Sunmas De man

Sunmas De man Follow

23/11/2025

‎GENIOUS SEHEMU YA 3
‎Ilipoishia jamaa mmoja kanitambua jina nililotumia Taiwan .........nikafikria kumbe wanamtandao mkubwa nikarudi haraka hotelini kwa Mr fox
‎,,aah salumu karibu hongera umefanya vitu sikutarajia
‎,,Uskonde ,badae,
‎Pesa yako nisha ingiza NBC
‎,,fasta nika toka nikatoka nikaelekea kunununua PC dukani nikarudi fasta
‎,,simu ikaita ring ring, haloo,
‎Alikuwa ni nicah
‎,Umeondoka kimya mtu wang
‎Nilikuwa napikipik
‎Kidogonikaona nafatiliwa na gari nyeusi marcedes Benz nika tambua nikundi la akina Federico nikapaki maeneo ya masaki nikaingia katika ficho langu fasta nikadukua camera nikajua nikundi la akina Federico mara namuona Jordan kumbe Jordan ni kijana wa Federico
‎Kumbe wanakisasi cha mimi kuteketeza madawa yao ya kulevya ile narudi kwa Mr fox nakutana na nicah analia
‎,, salumu boss ,
‎ ,,boss?watakuwawamemteka fox sio
‎,,ikabidi nifanye mawasiliano na mkuu
‎General masanja
‎,,haloo Mr blessing alizoea kuniita blessing
‎,,Nimekupigia naomba kuandaliwa ticket nielekee MEXICO SASA kesho asubuhi Jiji la san Gabriel nikarudi kudukua kundi la akina Federico nika tambua anamtuwake wa karibu hapo San Gabriel
‎,,asubuhi namapema nikaelekea uwanja wa MWALIMU JULIUS KAMBALAGE NYERERE nika pepea na ndege
‎,,nilipewa details sehemu ya kufikia
‎Nilakapokelewa na kijana kwa jina Pablo aka nipeleka katika nyumba iliokuwa nje kidogo ya mji sikuwa na muda wa kupumzika nikafanya utafiti MR Federico ana mtuwake wa karibu anaempelekea kambini madada poa akifahamika k**a felix
‎Nika jiuliza inabidi nipatee usaidiz kutoka kwa General masanja nikajisemea hapana ntawatumia wao hao hao nilielekea mataa wa Don mad nkamkuta Felix katika chimbo anapochukua madada pow nikamsomea game alikuwa kalewa
‎Akaelekea msalani akiwa na vijanawake wawili waliojengeka misuli kisawasa bilakupoteza muda nilielekea ilenakaribia mmoja aliklfoka
‎,,ooya boya unaendawapi?
‎ sikuwa namuda wa kupoteza nikawatandika kubaya wakazima nikawahi kwa Mr Felix
‎,,oooh salumu
‎,,Ndo m

GENIOUS SEHEMU YA 2.....ilipoishia wa salumu akipelekwa yadi ya magari"wow kulikuwa na kila aina ya high caryaani kuliku...
17/11/2025

GENIOUS SEHEMU YA 2.....ilipoishia wa salumu akipelekwa yadi ya magari
"wow kulikuwa na kila aina ya high car
yaani kulikuwa mpaka naeston maltin Lamborghini tesra Benz Ferrari Jaguar 2025
nikachagua jaguar nilioitengeneza asubuhi it's the best ikamsh*tuwa kidogo nicah. siku wa na mengi nikacheki iko fiti kila idara
"twenzao
"salum kesho tutaendesha wote
"aah okay sure sina msaidizi itapendeza
"utalala floow ya juu roomQ20 utanipigia kwa lolote
,,,,,,,,,asubuhikukakucha saa11nacheki gari inazingua self nikajiulikutakuwa na kitu kumbe Peter dereva wa kwanza kumbe haumwi ila ni figisu kaogopa nikarekebisha fasta
,,ile naingia tu wakaona gari imeandikwa fox,wakashangaa Peter kapona inawezekanaje
,,niliposhuka wakacheka hawakujua nimtu hatari bila kupoteza muda tukkaanza màshindano
,,alijua Jordan kashamaliza michezo
mara niko nyuma yake aka stuka nikafungulia music kutoka kwa sunmas de man juachie hawakuamini kwa gari ile nikashinda
,,Jordan akasema we mchumba umeya timba akaishia
,,,ilikuwa furaha ikaingizwa Dola million 1katikaakaunt yangu ya NBC
kumbe Jordan wanamtandao wa madawa ya kulevya anashilikiana na wa Mexico akina Federico wakapanga kufanya
uvamizi kwa Mr fox waliponiona wakasema yupo na mshamba nikampokonya kisu nikamrushia.kikamchoma sniper, hawakujua wana dili nanani Jordan kumbe alikuwa kamteka Mr fox akachukua Benz new model nikaambiwa na nicah ndiponikachkua pikipiki ikiwa inaitwa Kawasaki speed motor chini ,,nilipokaribia nikadandia dakika5ninyingi nimemaliza insu
,ilisikika sauti ya mmoja wao ikisema ,,Jordan, huyu ni Mr blessing wakastuka nikakumbuka kutakuwa na wasaliti mission niliofanya taiwan kikosi changu kikapotea ....................
usikose sehemu ya3

