Joeboy Efootball

Joeboy Efootball EFOOTBALL FOR LIFE 🏆

Hili game bhana kila mtu ana akili zake, nimekutana na huyu jamaa division, mashine zote ameziweka nje nikadhani labda a...
02/09/2026

Hili game bhana kila mtu ana akili zake, nimekutana na huyu jamaa division, mashine zote ameziweka nje nikadhani labda atawaingiza badae lakini wapi, licha ya kumfunga 2 :0 kipindi cha kwanza jamaa kakomaa na hao hao 😅

K**a huyo KDB ukimuweka hapo SS kwisha kazi 🙌.

Efootball Concept art 🎨Enzo Fernandez to Manchester City HERE WE GO
01/09/2026

Efootball Concept art 🎨
Enzo Fernandez to Manchester City
HERE WE GO

Watu wanajiuliza kwa nini Konami hawaleti kadi ya Prime Ronaldo, ikizingatiwa kuwa kadi za Messi zimekuwa zikitoka kwa w...
01/09/2026

Watu wanajiuliza kwa nini Konami hawaleti kadi ya Prime Ronaldo, ikizingatiwa kuwa kadi za Messi zimekuwa zikitoka kwa wingi. Je, Konami hawataki pesa? Kadi ya Ronaldo akiwa kwenye ubora wake—alipokuwa Manchester United au Real Madrid—ingewafanya watu wanunue coin kwa kiwango cha juu sana.

Nakumbuka Mwaka 2021 Ronaldo na Messi wote kwa pamoja walikua ambassador wa PES/eFootball 🔥

​Suala lililopo ni kwamba kinachowakwamisha Konami ni masuala ya leseni. Ni rahisi kwa Konami kutoa kadi za sasa hivi za Ronaldo akiwa na Ureno au Al Nassr, lakini kadi zake za zamani zinahitaji ruhusa maalum, fedha nyingi, na makubaliano ya kisheria ambayo huchukua mchakato mrefu. Maswala ya leseni pia inakwamisha kupata card za za wachezaji wengine wa zamani k**a vile Zinedine Zidane na Ronaldo Nazario

Nishaona watu wengi wakisema hii card ya Shevchenko ni Center Forward (CF) bora kuliko wote kwenye eFootball unakubalian...
31/08/2026

Nishaona watu wengi wakisema hii card ya Shevchenko ni Center Forward (CF) bora kuliko wote kwenye eFootball unakubaliana na hilo? 🤔

Ukiachana na Denilison, ni mchezaji gani mwengine kwenye EFootball anaweza kukosa goal hapa🤔.
30/08/2026

Ukiachana na Denilison, ni mchezaji gani mwengine kwenye EFootball anaweza kukosa goal hapa🤔.

[Concept 🎨]Hii k**a ikija  kutokea , tutashuhudia vita ya tatu ya dunia kwenye mechi za division😅.
29/08/2026

[Concept 🎨]
Hii k**a ikija kutokea , tutashuhudia vita ya tatu ya dunia kwenye mechi za division😅.

Huyu  kocha hapana 🙌❌, Anashusha wachezaji ratings sijawahi kuona , Hiyo playing style ya overload nayo haieleweki, sasa...
28/08/2026

Huyu kocha hapana 🙌❌,
Anashusha wachezaji ratings sijawahi kuona ,
Hiyo playing style ya overload nayo haieleweki, sasa sijui tatizo ni kocha au hii style 🚮

Hii ni mpya  🔥 Wakati wa kushambulia ni  Build up wakati wa kukaba ni destroyer .
27/08/2026

Hii ni mpya 🔥 Wakati wa kushambulia ni Build up wakati wa kukaba ni destroyer .

Mbona mpo kimya  kuhusu huyu kocha  na hiyo playing styles mpya ya Overload 🤔Ngoja nijitoe mhanga nitawapa mrejesho.
27/08/2026

Mbona mpo kimya kuhusu huyu kocha na hiyo playing styles mpya ya Overload 🤔

Ngoja nijitoe mhanga nitawapa mrejesho.

Player of the Week (POTW) .
27/08/2026

Player of the Week (POTW) .

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Joeboy Efootball posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share