Lubonji Wa Lubonji

Lubonji Wa Lubonji L.W.L MUSIC & INTERNATIONAL NEWS

Bonjour Antwerpen (ANVERS)Belgique BABA L.W.L
20/06/2026

Bonjour Antwerpen (ANVERS)
Belgique
BABA L.W.L

HISTORIA YA TANTINE ABETI MASIKINIL'HISTOIRE DE TANTINE ABETI MASIKINITANTINE ABETI MASIKINI alijidhihirisha k**a Msanii...
19/06/2026

HISTORIA YA TANTINE ABETI MASIKINI
L'HISTOIRE DE TANTINE ABETI MASIKINI
TANTINE ABETI MASIKINI alijidhihirisha k**a Msanii wa pekee wa k**e kutoka Congo aliyewahi kutumbuiza katika ukumbi maarufu wa Olympia, ambako alifanya Show yake tarehe 19 Februari 1973, akifuata nyayo za Tabu Ley Rochereau aliyekuwa wa kwanza mwaka 1970.
Mwaka 1979, aliandika pia Historia kwa kuwa Msanii wa kwanza wa Congo kutumbuiza katika ukumbi wa kifahari wa Royal Albert Hall Jijini London, mojawapo ya majukwaa mashuhuri duniani.
Umaarufu wake barani Afrika ulimfikisha pia katika viwanja vikubwa vya michezo k**a vile Uwanja wa 11-Novemba nchini Angola, Uwanja wa Lomé, na Uwanja wa Ouagadougou, akithibitisha upeo na mvuto wa kipekee wa sanaa yake.

Version Française

TANTINE ABETI MASIKINI s’est affirmée comme la seule artiste féminine originaire du Congo à s’être produite dans la prestigieuse salle de l’Olympia, où elle donna son spectacle le 19 février 1973, suivant ainsi les traces de Tabu Ley Rochereau, qui en avait été le premier représentant en 1970.
En 1979, elle grava également son nom dans l’Histoire en devenant la première artiste congolaise à se produire dans le somptueux Royal Albert Hall de Londres, l’un des lieux les plus emblématiques du monde musical.
Sa renommée à l’échelle du continent africain la mena aussi dans de vastes enceintes sportives telles que le Stade du 11-Novembre en Angola, le Stade de Lomé, et le Stade de Ouagadougou, confirmant ainsi l’ampleur exceptionnelle et le pouvoir d’attraction singulier de son art.
BABA L.W.L

HISTORIA YA TANTINE ABETI MASIKINIL'HISTOIRE DE TANTINE ABETI MASIKINIABETI MASIKINI Taswira ya Malkia, Mwanzo wa Upekee...
18/06/2026

HISTORIA YA TANTINE ABETI MASIKINI
L'HISTOIRE DE TANTINE ABETI MASIKINI

ABETI MASIKINI Taswira ya Malkia, Mwanzo wa Upekee na Dhamiri ya Mwanamke wa Bara
Akiwa amezaliwa k**a Élisabeth Finant, tarehe 9 Novemba 1954 huko Stanleyville (Kisangani), Mji uliokuwa ukipitia misukosuko ya Congo iliyokuwa ikijijenga upya? ABETI MASIKINI yeye huwekwa kwenye Group adimu sana la Wasanii ambao safari yao inavuka mipaka ya jukwaa la muziki na kujigeuza kuwa hadithi ya Taifa, Bendera ya utambulisho, Tamko la kisiasa.

Baba yake Mzee Jean‑Pierre Finant, Mwanasiasa mashuhuri na shujaa wa uhuru aliyeuawa mwaka 1961, ABETI MASIKINI kalelewa katika mazingira ambayo heshima, utamaduni, upinzani na ufahamu wa historia vilikuwa kitu kimoja.
Urithi huu ulimjengea imani ya kina : Sanaa sio burudani pekee, bali ni uwepo, ni madai, na njia ya kujidhihirisha mbele ya Dunia.

Utoto ulioumbwa na upotevu, nidhamu na nia
Akiwa yatima wa Baba akiwa na umri wa miaka saba, alilelewa na Mama yake Alphonsine, Mwanamke jasiri na mwenye nidhamu. aliyemfundisha aibu njema, bidii na uvumilivu.
Mapema sana, ABETI MASIKINI alionyesha uwezo wa sauti yake ya upekee, yenye joto, pana, inayobadilika, yenye uwezo wa kutoka katika upole wa utulivu hadi mwangwi mkali wa moto.

