27/07/2022
SALAMU ZA POLE
Kampuni ya Shimulimuli inawapa pole wanamtwara, ndugu jamaa, marafiki, wazazi, walimu na wadau wote wa elimu na watanzania wote kwa ujumla kwa msiba huo uliotokea Mkoa wa Mtwara wa ajali iliyolihusisha basi la shule na kuwapoteza ndugu na wapendwa wetu. Mwenyezi awapumzishe kwenye makao yake na kuwaponya majeruhi haraka. Ni mila na desturi zetu Waafrika hususani Watanzania kushik**ana na kufarijiana, tudumishe mila na utamaduni huu. Poleni sana ndugu zetu