19/10/2025
Mtoto wa Marehemu Dida Shaibu aitwae samira siku ya jana alikuwepo kwenye mahafali shuleni kwao ambapo hivi karibuni atamaliza kidato cha nne lakini pia Mista champagne alikuwepo kumpa faraja mtoto huyo. Kwakuwa alikuwa ni rafiki mkubwa wa mama yake 🥹
Tazama picha zaidi kwenye comments
Mfollow Swahili World