10/02/2026
Yes Amani haiwezi patikana kwa njia ya kuendesha biskeli kutoka Nairobi mbaka kuria ( Migori county) ila hili ni shinikizo kwa viongozi na serikali kuingilia kati kuzuia vita hivyo vya kijamii. tazama mbele usiangalie nyuma mbaka hivyo vita viishe . Mwanaharakati J Habuba