17/10/2024
Bwana Mutuse: Ulileta mashtaka kumi na moja, hauoni ya kwamba ulileta porojo nyingi. K**a wakili haukuwa umefikiria vizuri. Hata watu wa Marsabit wananiuliza k**a wewe ni wakili ama ni mtu mwenye amekombolewa tu ~ Marsabit SenatorMohamed Chute
📸 Courtesy