Tanzania Hip Hop press conference

Tanzania Hip Hop press conference Hip Hop press conference based in Tanzania,
Focused on Hip Hop artist & hip hop movements
Arusha; 19

.MATUKIO KWA PICHA KUHUSU TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE ARUSHA.Shukrani kwa wote walioshiriki pia pole kwa wote wali...
20/10/2019

.
MATUKIO KWA PICHA KUHUSU TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE ARUSHA.
Shukrani kwa wote walioshiriki pia pole kwa wote walioshindwa kuhudhuria kutokana na sababu moja au nyingine
tukutane tarehe 26 october 2019
Dar es salaam
NEW MSASANI CLUB

.lile KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOP.linahappen muda huu hapa VIA VIA..fanya kusogea mitaa hii muda huu k**a b...
19/10/2019

.
lile KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOP.
linahappen muda huu hapa VIA VIA..
fanya kusogea mitaa hii muda huu k**a bado upo mbali.

.TUSIKILIZANE LEO TAREHE 18 OKTOBA 2019 MUBASHARA TOKA RADIO 5 FM.. MASWALI NA MAJIBU KUHUSIANA KONGAMANO LA UJASIRIAMAL...
18/10/2019

.
TUSIKILIZANE LEO TAREHE 18 OKTOBA 2019 MUBASHARA TOKA RADIO 5 FM.. MASWALI NA MAJIBU KUHUSIANA KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KUPITIA HIP-HOP.. SAA TISA MCHANA NA DJ HAZUU.. POPOTE ULIPO MASAFA HAYO HAPO kwenye PICHA

15/10/2019

.
Bboying (MAJOKA)
moja ya njia kubwa ya HIP HOP kuburudisha HADHIRA ni Bboying.
katika KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOP litakalofanyika ARUSHA pale VIA VIA kutakuepo na hii burudani pamoja na mafunzo kuhusu Bboying.
usipange kukosa.
ni tarehe 19 0ctober 2019
kwa mawasiliano 0755836463

14/10/2019

.
ARUSHA ARUSHA ARUSHA
TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE tarehe 19 october 2019 ndani ya VIA VIA
k**a wewe ni msanii wa HIP HOP au Shabiki wa Muziki wa HIP HOP usikose kwenye kongamano la ujasiriamali kwenye hip hop ambalo lengo lake kubwa ni kutoa mafunzo pamoja na Burudani.
burudani kibao kutoka katika Nguzo za hip hop zitakuepo.
+ MC's
+ DJ
+ Bboying (majoka)
+ Graffit (machata)
pamoja na wakufunzi wakubwa wa ujasiriamali kwenye HIP HOP watakuepo.
Mr akilikubwa

kutoka AKILIKUBWA DIGITAL
ambaye atazungumzia nguvu ya mitandao ya kijamii (Power of social media) na Digital platform katika kukuza muziki na kuuza muziki wa HIP HOP
Jacob Zuga

mkufunzi wa Bboying.. huyu ni moja ya mwanahip hop aliyefanikiwa sana kupitia Bboying, atakuepo kuelezea Bboying inavyoweza kukuza utamaduni wa hip hop lakini pia inavyoweza kufanywa kwa ukubwa zaidi
Dj Azhuu
kutoka Radio 5
huyu ni moja ya Dj ambaye amefanikiwa sana, atakuepo kuzungumzia uhusiano kati ya msanii na Radio jinsi unavyotakiwa kuwa.
Mubarak Tulio

kutoka Brave heart Inc
huyu ni moja ya watu wanaoishi kwenye misingi ya Hip hop, aliyafanikiwa sana kwa kufanya mambo kadhaa ya kiujasiriamali bila kuvunja misingi ya hip hop.
atakuepo kuzungumzia UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOP
usikose tarehe 19 october 2019
maeneo ni VIA VIA
mchakato wa mlangoni ni Tsh elfu 5 tu (5000/=)
mawasiliano: 0755836463 (k**a unahitaji kushiriki kivyovyote, mfano una brand yako au bidhaa zako unahitaji kuzitangaza siku ya event, wasiliana nasi kupitia namba hii 0755836463)

.COUNT DOWN inaendelea kuelekea kilele cha KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOPArusha tarehe 19 october 2019Dar es s...
13/10/2019

.
COUNT DOWN inaendelea kuelekea kilele cha KONGAMANO LA UJASIRIAMALI KWENYE HIP HOP
Arusha tarehe 19 october 2019
Dar es salaam 26 october 2019

.It is OFICIAL.. TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE x WATUNZA MISINGItunakuja na KONGAMANO LA UJASIRIAMALI NDANI YA HIP H...
12/10/2019

.
It is OFICIAL..
TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE x WATUNZA MISINGI
tunakuja na KONGAMANO LA UJASIRIAMALI NDANI YA HIP HOP
kongamano litafanyika Dar es salaaam tarehe 26 october 2019
mahali ni pale pale MSASANI CLUB
+MC's
+BBOYING
+GRAFFIT
+DJ's
etc
pia kutakua na madini mengi kutoka kwa speakers ambao wataongelea Ujasiriamali wa hip hop, power of social media kwa msanii wa HIP HOP, digital platforms etc
sambaza taarifa hii kwa wahusika woote.

12/10/2019

.
CONFIRMED | CONFIRMED | CONFIRMED
ANAITWA: Mr AKILIKUBWA

ni Social media marketing Expert and strategist
kutoka Dar es salaam
NI mmoja wa SPEAKER katika Kongamano la ujasiriamali wa HIPHOP litakalofanyika Arusha na Dar es salaam
ataongelea kuhusu MSANII NA MITANDAO YA KIJAMII PAMOJA NA DIGITAL PLATFORM (POWER OF SOCIAL MEDIA KATIKA MUZIKI)
amechaguliwa kuongea kwenye JUKWAA la TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE
ARUSHA na DAR ES SALAAM
ARUSHA: TAREHE 19 OCTOBER 2019 (VIA VIA)
DAR ES SALAAM: 26 OCTOBER 2019 (MSASANI CLUB)
follow us;
.

11/10/2019

.
CONFIRMED | CONFIRMED | CONFIRMED
ANAITWA WANABOMA

moja ya Washiriki wenye uwezo mkubwa katika michano kutokea ARUSHA
amechaguliwa kusimama kwenye JUKWAA la TANZANIA HIP HOP PRESS CONFERENCE
itakayofanyika ARUSHA na DAR ES SALAAM
ARUSHA: TAREHE 19 OCTOBER 2019 (VIA VIA)
DAR ES SALAAM: 26 OCTOBER 2019 (MSASANI CLUB)
follow us;
.

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Hip Hop press conference posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share