Akiwa kijana, alijaa mirindimo ya Jiji la Kinshasa, midundo ya Soukou, harmonia za Rumba, pamoja na ushawishi wa Muziki wa Waamerika Weusi uliokuwa k**a ushawishi mkubwa Barani Africa kwa miaka hiyo ya 1970.

Kuchanua kwa nyota: kuzaliwa kwa “ABETI MASIKINI”
Mwanzoni mwa miaka ya 1970, alichukua jina la kisanii ABETI MASIKINI, likawa k**a muunganiko wa kishairi uliogeuka kuwa alama.
Akawa muasisi wa Group lake (Les Redoutables), na akaweka mtindo mseto uliochanganya Rumba, Funk, Soul, na midundo ya jadi ulio ongozana na Ngoma za kisasa.

Uwepo wake jukwaani wa kuvutia, wa Kisanii, wa kiliturujia ulimtofautisha mara moja: Abeti hakuimba tu, aliishi muziki.

Mwaka 1973, akawa mmoja wa Wasanii wa kwanza kutoka Africa Kusini mwa Jangwa la Sahara kutumbuiza kwenye Ukumbi maarufu wa L’Olympia Jijini Paris, zoezi ambalo kalirudilia tena kwa mafaanikio kwenye miaka ya 1975 na 1986.
Show hizo, zilisifiwa sana na vyombo vya habari vya Ufaransa, hadi kupelekea kuliweka jina lake kwenye ramani ya dunia ya sauti kubwa za Afrika.

Kazi iliyoongozwa kwa ubunifu, nidhamu na ujasiri.
Akiwa mchapakazi asiyechoka, ABETI MASIKINI alikua Mwandishi, Mtunzi, Producer, Kiongozi wa Group lake, kajihusisha pia na kujadili mikataba, kadhalika na ubunifu wa mavazi yake.
Alikuwa miongoni mwa Wanawake wa kwanza kabisa wa Afrika ya Kati kuchukua uongozi kamili wa Kisanii, katika ulimwengu uliotawaliwa na Wanaume.

Baadhi ya kazi zake mashuhuri:

Je Suis Fâchée : (Tamko la nguvu ya Mwanamke)

Ngblimbo : (Mchanganyiko wa Ngoma za jadi na na midundo mpya)

Maïsha : (Matembezi ya ndani yenye uzito wa kipekee)

Je t’aime, je t’adore : (Wimbo uliotikisa Bara nzima).

Urithi wake wa muziki, wenye sura nyingi, ulizunguka mapambano, hisia, kiroho na utambulisho.

Mwanamke, mama, mpenzi
Nyuma ya diva mwenye mwanga mkali, alikuwepo mwanamke mwenye hisia nyeti sana.
ABETI MASIKINI aliishi maisha ya ndoa na Gérard Akueson, ambae alikua pia Producer na meneja mwenye ushawishi, ambao uwepo wake ulikuwa wa mapenzi, kazi na msingi wa safari yake.

Mama wa watoto wane, aliwalinda dhidi ya kelele za umaarufu, akileta uzazi wake katikati ya safari ndefu na zenye kuchosha.

Dhamiri ya Mwanamke kabla ya wakati wake
Kabla hotuba za ukombozi wa mwanamke hazijawa za kawaida, ABETI MASIKINI alikuwa tayari Mwanamke huru, mwenye mikakati, anayejitawala, anayekubali mwili wake, sauti yake, na ndoto zake.
Alifungua njia kwa vizazi vya Wasanii wa k**e wa Congo mfano wa akina Tshala Muana na Mbilia Bel ambao wote wanamtambua k**a Mwanzo wa mapinduzi.

Mwisho wa utawala, kuzaliwa kwa hadithi
Akiwa na saratani, alifariki 28 Septemba 1994 huko Paris, akiwa na umri wa miaka 39 pekee.
Kifo chake kilisababisha mshtuko mkubwa katika Afrika nzima hasa kwenye Inchi zinazo zungumza Kifaransa.

Lakini wahusika wakuu hawafi: hubadilika kuwa hadithi.
Hadi kwa leo hii, ABETI MASIKINI anabaki kuwa ikoni wa Utamaduni, Mwanzo wa jukwaa la kisasa, Sauti iliyofungua njia.

