30/05/2026
๐๐๐๐ ๐ฌ ๐๐จ๐๐๐๐๐๐
๐จ ; Uongozi wa Mabingwa wa nchi Yanga,Upo tayari kumrudisha kocha wao wa Viungo Helmy Gueldich k**a matakwa ya kocha Nassredine Nabi atajiunga na Yanga.Kwenye masharti ya Nabi ambayo ametoa Kwa Viongozi wa Yanga ni kumrudisha kocha wa Viungo Helmy Gueldich kwenye bechi lake la ufundi.
;Yanga kwenye mazungumzo yao wanataka kukamilisha Ujio wa Nabi kabla Ligi Kuu haijaisha ili kumpa wigo mpana wa kufanya maamuzi kwenye Usajili mpya wa msimu ujao k**a Nabi atakubali tena kurejea ndani ya Jangwani.