Habari na Vioja

Habari na Vioja PATA HABARI NA VIOJA HAPA, LIKE NA INVITE WENZAKO WALIKE ILI TUWE PAMOJA HUMU NDANI

11/10/2014

Nani unayemuamini zaidi katika maisha yako?

1. Baba
2. Mama
3. Mke/Mume
4. Boyfriend/Girlfriend
5. Rafiki

Hey Kati ya   na   nani anaenjoy sana katika  ?Mbona kuna kulipana tena?
07/10/2014

Hey Kati ya na nani anaenjoy sana katika ?

Mbona kuna kulipana tena?

Muimbaji wa ‘HujafaHujaumbika’ na‘UsidharauUsiyemjua’ Side Boyafariki duniaSeptember 29, 2014 Muimbaji wa muziki wa Bong...
30/09/2014

Muimbaji wa ‘Hujafa
Hujaumbika’ na
‘Usidharau
Usiyemjua’ Side Boy
afariki dunia

September 29, 2014

Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva
Said Salim aliyekuwa akitumia jina la
kisanii la Side Boy Mnyamwezi
amefariki dunia. Side Boy amefariki leo katika hospitali
ya Nyangao iliyopo mkoani Lindi.
Aliwahi kutoa nyimbo kadhaa
zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika’,
‘Usidharau Usiyemjua’ na ‘Kua
Uyaone.’

16/09/2014

Like page Habari na Vioja

Mpooo!?

16/09/2014

Mara ghafla nyumba yenu imeungua, na wewe una nafasi ya kumuokoa mtu mmoja tu, utamuokoa yupi?

A: MAMA
B: BABA
C: DADA
D: KAKA
E: MTOTO WAKO
F: MME/MKE
G: MPENZI WAKO

16/09/2014

MIGUNO NA KELELE KATIKA KUFANYA MAPENZI HUWA NI KAWAIDA ILA SASA KAZI IPO HAPA.

KILA ANE PIGA HAYO MAKELELE INAMAANA NDIO KAFIKISHWA AU NDIO KUIBIWA ?

MDA MWINGINE UPO GESTI .CHUMBA CHA PILI UNASIKIA MAKELELE K**A MTU ANABAKWA VILE.

HII UNAICHUKULIAJE MTU WANGU??

04/09/2014

Inakuja kweli hii!?

---->Eti wadada nao wanatesagwa na mapenzi mpaka hatua ya kutaka kufa
---->Mimi nabisha mpaka kufa maana tangu nizaliwe nateswa tu sina raha na haya mapenzi kabisaa
---->Kama kweli wapo ambao wanadhani wao hawana bahati na kupendwa nawaomba muwe sirias mimi nataka mke wakuoa, apajue kwetu nipajue kwao yaani wa harari sio kihuni k**a vijana wa sasa

0762274412
0659883562

27/08/2014

MCHEZO WA KUPATA MARAFIKI MNAOFANANA HERUFI YA KWANZA YA MAJINA YENU

Herufi A,, coment 1
Herufi B ,,,coment 2
Herufi C,,coment 3
Herufi D,,coment 4
Herufi E,, coment 5
Herufi F,,coment 6
Herufi G,,coment 7
Herufi H,,coment 8
Herufi I,,coment 9
Herufi J,,coment 10
Herufi K ,,coment 11
Herufi L ,,coment 12
Herufi M ,,coment 13
Herufi O ,,coment 14
Herufi P ,,coment 15
Herufi Q ,,coment 16
Herufi R ,,coment 17
Herufi S ,,coment 18
Herufi T ,,coment 19
Herufi U ,,coment 20
Herufi W ,,coment 21
Herufi X ,,coment 22
Herufi Y ,,coment 23
Herufi Z ,,coment 24

NA ATAKAE LIKE COMENT YAKO UJUE HERUFI YA KWANZA YA MAJINA YENU INAFANANA, MTUMIE FRIEND REQUEST..

27/08/2014

Habari wana wadau…!!! Huu ni mkasa wa kweli kabisa na nipo njia panda mpaka sahivi sijui cha kufanya. Nipo kwenye mahusiano na mtoto mkali kweli wa kichaga na tunapendana sana, tumekuwa na mipango na future nzuri tu.

Tumevumiliana kwenye shida na raha japo yeye bado anasoma na yupo mwaka wa mwisho. Yeye anakaa Arusha ila anasoma hapa Dar kwenye chuo kimoja. Sasa chuo kilipofungwa si akaenda likizo kwao na likizo hiyo ikaambata na field ya muda mrefu akaniacha hapa dar…!!

Bwana weeeh k**a ilivyo kawaida kiasili wanaume wengi ila sio wote tamaa ikaja nilikutana na demu mmoja nilikua nakaa nae kitaa na alikua jirani yangu kipindi iko nakaa home kwa wazazi nayeye pia alikua ameshahama kwao anajitegemea so wazazi wake na wangu wanafahamiana vizuri wana urafiki wa kawaida tu.
Basi dem sikumtongoza ila tulibadilishana namba za simu tukawa tunawasiliana dem nikilmkaribisha getho anakuja. Alinipa historia ya maisha yake baada ya kupotezana kwa miaka mingi alikua na mtoto mmoja wa k**e ila alikua hajaolewa bwana ake baada ya kumpa mimba na mtoto akazaliwa akazuga zuga k**a kawaida akakimbia na kumuacha ila hela ya matumizi ya mtoto wake anapeleka k**a kawaida kila mwezi.

