku ya Jumapili Aprili 24, 2022 dhidi ya wenyeji wao

  Bondia maarufu Nchini Marekani Mike Tyson]] Ameingia kwenye headline Baada ya kushindwa kujizuia na kumpa kichapo abir...
22/04/2022

Bondia maarufu Nchini Marekani Mike Tyson]] Ameingia kwenye headline Baada ya kushindwa kujizuia na kumpa kichapo abiria ambaye alikuwa naye kwenye ndege moja.

Kwa mujibu wa Ndege hiyo ambayo ilikuwa inatoka San Fransisco kwenda Florida, Mike Tyson]] aliingia na alikuwa mpole kabisa na hata alipiga selfie na mashabiki baadhi.

Inasemekana abiria mmoja ambaye alikuwa nyuma ya Mike Tyson]] alikuwa anaongea sanaa na alimwambia akae kimya lakini abiria huyo akawa anamuongelea kwa kejelii ndio hapo hasira zilimpanda na kuanza kumpiga ngumi za usoni abiria huyo.

Mpaka sasa haijatoka taarifa yoyote ya police juu ya tukio hilo la Mike Tyson.

  Nimekusogezea Gari Mpya ya Mwanamuziki  Toyota 𝐌𝐚𝐫𝐤 𝐗 𝐆𝐬 𝐂𝐚𝐫𝐛𝐨𝐧 𝐑𝐨𝐨𝐟 𝐕𝐞𝐫 ya mwaka 2013. Gari Hii ni special edition ku...
22/04/2022

Nimekusogezea Gari Mpya ya Mwanamuziki Toyota 𝐌𝐚𝐫𝐤 𝐗 𝐆𝐬 𝐂𝐚𝐫𝐛𝐨𝐧 𝐑𝐨𝐨𝐟 𝐕𝐞𝐫 ya mwaka 2013. Gari Hii ni special edition kutoka kwenye Mark x 2nd generation,2nd facelift
Kwanini ni special edition?—-ile rangi nyeusi unayiona kwenye roof(top) ya hii gari ni carbon materials ambazo zinaipa gari hii jina la carbon roof.Sio kwamba kuna bati chini ya hii carbon material,hapana hii gari haina roof ya bati.Kwanini haina roof ya bati?👇🏿
Hii carbon materials ni nyepesi hivyo inasaidia kupunguza uzito kwenye eneo la juu la gari na uzito mwingi unakua sehemu ya chi ya gari(lower centre of gravity),apa waliosoma physics watatusaidia,hii lower centre of gravity inasaidia gari kuwa stable na kupunguza uwezekano wakupinduka,na pia hii carbon materials inasaidia kupunguza uzito wa ujumla wa gari na ivyo gari kuwa nyepesi na kukimbia zaidi
Kwenye injini wanakupa machaguo mawili lakini zote ni v6,moja ni 2.5l(2499cc) 4gr na 3.5l(3456cc)2gr zikiwa na gearbox ya gia 6 Automatic(no manual)
Sasa ukitaka hii gari kwa used adi kuimiliki bongo inagharimu 34ᴍ-60ᴍ

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maa...
22/04/2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu ambaye alifika katika ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour leo tarehe 21 Aprili, 2022.

  Akaunt Ya Instagram Ya     Hatimaye Imerejea Na Hii Ni Baada Ya Kudukuliwa Kwa Siku Kadhaa Zilizopita.
20/04/2022

Akaunt Ya Instagram Ya Hatimaye Imerejea Na Hii Ni Baada Ya Kudukuliwa Kwa Siku Kadhaa Zilizopita.

  Staa wa Manchester United  amepoteza mtoto wake mmoja wakati Mke akiwa anajifungua.Kupitia mtandao wa Instagram Ronald...
18/04/2022

Staa wa Manchester United amepoteza mtoto wake mmoja wakati Mke akiwa anajifungua.

Kupitia mtandao wa Instagram Ronaldo ametangaza msiba huo wa mwanae wa kiume kwa masikitiko makubwa huku akiwashukuru madaktari na manesi kwa msaada wao. Mtoto wao wa k**e amezaliwa mzima na kwa hilo mwanasoka huyo amesema wamefarijika sana.

Ronaldo ameomba faragha katika kipindi hiki kigumu kwake na kwa familia yake.

Mwisho amesema " kijana wetu, wewe ni malaika wetu. Tutakupenda siku zote".

📸
15/04/2022

📸

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DuplexGraphics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to DuplexGraphics:

Share

Category