Pastor fide.

Pastor fide. Pastor

05/09/2026

BIBLE STUDY YA WATOTO ✨📖

“Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie.” — Mathayo 19:14 ❤️
Jumamosi ni Siku ya Watoto! 🎉
Tunawakaribisha watoto wote kuja kujifunza Neno la Mungu, kuomba, kuimba na kuibua vipawa. 🙏📖

👧👦 Tutawagawa katika makundi kulingana na umri.

Usimruhusu mtoto wako akose! Karibu tujifunze pamoja. ❤️

04/09/2026

USIPITE LEO BILA KUANGALIA UJUMBE HUU HAPA LEO.

30/08/2026

Upitapo katika maji mengi na mito haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea. Jisogeze karibu na Mungu. Siku Zerubabeli alipoamua kuwa karibu na Mungu kuna haya mambo makubwa yalimtokea, kuogopa hakukuwa sehemu yake tena, wala kushindwa hakukuonekana kwake. Jumapili hii Mungu anafanya jambo jipya kwako.

30/08/2026

Doers of the Word. Wapeni watu vitu.

27/08/2026

Kuna watu hawawezi kuwa wao wenyewe. Hawawezi kufanya maamuzi yao, kuamini sauti zao za ndani, Hata k**a anajua 1 +2 = 2, lakini bado atamuuliza mwingine, hata akiambiwa ni 3 ataacha jibu lake na kuchukua la mtu mwingine. Unajiona ya kwamba you are not enough.

Kuna kitu kinaiwa satanic manipulation, shetani anacheza na akili, nafsi na hisia za mtu, akimsababisha afanye mambo ambayo yanakuwa na faida yake. huwezi kuamua mpaka kuna sauti za watu zikuamulie katika uhalisia au sauti za ajabu katika roho ambazo hazitokani na Mungu. Amekuwekea hofu na mipaka ya kutosha. Satanic manipulation is a slow thief. Anaiba kidogo kidogo mpaka unafika mahali unaona kabisa hujimiliki. na hata thamani yako inaanza kupimwa kwa macho yao.

Ukiona unaanza kutilia mashaka kila uamuzi wako, mawazo yako na hata nafsi yako; ,omba
Usiwe mtu wa kutafuta approval kila kitu. Kuna watu ambao hawastahili kuwa na sauti katika maisha yako. Jitahidi kujenga your own voice, kwa sababu manipulation huanza kwa kunyamazisha sauti yako mwenyewe.

Matendo ya Mitume 2:25-27Nalimwona Bwana mbele yangu siku zote, Kwa kuwa yuko upande wa mkono wangu wa kuume, nisitikisi...
26/08/2026

Matendo ya Mitume 2:25-27
Nalimwona Bwana mbele yangu siku zote,
Kwa kuwa yuko upande wa mkono wangu wa kuume, nisitikisike. Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi wangu ukafurahi;
Tena mwili wangu nao utakaa katika matumaini.
Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu;
Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.

24/08/2026
23/08/2026

History began here!
“Na nyumba nitakayojenga ni kubwa; kwa maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu yote.” — 2 Mambo ya Nyakati 2:5

13/08/2026

Faith and entrepreneurship can work together through creativity

Address

Sakina
Arusha

Telephone

+255764151543

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor fide. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Pastor fide.:

Shortcuts

Share