Bomzy Entertainment

Bomzy Entertainment ACTOR

I'm still remember the last message mum *Ulimwengu haumuonei huruma mwanaume,na ndio maana vifo vingi vya ghafla ni vya ...
19/11/2025

I'm still remember the last message mum
*Ulimwengu haumuonei huruma mwanaume,na ndio maana vifo vingi vya ghafla ni vya wanaume........*😢😢

Kukata tamaa ni mwiko na hairuhusiw nyumbani kwetu!!Mpo sahihi mkisema tuna njaa sana kwani walio na shibe wapo vivulini...
13/08/2025

Kukata tamaa ni mwiko na hairuhusiw nyumbani kwetu!!
Mpo sahihi mkisema tuna njaa sana kwani walio na shibe wapo vivulini!!
Mbna nanyi mpo juani !!

Mỹ Mỹ

         1:Najua kwa Saša huna hata mwana ila Kwa Mungu Una idadi ya wtano,,leo Acha Nieke huu mkataba tusije onana waba...
22/10/2024



1:Najua kwa Saša huna hata mwana ila Kwa Mungu Una idadi ya wtano,,leo Acha Nieke huu mkataba tusije onana wabaya!Humu ndani ulikuja nkusitiri japo wewe mzazi wa marehemu.Fanya heshima na adabu zako!!

2:Ukiona naletewa watoto kutoka nje usilete fujo,,wako uliwauwa mwenyewe,kubali kulea wa kwangu Sasa!!

3: Ukimalza miaka 2 hujazaa nakuolea mke mwengne,Ile starehe ulo itafuta ujanani bado utaishi nayo milele!!

4:Hilo umbo ulo nalo k**a unataka liwe ivo milele funga virago mlango ndo ule pale,!!

5:Ulitoa watoto Kwa kulinda umbo Ila ulipo patoa watoto pamezeeka,haya wanangu utawaeka kwenye nyumba ya marehemu,,k**a itatokea una shda la uzazi,utasimamia majukumu hayo, ilikuwa starehe yako hio!!

6:Najua umekubal nkuoe kisa marafiki zako kina Asha Gongo na Mwajuma Komwe wameoleka,ila sio lengo lako kuolewa na mtu Mimi,Sasa Mimi sitotaka tabia zako Zi zaane ndni ya nyimba hii!!

7:Kuishi na Mimi naitaji ukatishe urafiki na hao viranga ranga vyako,msije mkaanza kunsukia mipango yakunipa maumivu!!

8:Sijakupata mwali,kwaio vunja laini yako ya simu nkupee nyengne, number Zi sizid 10,watu wengne wapige huku nkupee,,!!

9:Najua wewe ni muuwaji,,k**a nafsi tano umezitokomeza Mimi sio lolote kwako,,Fanya ibad na utubie,nkikuona unaruka ruka sala bila dharura Zaid ya mara 3 warudi kwenu!!

10:La Mwisho,,Najua huko kwenu ndio uligawa mpka ukawa mama WA marehemus,sitataka uende mara Kwa mara kumbe mwwenda kumbushana enzi ženu,,nzalie ndio Uwe ukienda kwenu,wawaza Nipa mtoto WA jirani nimlee!!Haya eka sahihi ukapika ugali tule!!

Follow my page

Bomzy Entertainment

         1:Mke wangu  kuenda kwenu mara Kwa mara marufuku, nyumbani kwenu sio kwako tena,wapo wanao endesha mji huko.!!2...
21/10/2024



1:Mke wangu kuenda kwenu mara Kwa mara marufuku, nyumbani kwenu sio kwako tena,wapo wanao endesha mji huko.!!

2:Kama waenda kwenu tutaongozana,ugeni wetu niwamchana pekee,,jioni twarudi nyumbani!!

3:Kukitokea dharura kwenu usinyayue mguu hapa kwangu mpka nkupe ruhusa,hata iwe kifo!!

4:Mmeo X k**a alikufa niakikishie kaburi lake na cheti chake cha kufa,hili nikwa kujua ntawafunza vip wanao!!

