15/06/2018
Sally's group of entertainment..
Tumerudi tena....
Zamu hii ni hivi;
Tunao mpango kabambe wa kuchangisha DAMU sehemu tofauti za Tanzania kwa kupitia ligi ndogo za soka mitaani na vyuoni...
Itakuwaje hii...???
ADA YA USHIRIKI.
Hii wala sio pesa.. Kikosi kitachoshiriki ligi hii kitachangia DAMU tu, hapo kitakua kimekamilisha ADA ya ushiriki..
IDADI YA TIMU:
TIMU shiriki zitakuwa kumi tu.
Isipokua k**a waandaaji wanatangaza vinginevyo..
UDHAMINI:
Kila timu itapewa jezi za aina mbili tofauti, na mipira miwili..
MASHARTI MENGINEYO:
TIMU moja iwe na wachezaji kuanzia 20...
MGAWANYO WA ZAWADI:
BINGWA; KOMBE na PESA TASLIMU.
MSHINDI WA PILI:
PESA TASLIMU.
MSHINDI WA TATU:
JEZI NA MPIRA.
Hapo vipi...???
Inaitwa DAMU SALAMA CUP....
Chini ya SALLYS GROUP OF ENTERTAINMENT... SGE.. Twende kazi...