The BIg Industry

The BIg Industry We take you through the world of entertainment, and many more about our Africa music industry.

Mfanyabiashara na ushawishi wa mitandao ya kijamii Mwingereza mwenye asili ya Nigeria, Igho "Tiny" Ubiribo, amefariki du...
05/09/2026

Mfanyabiashara na ushawishi wa mitandao ya kijamii Mwingereza mwenye asili ya Nigeria, Igho "Tiny" Ubiribo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 kufuatia upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume akiwa mapumzikoni nchini Thailand na mke wake, kulingana na TMZ.
​Ubiribo, anayejulikana pia k**a Denisi au Ego, inasemekana alifanyiwa upasuaji huo wa urembo katika kliniki moja jijini Bangkok ambapo madaktari walimchoma mililita 40 za hyaluronic acid na lidocaine kwenye uume wake. Muda mfupi baadaye, alienda kufanyiwa massage (kandandishwa) na mke wake, Danielle Simba Allen, lakini akaanza kupata maumivu makali ya kifua.
​Taarifa zinasema Ubiribo alizimia mara mbili kabla ya kukimbizwa katika Hospitali ya Sukhumvit, ambapo madaktari walimfanyia huduma ya dharura ya usaidizi wa kupumua na moyo (CPR) kwa zaidi ya dakika 100. Japo walijitahidi, alitangazwa kuwa amefariki dunia.
​Maafisa wa afya baadaye walithibitisha chanzo cha kifo kuwa ni pulmonary embolism — yaani gazi/sugu la damu lililoziba mishipa ya mapafu lililotokana na sindano hizo za kujaza (filler injections).

Rayvanny ametoa ushauri kwa vijana, ushauri wake unasema achaneni na wanawake weupe wana garama 🤣🤣🤣
05/09/2026

Rayvanny ametoa ushauri kwa vijana, ushauri wake unasema achaneni na wanawake weupe wana garama 🤣🤣🤣

"K**a nilivyo wahi kusema mwaka Jana baada ya k*mpost mwanangu, narudia tena kusema sihitaji kupangiwa namna ya kuishi n...
04/09/2026

"K**a nilivyo wahi kusema mwaka Jana baada ya k*mpost mwanangu, narudia tena kusema sihitaji kupangiwa namna ya kuishi na mwanangu, Nimemlea Mwenyewe na Mimi ndo kila kitu kwake na tumeamua kuishi hivi Kwa sababu yeye ndo furaha yangu pia Mimi ni furaha yake

Naombeni mtuache kabisa, baba yake alinitelekeza miaka mingi sana na hajui hata sabuni yake, niacheni niishi nitakavyo na mwanangu tusipangiane"

🗣️Amesema huyu mama baada ya kukosolewa kuhusu ukaribu wake na huyu mtoto wake wa kiume.

Je hii ni sawa?

04/09/2026

I got over 200 reactions on one of my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

Maua Sama amejifungua Salama mtoto wakike katika moja ya hospital ya aga khan inayo patikana jijini Dar es Salaam Tanzan...
02/09/2026

Maua Sama amejifungua Salama mtoto wakike katika moja ya hospital ya aga khan inayo patikana jijini Dar es Salaam Tanzania

Maua amefurahi sana kwani kuanzia leo ataitwa mama, nadhani kila mwanamke mwenye mtoto anajua ni raha kiasi gani pale unapo itwa mama kwa mala ya kwanza, maua ame mshukuru Mungu na ame wataka mashabiki zake waache k*m fananisha na mlisho mpoto

Kitu cha kufurahisha ni kwamba maua Sama alijaribu kutoa lock ya simu yake kwa kutumia uso wake lakini simu ilikataa kutoa lock, simu hiyo imeshidwa kuutambua uso wa maua mana amekuwa bonge Sana 🤣

Rashid Abdalla Na Lulu Hassan Wakiwaletea Wasanii Wa Bongo Coast Hamwapigi Wala Kuwazushia Kwa Stage, Mkiletewa Wapwani ...
01/09/2026

Rashid Abdalla Na Lulu Hassan Wakiwaletea Wasanii Wa Bongo Coast Hamwapigi Wala Kuwazushia Kwa Stage, Mkiletewa Wapwani Wenzenu Mnawatupia Chupa Na Matakataka, Vijana Wamejituma Kwanza Mtalibani Halisi Amekesha Beach Usiku na Asubuhi mapema kutafta Pesa Za kujipeleka Studio Akiwa Kijana Mdogo Sana, Sahii Alipofika Mnawapa Wakati Mgumu Stejini? Hii iendee Watu Wa Ukunda na coast nzima Jua Importance Ya Music, Muziki Sio Siasa, Guuns Peleka Kwa Siasa, Music Ni Burudani Alaa!

Moja ya kauli za kushangaza ni pamoja na msanii mkongwe kutoka Nigeria Tiwa Savage ambaye amefunguka kuwa anatongozwa sa...
01/09/2026

Moja ya kauli za kushangaza ni pamoja na msanii mkongwe kutoka Nigeria Tiwa Savage ambaye amefunguka kuwa anatongozwa sana na wanawake wenzake kuliko wanaume na wote hao wanamtongoza kimapenzi na sio Upendo wa kawaida

Msanii   kupitia akaunti yake amepost picha hizi zinazoonyesha ni mjamzito hivi sasa.
30/08/2026

Msanii kupitia akaunti yake amepost picha hizi zinazoonyesha ni mjamzito hivi sasa.

Mr blue ndiye msanii Pendwa Kwa Mashabiki muda wote,Miaka yote ya   Unyenyekevu, Ustarabu na Nidhamu vimemfanya asiwe na...
30/08/2026

Mr blue ndiye msanii Pendwa Kwa Mashabiki muda wote,Miaka yote ya

Unyenyekevu, Ustarabu na Nidhamu vimemfanya asiwe na BIFU na wasanii wenzake Kwa muda wote.

Ukija Upande wa Nyimbo zake akiwa Jukwaani utatamani asishuke Kwa namna ya upangiliaji.mzuri nyimbo zake.

Anguko lake kwenye Muziki Miaka ya nyuma lilimfundisha mambo mengi Sana nakuelewa Maisha kuna kupanda na kushuka.

Mtihani huo ulimfundisha k*mjua mwenyezi Mungu,na kuthamini watu bila kuwa na majivuno.

Sio maneno yangu ni ya Mr blue Mwenyewe mara kadhaa ameongelea Hali hiyo ilivyombadilisha na kuachana na Maisha yakujisikia Sana Kisa NI star na kuchagua unyenyekevu Kwa Jamiiii.

Mwanamuziki wa Singeli Bongo, Meja Kunta, 27, amesema aliachana na Jacqueline Wolper, 43, baada ya kuona hakuna mweleko ...
29/08/2026

Mwanamuziki wa Singeli Bongo, Meja Kunta, 27, amesema aliachana na Jacqueline Wolper, 43, baada ya kuona hakuna mweleko mzuri wa penzi.

Amesema katika uhusiano wake na Wolper alifikia hatua akaona yeye ndiye anajitoa zaidi kuliko mwenzake, kitu ambacho kilianza k*mpa mashaka.

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The BIg Industry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to The BIg Industry:

Shortcuts

Share