21/10/2024
"Nimepoteza kila kitu changu, ni k**a nimepoteza nusu yangu, najihisi nimepoteza mguu wangu mmoja na mkono wangu mmoja. Nimepoteza mtu muhimu kwangu, rafiki yangu tangu zamani, nimeendeleza urafiki mpaka anaaga nilikuwa hospitali mimi, mkewe na mtoto wake"
"Ukiniuliza nitamkumbuka Pembe kwa lipi ni k**a unaniuliza nikifa nitajikumbuka kwa lipi, swali hilo halina majibu kwanguđ nimebaki mpweke nimebaki nusu, nusu yangu nyingine imeondoka nikiwa hapohapo hospitalini"- Mzee Senga