17/04/2024
Hellooo Yaleo Kaliiii....
Kumbe Kuna watu na Viatu Duniani Ambao wasio penda kuona Mafanyikio ya wenzao 👌iyo ni TOp ya kauli Toka kwa Mwanamziki Wakutumainiwa na Anae jitumainia kwenye Safari yake ya Mziki CEO GANSOLIZO AKA MAESTRO SUPU MAN Ni iyo Baada yakufanya EPANENOS s1 Mjini Kwao Uvira kwa ushirika na shule lake alilo somea secondary yake Naku wakosa Baadhi y’a Watangazaji na wapiga Picha ambao ali pata Moyo yaku wa Aliika kwenye siku kuu iyo ambayo ni kwa mara ya Kwanza Mjini UVIRA 🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️ inasikitisha kwa Mara nyingine na inaumiza Moyo kusikiaa Légendaire ao BAOBA dela Music🎶 UVIRA mpaka Mwisho Imesha andikwa kuwa ivyo kwa wale wa nao zowea kupinga imekuwa je Mwana Mziki Afanye Jambo Kubwa itokee MEDIA LINE za nyumbani zipewe Aliko ila zikose kushiriki
Ni wanani wanao Changia kushusha Samaani ya SANAA ya Nyumbani ??????????👌👌👌
sema Neno bien
BORA UZIMA🛸
Mziki Nimeuanza Kwa Majukumu Makubwa kitambo, Azikuwepo Media en ligne ao Wapiga picha ambao leo wana shoot Sasa.
Naona Maendeleo sasa nyumbani UVIRA yana kuwa na iyo ni Moja kwetu kutengeneza ndoto zakufika Mbali kwa kutengeneza Mziki wa nyumbani
😂 ila Nacheka Saaaana nikiwa na Moja Ya Mshangao kuona Media Zote Nilizo zialika Kwenye EPANENOS kwa Hali ya Ushirika zime Goma kuja kuhuzuria Nakuboa KUITANGAZA 😂
Aksaanti Watu wangu wa ngufuuu Kwa uaminifu wenu japo wame Omba tusiwe ila Maombi yenu na sapoti zenu zina nifanya mpaka sasa GANSOLIZO Naendelea kupambana 🙏 🙏
Waliyo Fika wata washuhudia MABAO......🔥INAANZA