20/04/2024
: Aliyekuwa mtangazaji mashuhuri na maarufu nchini kutoka kituo cha kurusha matangazo cha CLOUDS MEDIA, Gardner .G. Habash (Captain) afariki dunia.
✴️ - Chanzo cha taarifa hiyo ya msiba uliotokea Leo April 20, 2024 kinasema ya kwamba mtangazaji huyo alikuwa alisumbuliwa na tatizo la shinikizo la damu (Pressure).
✴️ - Chanzo hicho kimeendelea kueleza ya kwamba marehemu Gardner alikuwa amelazwa katika Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ambapo alikuwa akiendelea na matibabu mpaka umauti ulipomfika.
✴️ - Dhati ya pole iwaendee wale wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja au nyigine. MUNGU ailaze pema peponi roho ya marehemu, AMINA!