DJ FireBoy

DJ FireBoy A professional DJ๐ŸŒŸ for Events,Parties,Clubs,Road shows,Radio and Tv Holla@ 0797752581๐Ÿ’ฅ๐Ÿš€

Unaenda Kwa wenyeweMtoto anataka kukudunga kisu..unaskia mamake akisema usimnyang'anye atalie..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚๐Ÿฅฐ๐Ÿ’” Dj  fire  boy Foll...
26/08/2025

Unaenda Kwa wenyewe
Mtoto anataka kukudunga kisu..unaskia mamake akisema usimnyang'anye atalie..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
๐Ÿ˜‚๐Ÿฅฐ๐Ÿ’”

Dj fire boy
Follower

INSHA YA MTOTO WA GHETTO.Ilikua Mangware๐Ÿค“ kitu ka saa moja na mbaula. Mathe alikua ndio anapika bre, breko na si tulikua...
30/07/2025

INSHA YA MTOTO WA GHETTO.
Ilikua Mangware๐Ÿค“ kitu ka saa moja na mbaula. Mathe alikua ndio anapika bre, breko na si tulikua tuna du, tunadunga gwanda za chu, gwanda za chuo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š. Kighafla bin vuu mzae akadungiwa nangos ngrrrrrr ngrrrrrr ngrrrrrr. Akauma va vako๐Ÿ™„, akai lee akailenga๐Ÿ˜‘.

Mi nikachukua๐Ÿ˜ฎ ndunya a.k.a ndao skonya nikaichapa mabite mbili chwa chwa, kizangila zangila nikaingia bedroom chini ya maji๐Ÿค”.Nikasanya mbao ya kukula mogoka brektime chuo. Mabunde zikaanza kulia twa twa twa dushnyau๐Ÿ˜Ž. Nikajua kuna msee anaperembwa kuchungush kwa odiro, nikacheki ni buda ako works anaperemba wasee kwa coridor ya kina Symo๐Ÿ‘.

Juu ni tit for tat pia mi nikasaksua macoin zake kwa koti๐Ÿค—.Wanasemanga mtoi wa nyoka ni nyoka, ziiiii hio na kataa, mtoi wa nyoka ni nyoka ndogo๐Ÿ˜‘. Saa ticha jo manze hii insha nilicram hadi hapa nidunge kenye unanidu, unanidunga na nime ma, nimemada...awolan sha shutterde๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰usisahau kulike page ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ

Madem K**a una date a man above 30 years of age๐Ÿ™‚ wacha utoto ya kushinda ukimleta juu ukimuuliza mbona hajaku text Kila ...
21/06/2025

Madem K**a una date a man above 30 years of age๐Ÿ™‚ wacha utoto ya kushinda ukimleta juu ukimuuliza mbona hajaku text Kila time๐Ÿ™Hana time ya kushinda mkiongea kwa simu๐Ÿค™๐Ÿฝ ama kukesha mkichat๐Ÿคณ๐Ÿฝwacha kumshuku eti anaku cheat ju amekwambia Ako busy๐ŸคŒ๐Ÿฝ
Huyo ni mtu mature mwenye anapanga maisha ya familia ๐Ÿง‘โ€๐Ÿคโ€๐Ÿง‘Hana time ya kukimbizana na wasichana ๐Ÿ’ƒ๐Ÿฝ๐Ÿƒ Anatumia mda mwingi kufikiria vile atajiendelesha kimaisha ๐ŸคŒ๐ŸฝK**a anakupenda โค๏ธ tulia Mommaa ๐Ÿฅฐ pea mwanaume amani apange maisha yenu ya baadaye ๐Ÿซด๐Ÿฝ
Ana ni aje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚?

Jana usiku Kuna Dem alikuja kwangu ๐Ÿ˜‹ hange make kufika kwake juu ya mvua๐ŸŒง๏ธ,so akaniuliza ama naeza mpea accommodation at...
28/05/2025

