26/12/2022
SIMULIZI: SUPER STAR.
Sehemu:. 02.
Mtunzi: Senior Sai
(+254) 715 175 518.
________________________________________________
WASHIRIKI WAKUU
Saleem Idriss
Salum Idrliss
Wazili Mkuu...
________________________________________________
GHAFLA
SIMU IKAKATWA
"HELLOW HELLOW"
Wazili Mkuu aliendea kuzungumza peke ake kwenye simu.
Akaja kugundua simu tayari ilikuwa imekatwa...
"Nimuue mke wangu?
Huyu mwanamke anatafuta Nini kwangu, tokea nizaliwe sijawahi fanya unyama wa namna yoyote... Ewe Mungu wangu ninusuru kwa hili nilipitiwa tuuu"
Alijikuta akiwaza...
Hatinae dakika kadhaa zikapita.. akafika kwake..
"Piiiiii piiiiiiiiiiiiii"
Honi za gari lilimfanya mlinzi wa nyumba kufungua geti... Wazili Mkuu akaingia kwake na kushuka katika gari...
Baada ya kusalimiana na mlinzi Kisha akaingia mpk sebuleni hakuamini alicho kiona Mr Idriss..
Kiukweli sebule Ile ilikuwa imepambwa kweli kweli.. huku kukiwa na ugeni mzito...
Pasipo hata kutegemea alimkuta kiongozi MKUU ambaye ni Mfalme wa Sasa wa KUSADIKIKA Mfalme Sai akiwa na familia ya wazili Mkuu wakiwa wanamsubili mlengwa ili afanyiwe pati kwa kuteuliwa kuwa Wazili Mkuu...
AKASTAAJABU WAZILI MKUU...
"USISHANGAE ni Mimi Mfalme wako nimeletwa na walinzi wangu hapa kwako baada ya tafrija hii kuisha watanifata kwani wao wameondoka"
Wazili Mkuu aliinama chini kumpa heshima Mfalme wake.
"Asante Mfalme kwa kuniamini na kunipa madaraka makubwa ya kuwa Wazili Mkuu...nakuahidi sito kuangusha"
Usijali naomba usimame.... Mfalme Sai alimuamuru wazili Mkuu..
Wazili Mkuu alisimaa Kisha wakaketi kwenye sofa na familia nzima... Yaani mke wa wazili Mkuu pamoja na watoto wake watatu na pati ikaanza.
Kiukweli Jioni hiyo ilikuwa ni furaha sana mahali hapo kwani wote walikunywa na kula pia nakuburudika kwa mziki laini sana...
Hatimae usiku ukaangia , watoto pamoja na mke wa Wazili Mkuu wakaenda kupumnzika...
Mke wa Wazili Mkuu bi Aisha akiwa chumbani kipindi huko alikuwa bize na simu yake anaperuzi mitandao ya kijamiia huku akiwa anafatilia habari kem kem za juu ya wanachi wamepokea viip taarifa za waziri Mkuu wao mpya..
Wengi walionekana kumpongeza na wengine wakisema waampe muda tuu kwani hata wa kwanza wazili Mkuu alionekana mzuri kumbe alikuwa ni muhaini kwa kuuuwa familia ya Aliyekuwa Mfalme baba ake na mfamle wa Sasa Sai Haroun... Mwisho wa siku akaambulia kunyongwa.
HUKU SEBULENI.
MAZUNGUMZO KATI YA MAFALME NA WAZILI MKUU YALIENDELEA...
"Muheshimiwa Wazili Mkuu mteule.. nimekuamini kutoka CV yako uliyo nayo ndo maana nikaamua kukuteuwa wewe katika nafasi hii"
"Nashukuru sana Mfalme wangu tena"
"Usijali Ila kumbukuka kuheshimu wananchi,
Uheshimu katiba na dini yako,
Uheshimu wazfa wako,
Hivyo jitahid kufanya kazi kwa weredi.. kumbuka kashfa au kosa lolote lile, likiwa ubadhilifu wa pesa, uroho wa madaraka na hata unyanyasaji wa kingono au skendo yoyote Ile itakufanya wewe usiwe wazili Mkuu... Na itapelekea kuweza kunyongwa k**a ilivyo kuwa kwa wazili Mkuu aliyepita pamoja na wazili wa afya au kufungwa kifungo....
Hivyo kuwa makini sana na kazi yako"
MFALME ALIHITIMISHA..
"NIMEKUELEWA MFALME WANGU""
WAZILI MKUU ALIJIBU.
Kisha Mfalme akapiga simu jumba la kifalme na haikupita muda msafara ukawa umetia nanga kwenye nyumba ya wazili Mkuu.. Mfalme aliingia kwenye gari maalum Kisha safari ya kurudi ngome ya kifamle ikaanza...
Huku wazili Mkuu akiwa kainamisha kichwa mpka magari yote yakatokomea.. Kisha ageuka nyuma aiingie ndani ili aende akapumnzike...
GHAFLA UMEME UKAWA UMEKATIKA SEHEMU ZOTE..
kukiwa Giza Totoro wazili Mkuu alianza kuogopa.. sio kitu Cha kawaida kwa UMEME kukatika hasa kwenye nyumba za viongozi wakubwa serikalini.
Ukiona hivyo jua Kuna kitu kibaya kimetokea mtandaoni... Hivyo serikali hatua ya kwanza huzimisha UMEME nchi nzima ili kitu hicho kisiwafikie watu wengi kabla hawajaanza kukifatilia mtandaoni ili kukibaini, na wahusika washikiliwe.
Wazili Mkuu akiwa anatetemeka... Na mwenye hofu aliingia chumbani na kumkuta mke wake kawasha mishumaa huku akiwa kakasirika Simu ikiwa mkononi.
" Viip mke wangu kulikoni"
" Habari zako mme wangu za kuteuliwa kuwa Wazili Mkuu zimezima mtandaoni, sasa Kuna video ya ngono Ina trendi mtandaoni... Kila mahali ukipita ni yenyewe tuu... Wanachi wako bize na video hiyo.. siyo Facebook, YouTube, Instagram, tiki Tok, ni yenyewe tuu ILA MIMI SIJAFUNGUA BADO LINKI ZA VIDEO HIYO AU KUOMBA CONNECTION WATU WANITUMIE B"
"NAOMBA NIONE HIYO VIDEO.". WAZILI MKUU ALISEMA,
KISHA AKAPEWA SIMU HUKU AKIWA NA WASIWASI AKAFUNGUA LINKI YA VIDEO HIYO KUPITIA FACEBOOK..
"MAMA ANGU" ALIJIKUTA AKIJISEMEA MOYONI YEYE MWENYEWE TENA AKIWA NA HOFU TELEE BAADA YA KUIONA VIDEO ILE.
MARA SIMU YAKE IKAITA, ANAANGALIA NAMBA ILIYO PIGA HAPO AKAZIDI KUCHANGANYIKIWA.
___________________________________________________
ITAENDELEA
LIKE
SHARE
COMMENT