T sports arena

T sports arena Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from T sports arena, Art, Tz, Dar es Salaam.

JANGWANI 🚨 ;Mabingwa wa nchi Yanga wapo mbioni kuk**alisha mazungumzo na Petro de Agosto kwa ajili ta Mshambuliaji Aurel...
08/08/2026

JANGWANI

🚨 ;Mabingwa wa nchi Yanga wapo mbioni kuk**alisha mazungumzo na Petro de Agosto kwa ajili ta Mshambuliaji Aurellio DEPU.

Kinachondela kwa sasa kati ya Yanga na Petro de Agosto ni juu ya mchakato wa malipo ambao Yanga wameomba dau la $500,000 k**a Ada ya kuvunja mkataba wake wa miaka miwili.

Yanga wamempa ruhusa Mshambuliaji Aurellio Depu kufanya mazunguzo na Petro de Agosto.Muda wowote kuanzia Jumamosi Depu ataondoka Tanzania kwenda nchini Angola kwa ajili ya kuk**alisha usajili wake ndani ya kikosi cha Petro de Agosto.

🚨EXCLUSIVE πŸ‘€Upo uwezekano wa mshambuliaji Seleman Mwalimu (20)πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kurejea tena ligi kuu Tanzania bara ⏳Mazungumzo baina y...
08/08/2026

🚨EXCLUSIVE πŸ‘€

Upo uwezekano wa mshambuliaji Seleman Mwalimu (20)πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kurejea tena ligi kuu Tanzania bara ⏳

Mazungumzo baina ya uongozi wa klab ya Wydad AcπŸ‡²πŸ‡¦ na klab inayomuhitaji yamefikia pazuri (zaidi 95%).

Lolote linatokea 🫑

πŸ‡¨πŸ‡© Elie 🀝 Inno πŸ‡¨πŸ‡¬
08/08/2026

πŸ‡¨πŸ‡© Elie 🀝 Inno πŸ‡¨πŸ‡¬

🚨 JUST IN : Mwanetu usikute ndio basi tena. Itakuja kupigwa 'THANK YOU' juu kwa juu baadaye huko.
08/08/2026

🚨 JUST IN : Mwanetu usikute ndio basi tena. Itakuja kupigwa 'THANK YOU' juu kwa juu baadaye huko.

Jezi bora. Wachezaji bora 🀍πŸ”₯
08/08/2026

Jezi bora. Wachezaji bora 🀍πŸ”₯

🚨Hawa Gaborone Siwaoni Wakienda Kutoa Ushindani Wowote Kwa Yanga Sc, Simba Sc Niuzembe Wao Tu K**a Waliweza Kushinda Uge...
08/08/2026

🚨Hawa Gaborone Siwaoni Wakienda Kutoa Ushindani Wowote Kwa Yanga Sc, Simba Sc Niuzembe Wao Tu K**a Waliweza Kushinda Ugenini Goli Tatu Nawaona Yanga Sc Wakienda Kuwafunga Goli Nyingi Huko Huko Nyumbani Kwao.

Kwa Kikosi Hichi Ambacho Yanga Sc Wameufanya Sioni Timu Ya Kuizuri Kwenye Hizi Hatua Za Awali, Hata K**a Yanga Sc Wakianza Na Wachezaji Wa msimu Uliopita Wanashinda Vizuri Tu Kwenye Hizi Hatua.

08/08/2026
🚨K**a Yanga SC itaachana na Depu tafsiri yake kwenye safu yao ya ushambuliaji wataanza msimu wakiwa na sura mpya kule mb...
08/08/2026

🚨K**a Yanga SC itaachana na Depu tafsiri yake kwenye safu yao ya ushambuliaji wataanza msimu wakiwa na sura mpya kule mbele, tayari Dube ameondoka, ni ukweli kwamba Depu na Dube walishatengeneza uwiano mzuri wa kufunga, ni k**a walishakaa kwenye njia sahihi.

Hatari ya kuanza na Washambuliaji wapya watupu pengine wao washambuliaji watahitaji kuzoea mazingira kwanza, rejea kilichotokea kwa Simba SC baada ya kuachana na Moses Phiri na Jean Baleke katika dirisha moja la usajili, pengine yale yalikuwa ni maamuzi mabovu kuwahi kufanyika.

Yes Yanga wamesajili quality, lakini si kweli wanawapa Guarantee ya wao kufanya vizuri, kuna wakati huu Mpira ni zaidi ya ambavyo sisi tunautazama, nadhani ni busara k**a Yanga watambakisha Depu, inaweza kuwasaidia akina Shalulile na genge lake kwa sababu tayari watamkuta mfungaji wa Klabu yupo pale, yule ambae alikuwa na msimu bora uliopita.

Pengine swali linaweza kuwa vipi Clement Mzize? Yes kwa msimu uliopita Mzize alikuwa nje muda mwingi, pengine hata yeye atahitaji kuingia kwenye timu taratibu na kutobebeshwa mzigo mkubwa mwanzoni mwa msimu.

Nimejarbu kuwaza kwa sauti πŸ€”.

YANGA SC WAMEKAMILIKA SANA ENEO LA KIUNGO MKABAJI πŸ”°πŸ”₯Ile kiu ya kiungo mkabaji pale Yanga SC imepatiwa ufumbuzi πŸ™ŒπŸ”₯This ti...
08/08/2026

YANGA SC WAMEKAMILIKA SANA ENEO LA KIUNGO MKABAJI πŸ”°πŸ”₯

Ile kiu ya kiungo mkabaji pale Yanga SC imepatiwa ufumbuzi πŸ™ŒπŸ”₯

This time around Yanga SC wanao hawa wachezaji katili 2 kwenye eneo la kiungo mkabaji uwanjani πŸ™ŒπŸ”₯

Duke Abuya βœ…
Huyu jamaa ni mashine ya kazi uwanjani, hacheki na mpinzani na hajui kulemba mpira mchezoni , anakaba hatari πŸ™ŒπŸ”₯

Fred Duval Ngoma βœ…
Ni hatari kabisa uwanjani ukisikia kiungo mbishi basi ndio huyu jamaa, ni katili na yupo serious sana na kazi zake uwanjani, anakaba mpaka upepo πŸ™ŒπŸ”₯

Hakika hili litakuwa ni eneo gumu sana kwa wapinzani kupita au kulitawala uwanjani πŸ™ŒπŸ”₯

Na huenda likawa eneo ambalo litawatesa sana makocha wa timu pinzani wakati wakufanya analysis kabla ya mechi πŸ™ŒπŸ”₯

Tarehe 12 sio mbali tutawaona vizuri uwanjani πŸ™ŒπŸ”₯

Address

Tz
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when T sports arena posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category