Hitimisho ABETI MASIKINI, Mwanamke aliyebadili jukwaa kuwa ufalme
Abeti Masikini hakuwahi kuwa Muimbaji pekee :
Alibuni nafasi,
Alifafanua upya uwepo wa Mwanamke,
Aliuweka Muziki wa Congo katika kisasa cha muziki wa Dunia.

Urithi wake ni wa mwanamke aliyekuja kutoka utoto uliojeruhiwa, na akajenga kazi ya kifalme, mitindo, mtazamo, na hadithi isiyofutika.

Version Française
ABETI MASIKINI Portrait d’une souveraine, pionnière absolue et conscience féminine du continent
Née Élisabeth Finant, le 9 novembre 1954 à Stanleyville l’actuelle Kisangani, cité traversée alors par les remous d’un Congo en pleine recomposition, ABETI MASIKINI appartient à cette caste rarissime d’artistes dont la trajectoire excède la simple scène musicale pour se muer en mythologie nationale, en étendard identitaire, en affirmation politique.

Fille de Jean‑Pierre Finant, figure politique majeure, martyr de l’indépendance exécuté en 1961, elle grandit dans une atmosphère où dignité, culture, résistance et conscience historique se confondent.
Cette filiation imprime en elle une conviction profonde : l’art n’est jamais un divertissement, mais une présence, une revendication, une manière d’exister face au monde.

Une enfance sculptée par la perte, la discipline et la volonté
Orpheline de père à sept ans, elle est élevée par Maman Alphonsine, femme de courage et de rigueur, qui lui transmet le sens de la pudeur, de l’effort et de la persévérance.
Très tôt, ABETI MASIKINI révèle une voix singulière, chaude, ample, modulée, capable de glisser de la douceur feutrée à l’éclat incandescent.

À l’adolescence, elle s’imprègne des rythmes urbains de Kinshasa, des cadences du soukou, des harmonies de la rumba, mais aussi des influences afro‑américaines qui traversent l’Afrique des années 1970.

L’éclosion d’une étoile : la naissance d’«ABETI MASIKINI»
Au début des années 1970, elle adopte le nom de scène ABETI MASIKINI contraction poétique devenue emblème.
Elle fonde son orchestre, Les Redoutables, et impose un style hybride où se croisent rumba, funk, soul, rythmes traditionnels et orchestrations modernes.

Sa présence scénique magnétique, théâtrale, presque liturgique la distingue immédiatement : ABETI MASIKINI ne chante pas, elle incarne.

En 1973, elle devient l’une des premières artistes d’Afrique subsaharienne à se produire à L’Olympia, exploit renouvelé en 1975 et 1986.
Ces passages, salués par la presse française, installent son nom dans la cartographie mondiale des grandes voix africaines.

Une carrière gouvernée par l’innovation, la rigueur et l’audace
Travailleuse infatigable, ABETI MASIKINI compose, écrit, chorégraphie, dirige son orchestre, négocie ses contrats, conçoit ses costumes.
Elle est l’une des premières femmes d’Afrique centrale à assumer une direction artistique totale, dans un univers dominé par les hommes.

Parmi ses œuvres marquantes :

Je Suis Fâchée : (Manifeste de puissance féminine)

Ngblimbo : (Fusion de rythmes traditionnels et modernité urbaine)

Maïsha : (Ballade introspective d’une intensité rare)

Je t’aime, je t’adore : (Succès continental)

Son répertoire, polymorphe, oscille entre engagement, sensualité, spiritualité et affirmation identitaire.

Une femme, une mère, une amoureuse
Derrière la diva flamboyante se cache une femme d’une grande sensibilité.
ABETI MASIKINI partagea sa vie avec Gérard Akueson, Producteur et Impresario influent, dont la présence fut à la fois passionnelle, professionnelle et fondatrice.

Mère de quatre enfants, qu’elle protège du tumulte médiatique, elle mène sa maternité dans les interstices de tournées harassantes. Cette tension nourrit une mélancolie discrète, perceptible dans ses ballades les plus profondes.

Une conscience féminine avant l’heure
Bien avant que les discours sur l’émancipation ne deviennent courants, Abeti incarne une femme libre, autonome, stratège, assumant son corps, sa voix, son ambition.
Elle ouvre la voie à des générations d’artistes congolaises de Tshala Muana à Mbilia Bel qui reconnaissent en elle une pionnière.

