07/06/2022
⛔⛔URGENT⛔⛔
Wambea Amkeni Amkeni kume kusha jamani😊😊😊
Mambo vipi wambea wenzangu, ebu nipeni Umbeya😅😅👂👂👀👀
Ivi unamjuwa😅😅? Anaitwa l'ambassadrice de la province du Tanganyika... Ndo uyu ataenda kutu représenter ku concours ... 👏👏👏
RIPOTI
-jamani leo management ya Artiste balienda ku rencontrer ba autorité de la place( ministre de la défense ,ministre de la jeunesse...) walialika ma média 6, lakini awakutualika sisi WAMBEYA😢😢 lakini kwa gisi sisi niwa mbea tulienda ivo ivo😃😃
- tulifika apo na 8h30 ku gouvernorat na tuka ingiya mwa ministre de défense na 11h58😟😟
-kisha kutoka mû bureau Ya ministre ,bâ journaliste wakamuliza manager wa visionnaire team , (Kisha apa tunaenda wapi? Akajibu tuna enda kwa Tcham hôtel kumu rencontrer ministre de la jeunesse ) OK tuka lipa transport zetu benyewe paka kwa Tcham😤😤lakini chose drôle kumbe balikuwa na mpango mwengine wakwenda ku mairie bila kutwambiya 😣😣, bâ journaliste tulifika kwa Tcham hôtel depuis 12h20 tuko tuh nawa tchunga bwima paka 14h 37 njo waka kuja sasa 😥😥😥imaginez!!?
-et puis tuka anza mutchunga ministre de la jeunesse dés 14h paka 16h, kisha ministre akatuambiya awezi kutu rencontrer kule tumufate kesho ku bureau yake😃😃😃, ah mon pays o😅😅😅😅
-après management ikasema basi twende mû charcuterie tuka k**ate ata tchupa Ya maji...après le repas ,c'était obligé management ipatiye média quelques chose Ya transports., chose drôle et amusant walipatiya média zote transports lakini ku tour za umbea kwetu akasema atukualika nyinyi atuwezi tosha lar💸💶💰😭😭, subiri nikamulize kwa PDG , akaenda kumuona lakini akarudiya kutwamviya k**a PDG anasema AKUNA HELA ZAKUMIPA Kwasababu amukualikwa😫😫😃😃😃
Basi tumetoa ripoti zetu 🙌🙌