06/10/2026
"Nimetenda mengi mabaya, nimeharibu jina ya Kanyari, sahii sio wengi wanamtambua jinsi walikua wanamtambua hapo awali. Naomba msamaha kanisa nimeamua kubadilika shida ni pombe huwa inanisumbua lakini leo hii nimebadilika na nitahakikisha Daddy Kanyari amechukua hii kiti ya Kasarani Constituency." Marion Naipei apologizes to Kanyari inside the church.