Soka Kiganjani

Soka Kiganjani soka infomation

“Tumeingia Simba sababu ni timu kubwa Afrika, ni timu ambayo inajulikana pande zote za bara hili na hilo ndio tunaangali...
29/07/2025

“Tumeingia Simba sababu ni timu kubwa Afrika, ni timu ambayo inajulikana pande zote za bara hili na hilo ndio tunaangalia zaidi kwenye biashara. Tulikuwa tukiifatilia kwa miaka karibu sita lakini sasa imekuwa kweli. Tunafuraha kufanikisha jambo hili.”

“Huu ni zaidi ya ushirikiano na inatakiwa klabu zote zifaidike na jambo hili. Tunashirikiana na timu nyingi kubwa ambazo tunadhamini hivyo uzoefu huo utatusaidia kufanikisha jambo hili.”

“Nina furaha kwa ushirikiano huu lakini tutafanya kazi kuangalia namna gani ya kufanikisha ushirikiano na vilabu vingine vikubwa ambavyo tunashirikiana navyo.”- Mkuu wa Udhamini wa BetWay Afrika, Jason Shield. NguvuMoja

NADOOOO! ⚽️44' Azam FC 4-0 Tabora United
18/06/2025

NADOOOO! ⚽️

44' Azam FC 4-0 Tabora United

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka Kiganjani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share