Pastor fide.

Pastor fide. Pastor

MUNGU ANAPOKUWA PAMOJA NAWE.Yeremia 20:11 "Lakini Bwana yu pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wan...
19/03/2026

MUNGU ANAPOKUWA PAMOJA NAWE.

Yeremia 20:11 "Lakini Bwana yu pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea watajikwaa, wala hawatashinda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawakutenda kwa akili, wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe."

Mungu akupe hekima, hekima ni neno dogo sana lakini kubwa sana, hekima zitakufanya umpendeze Mungu na wanadamu.Hekima ni...
17/03/2026

Mungu akupe hekima, hekima ni neno dogo sana lakini kubwa sana, hekima zitakufanya umpendeze Mungu na wanadamu.Hekima ni uwezo wa mtu wa kutumia maarifa, uzoefu na ufahamu mzuri kufanya maamuzi sahihi na yenye busara. Hekima humsaidia mtu kuishi kwa haki na uadilifu.

Luka 2:52 "Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu."
................

May God grant you wisdom. Wisdom is a very small word, but very great in meaning. Wisdom will make you pleasing to both God and people. Wisdom is the ability of a person to use knowledge, experience, and good understanding to make right and thoughtful decisions. It helps a person live with righteousness and integrity.

Luke 2:52: “And Jesus grew in wisdom and stature, and in favor with God and man.”

JUA NAMNA YA KUMSHINDA ADUI YAKO.Adui yako huishiwa nguvu tu pale unapokamilisha mambo ya maana, lakini k**a una adui ha...
17/03/2026

JUA NAMNA YA KUMSHINDA ADUI YAKO.

Adui yako huishiwa nguvu tu pale unapokamilisha mambo ya maana, lakini k**a una adui halafu hana mambo ya maana unapoteza nguvu zako bure, kati yako na adui yako lazima kuwe na kitu chaku compete! Huwezi mwambia mtu ni adui halafu hakuna chochote. Adui jicho lake lipo kwa Unachokifanya, adui ni mharibu yupo hapo kuhakikisha anakumaliza, adui ni mtu hatari wa ubadae wako.

Nehemia 6:16
16 Ikawa adui zetu wote waliposikia, ndipo makafiri wote waliotuzunguka wakaogopa, nao wakakata tamaa sana machoni pao wenyewe; maana waliitambua kazi hiyo ilivyotendwa na Mungu wetu.

Hawa ndio maadui kina tobia, Angalia waliposikia Nehemia kajenga ule ukuta mrefu uliobomoka miaka mingi, wakaogopa, wakataa tamaa sana machoni pa wenyewe. Hakikisha unamshinda adui kwa kufanya mambo makubwa, hatushindani na adui kwa maneno, kwa sababu adui anayo maneno ya kutosha atakushinda, wakamwambia hako ka ukuta hata mbweha akikasukuma kanaanguka, adui atakufanya hujione hufai na huwezi, lakini leo nakwambia dhamiria kufanya mambo makubwa hata maadui zako watakuja upande wako. Focus, songa mbele, utafika. Maneno, condemnation, accusations, ni maneno madogo madogo wakati mwingine tutayafunua, leo nataka kukwambia adui yako mfanye k**a lift awe sababu ya wewe kufanya mambo makubwa, ukikumbua una adui fanya mambo makubwa atakuja kukuheshimu

Let us lift our country up in prayer
15/03/2026

Let us lift our country up in prayer

Lord, enlighten our hearts with Your truth and guide our steps with Your light. Remove darkness from our path and fill u...
12/03/2026

Lord, enlighten our hearts with Your truth and guide our steps with Your light. Remove darkness from our path and fill us with Your wisdom and peace. Amen.”

Theology, Church Administration and Management
15/10/2025

Theology, Church Administration and Management

Friends and family ..... Tunakuwaga na charity works tunafanyaga kila mwisho wa Mwaka. Mwaka jana tulifanikiwa kupeleka ...
22/12/2024

Friends and family .....

Tunakuwaga na charity works tunafanyaga kila mwisho wa Mwaka. Mwaka jana tulifanikiwa kupeleka mavazi na chakula kwa wahanga wa mafuriko hanan'g na Mungu wetu alitubariki sanaa.

Mwaka huu tuna uhitaji mwingi umekuja,kuna watu wengi wanatamani kumiliki kitabu kitakatifu cha Mungu "Biblia" lakini hawana uwezo. Naomba tuonyeshe pendo letu kwa kumnunulia mtu mmoja Biblia. Mungu atakubariki kwa kufanya hivyo utakuwa umemfungulia mlango mkubwa wa Neema maishani mwake.

Zaburi 119:105 "Neno lako ni taa ya miguu yangu,
Na mwanga wa njia yangu."

Call 0764 151543

New arrivals Karibuni sana Tupo Triple A complex Arusha.  0787151543 tunakutumia ulipo pia.
15/12/2016

New arrivals Karibuni sana Tupo Triple A complex Arusha. 0787151543 tunakutumia ulipo pia.

19/11/2016
Available at fide boutique 0787151543   #
27/10/2016

Available at fide boutique 0787151543 #

Address

Sakina
Arusha

Telephone

+255764151543

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor fide. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Pastor fide.:

Share