KFP Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from KFP, Dar es Salaam.

Huu sio mti..Huu ni Mputika💀..Alikatwa kichwa lakini hakufa..Na mimi namlinda😭💍...
Kila SAA NNE 22:00 Usiku namwaga maji💧⚔️

Tupo 108/200 je Wewe ni namba ngapi?

22/05/2026

Miti inaniambia "Nenda nyumbani 🌳" ndege wananiambia "Kaa hapahapa 🐦" sasa sijui nichague kipi😩

19/05/2026

Tangu mti ukatwe..Mpaka leo sina kivuli..Nakaa juani k**a samaki aliyetupwa ufukweni🌵
We ungeamua nini?

18/05/2026

Waliukata kichwa namimi nipo nasikitika huku ndege ananitia Moyo 🌵💀

14/05/2026

Ndege anasema eti tangu huu mti ukatwe..hana pa kulala maana nyumba yake ilikuwa kwenye huu mti..🌳😃

sasa mimi nimsaidieje.🤔



13/05/2026

Leo nimeamua kumfanya mputika aoge kwa lazima🌵😂...
Vp nimezingua au La😃



12/05/2026

Sheria inasema "Kata miti panda mti" lakini watu walikata mti halafu wakakimbia💀
Tumeanzisha kesi⚖️,
- Chupa ya maji ni ushahidi namba moja🥤,
- Ndege ni mashahidi namba mbili🐦

Mimi na mti tuko standby kusikiliza Hukumu.. Suluari ya purple 💜 Ni suti ya mahak**a😂⚖️

Wewe ni Hakimu.. Hukumu gani itolewe?😂

11/05/2026

Amegoma kunywa maji💧..Anataka soda🤔
Lakini Ndege🐦 wananiambia "M-mwagie tu..m-mwagie atakauka"😂😂
Mimi k**a Mfalme wa miti, naomba maoni yenu

1. Nimmwagie =Ashi😭

2. Nisimmwagie=Akauke💀

3. Nimpe soda= Afe mazima🍾



10/05/2026

Nilimnywesha maji mara ya kwanza, akasema eti ni matamu😃

Nikamnywesha mara ya pili akasema eti maji hayaelewi🤔"

Nikamnywesha mara ya tatu akasema eti ni machungu yana chumvi..sasa anataka soda na mimi Sina 😭💀

Ndege wakawa wananicheka🐦😂

Hataki kunywa maji nani anitumie ya soda?😂👇






09/05/2026

Nilitembea umbali mrefu..ili nimnunulie Maji Mputika 💧..Ili nije nimpe Mputika asikauke chaajabu ndege akasema eti hayatoshi🤔

Mputika alimjibu ndege "Mkuu Acha hizo..Bei ya maji imepanda😂😂"

Mimi nikashangaa nikasema "Duuuh! Hata kaburini kumbe kuna mfumuko wa Bei"💀

Comment "MWAGA TU😂 au RUDISHA DUKANI🤔"




08/05/2026

Ndege yupo ananitia Moyo..🐦

Nilikuja kupumzika kivulini nikakuta Mshua kashakatwa kichwa 😂💀

Hata mimi nimesimama hapa na chupa ya Kilimanjaro kumuombea msamaha💧maana jamaa alikatwa kichwa akiwa kazini..Hana Kosa😭🙌
Ama hakika nimepoteza kivuli 🤔

K**a na wewe ushawahi kufika sehemu ukakuta "Package Imeisha" Comment "😂🙌" nikuunge mkono



08/05/2026

Nimesimama hapa..Mahali walipomkata kichwa Mputika wangu..🌵
Walidhani wataua ujumbe..WALIKOSEA.
Damu yake ilikuwa maji..Na maji yamezaa..😭💧
Hii ndio nyumba ya waliokataliwa..Ya wale walioumizwa..Ya wale walioitwa wajinga...Kichwa kimekatwa lakini MIZIZ IPO. NA MIMI NIPO.
K**a umewahi kuumizwa..K**a umewahi kukataliwa, KARIBU. Hapa ndipo tunapoanzia upya. Pamoja.

Comment "💧🕊️" Nikuone. Nikuongeze Team 200.

Saa 22:00 tunamwaga kwa heshima ya shahidi.




Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KFP posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share