genious 1 ep1Tunaanzia Jiji la dar es salaam sinza tunakutana na kijana anaitwa salumu akiwa k**a fundi garage  ikiwa ni...
17/11/2025

genious 1 ep1
Tunaanzia Jiji la dar es salaam sinza tunakutana na kijana anaitwa salumu akiwa k**a fundi garage ikiwa ni siku ya ijumaa asubuhi akiwa anajiandaa na majukumu ya kila siku analetewa gari aina ya jaguar ikiwa ni gari ya Mr fox
mr fox alikuwa anajiandaa na mashindano ya magari ambayo yalitakiwa kufanyika hapo kesho

man inakuwaje safi sijawaikuiutanatumai n we ni mgeni eneo bila shaka ,,
''Ndio tajir ,, (mazungumzo yaliendelea huku nikitengeneza)
"bila shaka utakuwa unaitwa Mr fox,,
"Ndyo kjana ,,umenijuaje hahaha,
Mara ghatla inafika Benz wanashuka washikaj wawili wanaonekana wanafahamiana na fox
"Boss mashindano ni kesho halafu peter anaumwa hatuna dereva mkali wakupambana na akina Jordan na ukizingatia Wana magari makar GTR ,,
"mmh okay niacheni ntawapa jibu,,
"okay Boss,,
salumu akawatayar k**aliza kutengeneza
"boss tayar nimemaliza gariyako ikotayari
"Acha utani
"tatizo ilikuwa kwenye piston
"Unatokea wapi kijana na unaitwa nani
"naitwa salumu au mr blessing
utanitumia details zako nahisi apa business card ,,...........
wakina jordani wakiwa katika mazoez kwaajir ya mashindano wako tyri
Mr fox akiwa na mawazo Nani ataziba pengo la peter
????lakini salumu kijana ataweza oooh nonono )

mara simu ring ring
"haloo nani salumu umetuma details zako
"ndy
???mmh nilifikiri kumpa nafas awe drive wa kuziba pengo la peter hana CV ila acha aje,,
"salumunjoo sinza karibu na jengo la waziri wa fedha ghorofa la jirani utapokelewa na Secretary
"karibu "
ilikuwa ni sauti ya Binti chotara wa kiarabu na kiafrica nikawa k**a nimepigwa shoti
"hakusita akaniita salumu karibu sana naitwa nicah bilakupoteza muda "nananaitwa salumu badae niwai kwa Mr fox
"salumu nimefurahia gari langu liko vizur
"ucjari ndo kazi yang
"kuna dili naomba usikatae nahitaji dereva mzuri dereva alio kuwapo kaugua nimeona we utafaa na mashindano ni kesho asubuhi mshindi dola milion3
"nikajifikiria mashindano yaliniletea bifu Japan ilanikakubali
"asanteh salumu nicah atakuelekeza

Nashukuru mungu kwa kunibless mpaka sasa
26/01/2020

Nashukuru mungu kwa kunibless mpaka sasa

https://youtu.be/XgYjJrCRmys Funga mwaka
02/12/2019

https://youtu.be/XgYjJrCRmys
Funga mwaka

Song title: "Pambanua" SongWritter:- Fellypanchtz Audio produced by:- Dx Fingers (Sebho)/ Rj music production Video Shot & Directed By Lakiboi From Geita-Mwa...

26/10/2019

17/06/2019

Address

Bunda

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sunmas De man posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share