5: Mmeo X k**a bado u hai marufuku kujileta kujulia hali wanawe,ama wewe ukampelekee mwanawe ,ntampeleka Mimi,na k**a nkumfuata ntamfuata!!

6:Mawasiliano na Mzazi mwenzio marufuku,,hata iwe wtoto wanaumwa na apige na number zangu!!

7:Mmeo X k**a nimzima nimfahamu,usije ukaanza kusema ni Ndugu yako kumbe ni X wako, KISHA MARUFUKU KUJA HUMU NDANI!!

8:La Mwisho!! Nataka njue uliachwa,ama uliacha!!Huenda tabia zilizo waachisha nipo nazo,ama bado upo nazo!!Tusioane k**a zipo!!Haya eka sahihi hapa!!

Follow my page

Bomzy Entertainment

           1:Dada,maisha yamebadilika,zamani sio sasa,waume tuko kidogo kushinda wana wake, alafu kuna baadhi nao Pia wa...
14/10/2024



1:Dada,maisha yamebadilika,zamani sio sasa,waume tuko kidogo kushinda wana wake, alafu kuna baadhi nao Pia wanaume wamekuwa wanawake,,ukioleka itunze ndoa yako!

2:Dada,maisha yamebadilika,zamani uchumi ulikuwa uko imara na kina babu waliweza kuoa wake zaidi ya moja,,Kwa Sasa uchumi hauruhusu,ukiipata nafasi ya ndoa itunze!

3:Dada,Tabia za siku hizi ndio zina sadikisha kuwa kuolewa ni bahati,hapana dada, heshima yako itunze itakupa Mme sahihi na wala sio kutafuta mume sahihi!

4:Dada,sikuizi wanawake wanadai haki Sawa,hilo liwe mwiko kwako kwani majukumu yakigawanywa mengine yatakulemea, wanaume tunasiri nzito Kwenye kuzimbua riziki zetu,katu usidai haki Sawa kwenye ndoa yako, umeolewa na wala hukuoa!

5:Dada, wanaume sikuizi wamekuwa wakutumia madawa mengi,hata vileo wanavyo tumia vina kemikali,ridhika na mwendo wa mwenzio,joshu k**a haja jaaliwa kukufikisha!!

6:Dada,epuka mwanaume asiye jali maendeleo yenu,mume asiye ekeza Kwa ajili ya maitji ya dharura ama hata baadae.Uyo atakuacha na madeni pindi tatizo muhimu likizuka kwenye ndoa YENU!

7:Dada ,swala la kuposwa limekuwa mtihani Kwa Sasa! HILI ni kutokana na kujirahisisha!Hivi, unadhan nkila mua Ganda lake ntaliifadhi Dada!?

8:Dada, ukiolewa kaipende sana familia ya Mumeo,huko ni kwako na ujue mtu kwake nimuhimu kuliko kwao! Ukifanya hivo mume hatakuwa na nguvu yakukutimua unapo kosea!!

9:La Mwisho Dada yangu!Dada Neno Samahn ndio Pazia ya ndoa yenu,Ila likizidi Kwa kujirudia rudia huwa k**a chandarua,Je watu wa nje hawataona!?..... Haya nenda ukanipikie ubwabwa wifi yako Leo ameenda clinic!!!!!!!






Minash Minash
Friends - friends
Clam Cris
Kanji Og
Reno Byser Lava Bwoy Brown Vevo Mission Complete Ramadhan Singh Ndanimbiri Jane Mwanzia

14/10/2024
12/10/2024
Nakila uchao bahati zetu ziko Kwa baadhi ya watuMungu zitoe utupe Uhuru wtuAMEEN https://www.youtube.com/
05/10/2024

Nakila uchao bahati zetu ziko Kwa baadhi ya watu
Mungu zitoe utupe Uhuru wtu
AMEEN

https://www.youtube.com/

Address

Tsimba
Kwale
80403

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bomzy Entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share