Luchili Finest

Luchili Finest 📌Master Ceremony (Mc)
📌Decorations & Tents
📌Match commentator|
📌Booking | 0628681903 |

KONGAMANO LA VIWAWATwenzetu bukokwa kwanini ubaki     nyumbani ???   Yes tunawaalika viwawa wote kuhudhuria kongamano li...
13/03/2026

KONGAMANO LA VIWAWA

Twenzetu bukokwa kwanini ubaki nyumbani ??? Yes tunawaalika viwawa wote kuhudhuria kongamano litaanza tarehe 14 March saa mbili asubuhi fika mapema zaidi lakini K**a haitoshi kongamano litaambatana na michezo K**a vile mpira wa Pete kwa wanawake Kati ya viwawa karebejo vs viwawa bomani baada ya hap mpira wa miguu kwa wanawake na baada ya hapo ni football kwa wanaume unakosaje kwa mfano??? kwenye moja na mbili ni sauti ya Luchili finest mjukuu wa bi gaudensi bomani
kalebejo
Following

15/02/2026

With Gharib Mzinga – I just got recognized as one of their top fans!

13/02/2026

Vipi wakuu naweza au nimezingua

MSHIKEMSHIKE: Nini kifanyike kwa klabu za Yanga SC na Azam FC ili ziweze kumaliza katika nafasi mbili za juu kwenye maku...
11/02/2026

MSHIKEMSHIKE: Nini kifanyike kwa klabu za Yanga SC na Azam FC ili ziweze kumaliza katika nafasi mbili za juu kwenye makundi yao CAF?

Tuandikie maoni yako na sisi tutayasoma kwenye kipipindi cha Mshikemshike saa 3:00 usiku LIVE

Kwa wale wapenzi wa movie ya dunia season 2 manyanya anauliza mnataka itoke lini? Ankonzala
05/02/2026

Kwa wale wapenzi wa movie ya dunia season 2 manyanya anauliza mnataka itoke lini? Ankonzala

Chuma hicho you tube tayari
05/02/2026

Chuma hicho you tube tayari

04/02/2026

Ukisogeza kwa mbali unaona sura ya mtu ila ikiwa karibu utaona watu wanavuna chai K**a umeona K**a Mimi tukutane kwenye comment Deejey E Nintysix

Hiki ndicho kikosi kilichosafiri kuelekea morroco Yanga wanaenda Morocco kuwafuata AS FAR…! Kuna OPTIONS tatu tu ili Yan...
04/02/2026

Hiki ndicho kikosi kilichosafiri kuelekea morroco Yanga wanaenda Morocco kuwafuata AS FAR…!
Kuna OPTIONS tatu tu ili Yanga asonge robo fainali ✅

1. Ashinde mchezo huu vs AS FAR anakuwa amefuzu moja kwa moja✍️

2. Asare mchezo huu Vs AS FAR na akashinde vs JS Kabylie kwenye mchezo wa mwisho.

3. Afungwe kwa tofauti ya bao 1 tu na ikiwezekana apate goli la ugenini kisha na ashinde mchezo wake vs JS Kabylie wa mwisho✅

Hizo zote ni namna za yeye kusonga mbele…! Atatoboa na ipi!? Sijui 👊

All the best Wananchi…! Ndio timu pekee ya CAF CL kutoka Tanzania inayoweza kutinga Robo✍️

Watatoboa!?

| 🚨BUBA JAMMEH, Winger kutoka Gilabola ni Mwananchi |Miaka 24, Moja ya wachezaji wenye kasi na maarifa mengi aliyecheza ...
31/01/2026

| 🚨BUBA JAMMEH, Winger kutoka Gilabola ni Mwananchi |

Miaka 24, Moja ya wachezaji wenye kasi na maarifa mengi aliyecheza kandanda kwa muda mrefu Nchini Angola amejiunga na Yanga SC.

Nyota huyu amepita klabu za interclube na Williete de Benguela kabla ya Yanga.

19/01/2026

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Luchili Finest posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Luchili Finest:

Share