La fin d’un règne, la naissance d’un mythe
Atteinte d’un cancer, elle s’éteint le 28 septembre 1994 à Paris, à seulement 39 ans.
Sa disparition provoque une onde de choc dans toute l’Afrique francophone.

Mais les grandes figures ne meurent pas : elles se transfigurent.

Aujourd’hui encore, ABETI MASIKINI demeure une icône culturelle, une pionnière de la scène moderne, une voix qui a ouvert des brèches.

Conclusion ABETI MASIKINI, la femme qui transforma la scène en royaume
ABETI MASIKINI n’a pas seulement chanté :
Elle a inventé un espace,
Elle a redéfini la présence féminine,
Elle a inscrit le Congo dans la modernité musicale mondiale.

Son héritage est celui d’une femme partie d’une enfance meurtrie, qui a bâti une œuvre souveraine, une esthétique, une attitude, une légende.

BABA L.W.L

17/06/2026
17/06/2026

WENGE MUSICA BCBG 4X4 TOUT TERRAIN
Kinshasa 1989
Alain Mpela
Marie Paul Roi Pelé
Manda Chante
Patient Kusangila
Titina Alcapone
Alain Mwepu
Collégien
Delo Bass

FERRE GOLA SHOW YAKE JIJINI LONDON YAFITWAFERRE GOLA SON CONCERT A LONDRES EST ANNULEShow ya Ferre Gola ililopangwa kufa...
16/06/2026

FERRE GOLA SHOW YAKE JIJINI LONDON YAFITWA
FERRE GOLA SON CONCERT A LONDRES EST ANNULE
Show ya Ferre Gola ililopangwa kufanyika Jijini London kwenye Ukumbi wa Copper Box Arena London (watu 7 500) 11 Julai 2026 limeibua taarifa mbili.
Kwa upande mmoja, kufungwa kwa mauzo ya tiketi kunathibitisha kufutwa kwa sababu ya mwitikio mdogo wa hadhira, jambo lililoonekana k**a pigo kwa Msanii.

Kwa upande mwingine, taarifa rasmi inasema kwamba Show imeahirishwa kutokana na changamoto za maandalizi na uzalishaji, tarehe mpya ikisubiriwa kutangazwa.

Tiketi zote zilizokwisha nunuliwa zitaheshimiwa au zitarudishiwa fedha kulingana na maelekezo yatakayotolewa.

Version Française

Le concert de Ferré Gola à Londres, prévu le 11 juillet 2026, est officiellement annulé
Le spectacle que Ferré Gola devait présenter le 11 juillet 2026 à la Copper Box Arena de Londres (capacité : 7 500 places) fait l’objet de deux communications distinctes.

D’une part, la fermeture de la billetterie atteste une annulation consécutive à une mobilisation insuffisante du public, un revers notable pour l’artiste.
D’autre part, la communication officielle évoque un report motivé par des contraintes organisationnelles et de production, dans l’attente de l’annonce d’une nouvelle date.

Les billets déjà acquis seront maintenus pour la reprogrammation ou remboursés selon les modalités qui seront ultérieurement précisées.

BABA L.W.L

16/06/2026

MWANAMUZIKI JUNIOR KINGOMBE AFARIKI DUNIA PARIS
L'ANCIEN MUSICIEN JUNIOR KINGOMBE EST DECEDE A PARIS

Msanii Junior Kingombe, aliyewahi kutamba ndani ya Groupe Quartier Latin kuanzia mwaka 2002 hadi 2009, ameaga dunia jijini Paris.
Taarifa zinaeleza kuwa marehemu alipoteza maisha kutokana na kiharusi (stroke) kilichosababisha mshtuko wa moyo.

Ameacha alama kupitia solos zake za sauti ndani ya Album Monde Arabe na Danger de Mort, pamoja na wimbo wake Exploit.

Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika tasnia ya muziki wa Kongo, ambako alijulikana kwa kipaji chake na mchango wake wa kipekee.

Junior Kingombe, figure connue pour son passage au sein du Quartier Latin entre 2002 et 2009, est décédé à Paris.
Selon les informations confirmées, l’artiste a succombé à un arrêt cardiaque, consécutif à une attaque cérébrale (stroke).

