Mt. Secilia Makuburi

Mt. Secilia Makuburi Huu ni ukurasa rasmi ( official page) wa kwaya ya Mtakatifu Secilia Parokia ya Mwenyeheri Anuarite-Makuburi Jimbo kuu katoliki la Dar Es Salaam.

MKATOLIKI CONCERT 2026Sasa ni rasmi kufanyika Juni 21, 2026 kuanzia saa 08:00 mchana katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jiji...
27/04/2026

MKATOLIKI CONCERT 2026

Sasa ni rasmi kufanyika Juni 21, 2026 kuanzia saa 08:00 mchana katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.

Pata tiketi yako mapema kupitia
AU, wasiliana nasi kwa namba ya simu 0753162370/0654930147.

Mkatoliki Concert 2026




13/12/2025

Flashback

Wimbo: SHERIA YAKO
Mtunzi: J.KAGOMA







"Mungu atafuta kila chozi katika macho yao wala mauti haitakuwapo tena", Daima mioyoni mwetu.Raha ya milele umpe ee Bwan...
06/11/2025

"Mungu atafuta kila chozi katika macho yao wala mauti haitakuwapo tena", Daima mioyoni mwetu.
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani.🕯🕯🕯


Sharubati ya dominika ya 30 ya mwaka C wa kanisa"Mimi ndimi nuru ya ulimwengu asema, Yeye anifuataye atauwa na nuru ya u...
25/10/2025

Sharubati ya dominika ya 30 ya mwaka C wa kanisa
"Mimi ndimi nuru ya ulimwengu asema, Yeye anifuataye atauwa na nuru ya uzima"

Sharubati ya dominika ya 30 ya mwaka C wa kanisa "Mimi ndimi nuru ya ulimwengu asema, Yeye anifuataye atauwa na nuru ya ...
25/10/2025

Sharubati ya dominika ya 30 ya mwaka C wa kanisa
"Mimi ndimi nuru ya ulimwengu asema, Yeye anifuataye atauwa na nuru ya uzima"

Tunakutakia baraka za Mwenyezi Mungu katika sikuyako hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako. Uzidikuimarika katika uimbaji....
20/10/2025

Tunakutakia baraka za Mwenyezi Mungu katika siku
yako hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako. Uzidi
kuimarika katika uimbaji.







19/10/2025

UMESALI WAPI DOMINIKA YA LEO.









Sharubati ya Dominika ya ishirini na tisa (29) ya mwaka C wa kanisa.Karibu tuinjilishe pamoja.
18/10/2025

Sharubati ya Dominika ya ishirini na tisa (29) ya mwaka C wa kanisa.

Karibu tuinjilishe pamoja.









16/10/2025

"Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi." Zaburi 121:1-2,5-6,7-8







Tunakumbuka kifo na maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere. Hekima, uadilifu na uzalendo wake viendelee kuwa ...
14/10/2025

Tunakumbuka kifo na maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere. Hekima, uadilifu na uzalendo wake viendelee kuwa dira katika maisha yetu siku zote.







Address

Makuburi
Dar Es Salaam
16106

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mt. Secilia Makuburi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category