Jana usiku Kuna Dem alikuja kwangu ๐Ÿ˜‹ hange make kufika kwake juu ya mvua๐ŸŒง๏ธ,so akaniuliza ama naeza mpea accommodation atatoka morning ๐Ÿ™๐Ÿ˜Œ, alikuwa mrembo alafu hakuwa anakaa kisirani ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ˜Šso nilikubali๐Ÿ˜,nikaendea nyama ,,nikamuacha akipika mchele hapo na chaiโ˜•๐Ÿฒ,after tulimaliza kula food yetu ikafika time ya kulala,๐Ÿ˜‰,nikamshow wee utalala ๐Ÿ›๏ธ bed Mimi nitajiekelea kwa chair๐Ÿ’ช,akaniambia tsokay Ayeebaba ๐Ÿฅฐ, akaniambia alafu am sorry to say this๐Ÿ˜Ÿlike silalagi na nguo,nikamshow feel at home ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ˜Œ,,nikapinduka akachange akaingia bed ,me nilikuwa kwa chair nikiwatch Ile series ya 365 days,naona huyo mhidi vile anaadalia manzi wake,๐Ÿ˜ฉ,nikaona itanieka kwa temptations ,,, ikabidi nizime vitron tv yangu nijiekeelee๐Ÿ˜“,I was tired btw๐Ÿ˜ช,,,kausingizi kakam,,,saa around saa sapa usiku nikaskia mtu ananigonga gonga mabega niamke,,,nikashtuka kwanza๐Ÿ˜ฎsikuwa nakumbuka tuko wawili ๐Ÿ˜,sijazoeaaaa๐Ÿ™ƒ,,alikuwa Sharon uchi wa kinyama,de,Dee Aki naskia baridi๐Ÿฅถnafreez,nikamshow shika pia hii shuka nimejifunikia mamiee๐Ÿค—ushikanishe na hiyo blanket uko nayo zikiwa mbili Ivo zinakuwaga na joto ,,Mimi hata Niko sawa heheh sijifunikiagi btw๐Ÿ˜œ,,,,saa mrng haja ngoja hadi nimpikie chai๐Ÿ˜,,,,but my point is ni vizuri kuwa caring guysโ˜บ๏ธ,Bibilia inasema be your brothers and sisters keeperโœŠ๐Ÿ˜ถ

,Nifollow ucheke kila siku ๐Ÿ‘‰
Dj fire boy

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญkumbe kukaa na dem lazima mkule breakfast daily.๐Ÿ˜ข alichukua my favourite towel akaifanya duster aty juu nimeitumia fo...
24/05/2025

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญkumbe kukaa na dem lazima mkule breakfast daily.๐Ÿ˜ข alichukua my favourite towel akaifanya duster aty juu nimeitumia for 9 years.๐Ÿ˜ญhuskii hadi nimetafutiwa uniform za kulala. ๐Ÿ™„actually nilidhani fruits ni za harusi ama christmass..๐Ÿ˜‚saii nazikula daily k**a mgonjwa.๐Ÿซข
Bana shopping ni mara mbili kwa wiki na blueband ni lazima, ๐Ÿ™„nilikuwa nimezoea kitunguu na nyanya then royco..saii nimejua spices zote hadi puplica ๐Ÿซขsijui mawat. kwanza nalalia pillows za pink. ๐Ÿ™†kitu ingine hanunui nyanya za 10 na kitunguu moja...anaokota kila kitu kwa kibanda banaโ›น๏ธโ›น๏ธโ›น๏ธ nilidhani kuoga ni sabuni ya kipande na kagunia..msee nilibuyiwa gloves na scented soap..naoga k**a chiwawa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™†then glass zangu za maji zilitupwa zote na vile hizo yoghurts zilikuwa expensive plus kuosha hizo mikebe๐Ÿค”๐Ÿค”
introducing towel in my house was the greatest shock, nilizoea nikimaliza kuoga najitingiza k**a mbwa nakauka๐Ÿ˜‚โ›น๏ธ I thought mtu huoga akienda town but guess what naoga ata nikienda kulala....Hadi nmeanza ata kukuwa brown brown๐Ÿ˜‚


Dj fire boy
@

๐—Ÿ๐—ฒ๐—ผ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ (EMBU) ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ-๐—ฟ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿค”๐Ÿค”. ๐—”๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ...
22/05/2025

๐—Ÿ๐—ฒ๐—ผ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ (EMBU) ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ-๐—ฟ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿค”๐Ÿค”.

๐—”๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐˜‚๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐Ÿ’œ๐Ÿ’œ. ๐—ฆ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฒ๐˜†๐—ฒ ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ฝ๐—ผ๐—น๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐—น๐—ฒ๐—ฒ ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’๐Ÿ’.

๐—ง๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ž๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ด๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ด๐—ผ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚, ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ.

๐—ก๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐˜‚ ๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ 28 ๐˜†๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐˜€ ๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ 6 ๐—บ๐—ผ๐—ป๐˜๐—ต๐˜€ ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ผ ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ต๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฑ๐—ฒ๐—บ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ป๐˜†๐—ผ๐—ป๐˜†๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐˜๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฆ๐Ÿฟโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐—”๐—ป๐˜†๐˜„๐—ฎ๐˜† ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ ๐—ถ๐˜ƒ๐—ผ. ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ท๐˜‚๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฟ๐—ผ๐—ณ๐—ถ๐—น๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐—ณ๐—ผ๐—น๐—น๐—ผ๐˜„ ๐Ÿ˜€ ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ผ ๐˜๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฒ ๐—ฝ๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚

Nakumark alafu unapost mpoa wako Kwani unataka kuniua๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ™ˆDj Dj  fire  boyirDj  fire  boyoyDj  fire  boy
14/05/2025

Nakumark alafu unapost mpoa wako Kwani unataka kuniua๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ™ˆ
Dj Dj fire boyirDj fire boyoyDj fire boy

14/05/2025

1. Never shake hand while sitting.

2. Never talk bad about the food when you are the guest.

3. Don't eat the last piece of something you didn't buy.

4. Protect who is behind you and respect who is beside you.

5. Never make the first offer in a negotiation.

6. Don't take credit for the work you didn't do.

7. Dress well, no matter what the occasion.

8. Speak honestly: say what you think and mean what you say.

9. Ask more than you answer.

10. Leave the profane language for the less educated.

11. Avoid placing your phone on the table when eating with someone.

12. Listen, smile and most of all make eye contact.

13. If you're not invited, don't ask to go.

14. Never be ashamed of where you come from.

15. Don't beg for a relationship.
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

Nimeenda kwa forest kujinyonga nikapatana na simba karibu iniue banaa weeh๐Ÿ’”๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ~~Dj  fiDj  fire  boy  boyDj  fire  boy
07/05/2025

Nimeenda kwa forest kujinyonga nikapatana na simba karibu iniue banaa weeh๐Ÿ’”๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ~~
Dj fiDj fire boy boyDj fire boy

22/12/2024
Juzi my ex Carol alinipigia akaniuliza kaa niko kwa nyumba coz anataka kunitembelea๐Ÿ˜ŠโœŒ. Mimi na ufisi yangu na venye nlik...
22/06/2024

Juzi my ex Carol alinipigia akaniuliza kaa niko kwa nyumba coz anataka kunitembelea๐Ÿ˜ŠโœŒ. Mimi na ufisi yangu na venye nlikua dryspell nkafikiria na d*ck badala ya akili๐Ÿ’”. Pap! Nkajua naletewa nunu๐Ÿ‘๐Ÿ‘ˆ nijikumbushe venye ilikua inaonja๐Ÿค—.Nkamwambia nko kejani.
Mbio mimi noogle nkakimbilia c*ndom za KISS ME๐Ÿ˜Ž... manjugu, nkanunua grade one yenye ukikula libido zinapanda k**a soda ya coke. Saitani mimi nkaosha nyumba na nkaomba air freshener kwa jirani ndio nyumba inukie s*xy๐Ÿ˜›.Saa hio kigongi๐Ÿ†๐Ÿ‘ˆ inatick kaa mkono ya wall clockโ˜บ, mimi na madryspell nkajiambia akikam sifai kumwaga๐Ÿ’ฆ haraka๐Ÿค“.Nkajiambia huyu ntamsugua home & away๐Ÿ˜Ž, yani kushoto kulia hadi majirani wanitambue๐Ÿ˜. Nkatoka tena nkaendea smirnoff ya kumueka extraordinary githinyaku na tusnack kadhaa๐Ÿ™‚.

Kurudi kwa nyumba akancall akaniambia ako karibu๐Ÿ˜—. Mi nkafungua mlango na nkajilaza kwa sofa na boxer๐Ÿค—, usisahau c*ndom ziko kwa meza. Kigongi saa hizo kinakaa aerial ya greatwall venye kime tent boxer, 90o kando.....Waaah kumbe shetani naye ni nani?๐Ÿค”๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€...ndio uyo ex ameingia na mamake na babake na wazee watatu, kumbe saitani ilipata ball last s*x session๐Ÿ˜“. To cut the story short, sai nmejifungia kwa choo ya bedsitter yangu. Njaa inanimaliza nitumieni KDF na maji...simama na mm wakati huu mgumu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿฆฏ

Mimi hapa nataka ufollow page yangu, you won't get bored. It have romantic stories๐Ÿฅฐ. Just click here to follow Dj fire boyDj fire boyDj fire boyDj fire boy

Tulisema 40mins K**a Hujamwaga๐Ÿคท๐Ÿฅต๐Ÿ’ฆ.Vaa Nguo๐Ÿ˜Š Umwagie mbele๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜Dem  wa Wenyewe C Pikipiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’” kumbaff                     ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ...
20/06/2024

Tulisema 40mins K**a Hujamwaga๐Ÿคท๐Ÿฅต๐Ÿ’ฆ.Vaa Nguo๐Ÿ˜Š Umwagie mbele๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜Dem wa Wenyewe C Pikipiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’” kumbaff
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Follow up ๐Ÿƒ ata K**a imekuguza ๐Ÿ˜‚
Dj fire boy
fire boynsDj fire boyDj fire boy@topfans

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DJ FireBoy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to DJ FireBoy:

Share