Il a laissé plusieurs interventions vocales marquantes dans les albums Monde Arabe et Danger de Mort, ainsi qu’un titre intitulé Exploit.

Sa disparition laisse un vide dans la mémoire musicale congolaise, où son talent et son élégance artistique avaient marqué une génération.

Apumzike kwa Amani / Que Son Ame repose en Paix

BABA L.W.L

KOFFI OLOMIDE NA FALLY IPUPA NINI KILICHOTOKEA?KOFFI OLOMIDE ET FALLY IPUPA QUE S'EST IL PASSE ?Wakati ubinafsi wa Msani...
16/06/2026

KOFFI OLOMIDE NA FALLY IPUPA NINI KILICHOTOKEA?
KOFFI OLOMIDE ET FALLY IPUPA QUE S'EST IL PASSE ?

Wakati ubinafsi wa Msanii mwenye hadhi kubwa unapotawala heshima ya utamaduni na taasisi za taifa
Wikiendi iliyopita, katika sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais Félix Antoine Tshisekedi, jukwaa la utamaduni wa Congo lingeweza kutoa ishara ya umoja,upatanisho na Muungano wa Kitaifa kupitia Muziki.
Lakini, kilichotarajiwa kuwa ishara ya umoja kiligeuka kuwa tamasha la huzuni, ambapo hisia binafsi zilishinda maslahi ya pamoja.

01. Kuingia kwa Koffi Olomide ishara yenye tafsiri ilio jaa na Utata
Yasemekana Alipoingia ukumbini hapo kumpongeza Rais, Koffi Olomide akiongozana na Mkewe CINDY LE COEUR, walimkuta Fally Ipupa akiwa tayari Stejini akitumbuiza.
Badala ya kutizama kwa heshima kwa namna gani FALLY IPUPA anavyo imba, yeye KOFFI OLOMIDE na mkewe Cindy waligeuza mgongo, wakikataa kumtazama Fally akiimba kitendo kilicho tafsiriwa k**a dharau ya wazi.

02. Kusita kwa Fally Ipupa hekima ya tahadhari
Rais Tshisekedi, akiwa na furaha, alitamani wimbo Eputsha uimbwe kwa pamoja kati ya Koffi na Fally.
Fally alionyesha tahadhari, akieleza wasiwasi wake juu ya mwenendo mzima wa Mzee Baba usiotabirika.
Baada ya kusisitizwa na wasaidizi wa Rais, FALLY IPUPA alikubali kwa heshima kubwa.
Kitendo hicho kilionyesha ukomavu wa kiungwana kuweka heshima ya Taifa juu ya tofauti binafsi.

03. Mfano wa JB Mpiana na Werrason
JB Mpiana na Werrason waliimba kwa pamoja wimbo Kin e Bouge, wakaleta furaha kwa Rais na wageni wote.
Ilikuwa ishara ya umoja wa kweli wa Muziki wa Congo.

04. Kosa la Koffi Olomide kuvunja taratibu
Wakati Fally alipokuwa akijiandaa kupanda jukwaani, Koffi alibadilisha ratiba kwa hiari yake, akaanza kuimba wimbo wa sherehe ya kuzaliwa na akaunganisha na Wimbo PAPA MOBIMBA.
Kitendo hicho kilionekana k**a njama ya kugeuza macho ya hadhira na kupunguza nafasi ya Fally.
Kwa kufanya hivyo, alipuuzia ombi la wazi la Rais na kuinyima Nchi tukio la kipekee la umoja wa Kisanii.

05. Ugumu wa kizazi cha wazee kukubali kizazi kipya
Hakuna anayeweza kukanusha ukubwa wa kihistoria wa Koffi Olomide.
Ila kwa nini bado ni vigumu kwake kushirikiana na wale wanaoendeleza Rumba ya Congo duniani?
Kutaka kuwa pekee katika mwanga wa jukwaa ni ishara ya ubinafsi unaopunguza hadhi ya uongozi wa Kisanii.
Mzee wa kweli huinua vijana wake, si kuwazuia.

6. Taarifa za kuk**atwa
Baadhi wanasema Koffi alishikiliwa kwa muda na vyombo vya usalama kwa kutomheshimu Rais, madai ambayo Watu wake wakaribu hukanusha vikali.