Tukawa marafiki anakuja getho na mm naenda kwake mara moja moja… sikutaka kumtongoza nilitaka siku akija getho nipige tu coz sometime tulikuwa tuna kunywa whisky, wine akiwa anakuja getho. Kuna siku nikalazimisha nikaishia kula mate…..!! siku zilivyokwenda nikamuomba game hapo sijamtongoza wala kumwambia nakupenda akawa staki nataka nikaona anazingua ngoja niachane nae nikawa nampotezea sasa ila kila siku lazima apige simu na kutuma sms sometime najibu ila sometime napotezea….!!

Kuna siku akakasirika kwann siimjibu sms zake wala kupokea simu yake nikamwambia nipo tite sana na kazi akasema atafuta namba yangu mimi nikamwambia asifute ila anivumilie tu. Basi bwana siku, miezi ikapita nimeshaanza hata kumsahau ilikua ijumaaa mida ya saa 12 jioni mchepuko ukapiga simu upo wapi nikamwambia nipo getho akanambia napitia hapo nakuja.!! moyoni niksema leo lazima nikumalize ikishindikana leo basi naaachana kabisa na wewe.

Nikaenda kuoga fast nikaandaa kondom za kutosha na nikapika chakula changu pale nikijiandaaa kumgegeda uyu kiumbe. Niliposhiba vizuri mtoto akaja siku hiyo hata sikupata tabu nilimshughulikia vya kutosha na alifurahi basi ikawa ndo mchezo wetu na tukakubaliana tukapime na tulivyopima tukajikuta tukawa fresh yani ikawa k**a dozi kumbuka sijawahi kumwambia nakupenda.

Basi kuna siku akaniuliza hivi unanichezea au unanipenda nikamjibu kwanza nina mpenzi yupo nje ya dar anarudi mwezi wa tisa ukae ukijua hilo nikamwambia tutaendelea hivi hivi akija itakua basi maana nay eye bwana ake wa zamani alikua anamsumbua so nikahisi pia watarudiana tu.

Muda ukazidi kwenda nikawa nakula mzigo navyotaka safari hii nikawa naenda kwakwe pale kwangu nikamwambia haiwezekani kuja tena maana kuna mtu anafahamiana na mtoto wa kichaga so ataharibu mambo. Ilileta utata ila akaelewa kwa utata sana na vitisho juu so nikawa naenda tu kwakwe kula mzigo na kusepa..!!

Basi mambo yakawa mambo Yule mchepuko akanambia ana mimba tukaenda kupima kweli alikua ana mimba ya mwezi mmoja akawa anataka kutoa mm nikamwambia asitoe nimeukubali yeye akasema sawa hataitoa hii mimba iwapo tu nikubali niende kwa wazazi wake nikajitambulishe moyoni nikasema labda ardhi ipasuke ndo naweza kwenda..

Nikamwambia si unakumbuka lakini nina mtu inawezekana kweli mm kufanya hivyo nikamwambia lea mimba itakua siri baada ya mwaka mmoja kila kitu kitajulikana na kitakuwa wazi kwa kila mtu na mm nitakupa ushirikiano wa kutosha kabisa..

Basi akakataaa akanitishia kutoa nikambembeleza wapi mwsiho wa siku nikamwambia uamuzi ni wako sasa ila siwezi muacha mchaga wangu ila nipo tayari kumkubali mtoto yeye akasema k**a staki kwenda kwao anatoa nikamjibu utakua uamuzi wako sio wangu… sasa mchaga wangu anakaribia kuja na mchepuko umenambia umekubali mawazo yangu kuwa atafanya siri kwa mwaka mmoja ila sasa simwamini nahisi atakuja kuniharibia makusudi.. naomba ushauri hapo wadau nifanyaje

LIKE PAGE NA TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

26/08/2014

Taasisi ya kuzibiti Ngono £(TAKUNGO£) kwa wanawake nchini kwa kushirikiana na TANESCO imetangaza kuanzia tarehe 01/9/2014, DUDU ZA WANAWAKE zote zitafungwa MITA za LUKU chini ya usimamizi wa T R A. imebainika DUDU nyingi ZINAFANYWA bila MALIPO na KUSABABISHA UCHUMI KUYUMBA ,zinafungwa MITA sasa ili WAFANYAJI WAFANYE kwa UNIT, poleni sana WAFANYAJI wote kwa usumbufu utakao jitokeza usikiapo TANGAZO hili mjulishe na MFANYAJI

26/08/2014

Kaka mambo?
Safi
unaenda wapi?
naenda nyumbani
kaka unaweza kunisindika kidogo maana hapo mbele napaogopa
makaka kwani ulipokuwa unakuja huku hukupaogopa?
hapana nilikuwa na kaka mmoja hivi
basi mwambie huyo tena akusindikize au?
kakata na mie nawahi kupika
haya twende
kaka yaani mie kunamkaka simtaki tena sitaki kumuona machoni eti ananifuatilia yaani simpendi sana
kwanini?
hana mwelekeo
ok poa basi sasa unaweza kunipa nafasi?
nafasi ya nini?
ya kukupenda
Mmmmh
mbona unaguna?
hapana
kwani wewe unaishi wapi? na unakazi gani?
naishi nyambongora kazi yangu ni kusupply vifaa vya umeme wilaya nzima
ok poa nimekubali
Asante kwa jibu lako zuri sasa naomba namba yako ya simu
simu sina
kwa hiyo kesho basi eti
Baby naomba basi hela japo 5,000/= tu ya kununua mafuta

KWANINI INATOKEAGA MARA KWA MARA HIYO TABIA YA KUOMBA HELA HUMJUI HAKUJUI JE K**A NI JINI?

25/08/2014

Umezaliwa mwaka gani?
Hebu nijuze nione unalingana na nani yangu!

Address

Chato
46

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari na Vioja posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Habari na Vioja:

Share