26/02/2026
Mcheshi anayejaribu kuwa k**a Ishowspeed, Vindee, jana amepigwa akiwa kwa upeperushaji huko Klabu Area, UON. I ni baada ya kuanza kuongelesha wasichana waliokuwa kwenye njia na taa ya mwanga ya LED wanaoitumia kuwaangazia vijana wasiojulikana.
Baada ya purukushani ilionekana kumalizikia kwa mtu wake wa kamera kuumizwa Vindee alidai kuwa hawangeweza kumuibia simu kwa maana anawashinda na nguvu.
Je wewe waona ni haki kwa watu kuwasumbua wapepereshaji video ikiwa kamera zao zitawamulika wakiwa pahala pa umma