Hitimisho
Katika tukio hili, Fally Ipupa ameonyesha hekima na heshima kwa taasisi za Taifa.
Koffi Olomide, ni wakati kwake yeye kuelewa kuwa ukubwa wa Msanii hupimwa pia kwa uwezo wa kuheshimu wenzake, mashabiki wake, kadhalika na Viongozi wa Nchi.
Rumba ya Congo inastahili zaidi ya migongano ya ego katika kumbi za Serikali.

Version Française

01. L’entrée de Koffi Olomide un geste aux interprétations multiples
Selon plusieurs témoins, à son arrivée dans la salle pour saluer le Chef de l’État, Koffi Olomide, accompagné de son épouse Cindy Le Cœur, trouva Fally Ipupa déjà sur scène, en pleine prestation.
Au lieu d’observer avec respect la performance de son cadet, Koffi et Cindy se détournèrent ostensiblement, refusant de le regarder chanter un acte perçu par beaucoup comme une marque de désinvolture, voire de mépris.

02. L’hésitation de Fally Ipupa la sagesse de la prudence
Dans une atmosphère festive, le Président Tshisekedi exprima le souhait que le célèbre titre Eputsha soit interprété conjointement par Koffi et Fally.
Fally manifesta d’abord une réserve, évoquant les réactions parfois imprévisibles de son aîné.
Ce n’est qu’après l’insistance des collaborateurs du Chef de l’État qu’il accepta, mû par un profond sens du respect institutionnel.
Ce geste traduisait une maturité exemplaire : placer l’honneur de la République au‑dessus des susceptibilités personnelles.

03. L’exemple de JB Mpiana et Werrason
Dans le même esprit d’unité, JB Mpiana et Werrason unirent leurs voix sur le titre Kin e Bouge, suscitant la joie du Président et de l’ensemble des invités.
Un moment rare de fraternité artistique, salué par tous.

04. L’écart de Koffi Olomide une entorse au protocole
Alors que Fally s’apprêtait à rejoindre la scène, Koffi Olomide prit l’initiative de modifier le programme établi.
Il entonna un chant d’anniversaire, qu’il enchaîna avec Papa Mobimba.
Ce choix, loin d’être anodin, fut perçu comme une manœuvre destinée à détourner l’attention et à réduire la place de Fally dans le déroulement de la soirée.
Ce faisant, il ignora la demande explicite du Chef de l’État et priva la nation d’un moment de communion artistique attendu.

05. Le défi du patriarche face à la génération montante
Nul ne saurait contester la grandeur historique de Koffi Olomide.
Mais pourquoi cette difficulté persistante à cohabiter avec ceux qui, aujourd’hui, portent la Rumba Congolaise au sommet du monde ?
Chercher à monopoliser la lumière, au mépris du protocole et de la courtoisie artistique, révèle une conception réductrice de la grandeur.
Un véritable doyen ne bloque pas la voie à ceux qu’il a inspirés : il les accompagne, il les élève.

06. Les rumeurs d’interpellation
Certains affirment que, suite à son comportement, Koffi Olomide aurait été brièvement retenu par les services de sécurité pour manque de respect envers le Chef de l’État une version que ses proches démentent catégoriquement.

Conclusion
Dans cet épisode, Fally Ipupa s’est distingué par sa retenue et son sens du respect institutionnel.
Quant à Koffi Olomide, il est peut‑être temps de comprendre que la grandeur d’un artiste ne se mesure pas seulement à la longévité, mais aussi à la capacité d’honorer ses pairs, son public et les autorités qui l’invitent.
La Rumba Congolaise mérite mieux que des querelles d’ego dans les salons du pouvoir.

BABA L.W.L

FALLY IPUPA AKIVINJARI JIJINI KINSHASA NA GARI LAKE (Lamborghini Urus SE hybride) lenye thamani ya Milioni Mia Nane na T...
15/06/2026

FALLY IPUPA AKIVINJARI JIJINI KINSHASA NA GARI LAKE (Lamborghini Urus SE hybride) lenye thamani ya Milioni Mia Nane na Thelathini na Saba Shilling.

FALLY IPUPA DANS SA VOITURE (Lamborghini Urus SE hybride) d'une valeur estimée à 310 000 €

Adresse

Avenue D'ORADOUR SUR GLANE
Bonneuil-sur-Marne
94380

Téléphone

33668312952

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lubonji Wa Lubonji publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à Lubonji Wa Lubonji:

Partager