Bongo List

Bongo List Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bongo List, Arts and entertainment, Tabata, Segerea, Dar es Salaam.

Ukurasa huu unakuletea rankings na orodha mbalimbali za kuvutia kutoka Bongo na nje, kama Top 10, Top 30 na Top 100 za burudani, watu na matukio, kwa njia fupi na rahisi kusoma

Wangapi tunamkubali Diamond Platnumz ?Gonga like  hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
23/06/2026

Wangapi tunamkubali Diamond Platnumz ?

Gonga like hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡

Kwani sisi ni Twiga? πŸ˜‚
22/06/2026

Kwani sisi ni Twiga? πŸ˜‚

Huu ndio muonekano mpya wa Zuchu. Tupe maoni yako!
21/06/2026

Huu ndio muonekano mpya wa Zuchu. Tupe maoni yako!

Unamkumbuka nini ukiona picha k**a hii?
21/06/2026

Unamkumbuka nini ukiona picha k**a hii?

Hahahahahaha..ubwabwa wa ndimu πŸ˜‚
20/06/2026

Hahahahahaha..ubwabwa wa ndimu πŸ˜‚

Picha inaongea, Kipindi kile urafiki ulikua ni wa kweliJe umemtambua nani hapo kwenye picha? Tuambie
20/06/2026

Picha inaongea, Kipindi kile urafiki ulikua ni wa kweli

Je umemtambua nani hapo kwenye picha? Tuambie

Baada ya msanii Harmonize kuachana na Kajala Masanja, aliendelea kutumia muziki wake kuelezea hisia zake kupitia wimbo w...
19/06/2026

Baada ya msanii Harmonize kuachana na Kajala Masanja, aliendelea kutumia muziki wake kuelezea hisia zake kupitia wimbo wake Mtaje (2021), ambao ulionekana kuwa na ujumbe wa kumbembeleza.

Wimbo huo uligusa hisia za mashabiki wengi, hasa kutokana na baadhi ya mistari yake k**a β€œmwambieni mwanangu Paula mimi nampenda mamae,” ambayo ilitafsiriwa k**a ujumbe wa moja kwa moja kwa familia na mahusiano yao yaliyopita.

Wimbo huo uliendelea kuibua mijadala mitandaoni kutokana na uhusiano wa karibu uliokuwepo kati ya Harmonize na Kajala wakati huo.

Kuna kipindi msanii Harmonize alimtangaza Kajala Masanja kuwa sehemu ya usimamizi wa shughuli zake pamoja na kusaidia ba...
19/06/2026

Kuna kipindi msanii Harmonize alimtangaza Kajala Masanja kuwa sehemu ya usimamizi wa shughuli zake pamoja na kusaidia baadhi ya mambo ndani ya Konde Music Worldwide.

Hatua hiyo ilizua mjadala mkubwa mitandaoni, baadhi ya mashabiki wakionyesha kushangazwa na nafasi hiyo kwa Kajala, wakidai huenda hana uzoefu wa moja kwa moja katika usimamizi wa kazi za muziki.

Wengine waliilinganisha hatua hiyo na msanii wa Nigeria Wizkid, ambaye anashirikiana kwa karibu na meneja wake Jada Po***ck, uhusiano ambao umehusishwa pia na mafanikio yake makubwa ikiwemo ushindi wa tuzo za Grammy Awards.

Ingawa Kajala hakushikilia nafasi hiyo kwa muda mrefu, bado anabaki kuwa miongoni mwa watu waliowahi kuhusishwa kwa karibu na Harmonize katika upande wa kazi na mahusiano ya kikazi.

Ikiwa ni miaka 17 tangu aanze kujihusisha rasmi na muziki, Diamond Platnumz anaendelea kushikilia rekodi ya kuwa miongon...
19/06/2026

Ikiwa ni miaka 17 tangu aanze kujihusisha rasmi na muziki, Diamond Platnumz anaendelea kushikilia rekodi ya kuwa miongoni mwa wasanii waliotwaa tuzo nyingi zaidi za Tanzania Music Awards katika historia ya Bongo Fleva.

Hadi sasa, msanii huyo ambaye pia ni mwanzilishi wa WCB Wasafi, ameripotiwa kushinda zaidi ya tuzo 22 za TMA, rekodi ambayo bado haijafikiwa na msanii mwingine yeyote nchini Tanzania.

Mafanikio hayo yanaendelea kumuweka Diamond miongoni mwa wasanii walio na ushawishi mkubwa katika muziki wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Huyo kijana anayeonekana kwenye picha hiyo ndiye mpenzi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Yammi.Anajulikana kwa jina la Ahm...
19/06/2026

Huyo kijana anayeonekana kwenye picha hiyo ndiye mpenzi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Yammi.

Anajulikana kwa jina la Ahmed, na inasemekana ndiye aliyeandamana na Yammi katika safari yao ya Dubai kipindi ambacho msanii huyo alikuwa akishare picha nyingi akiwa nchini humo.

Uhusiano wao umekuwa ukivutia hisia za mashabiki mitandaoni kutokana na kuonekana pamoja mara kadhaa kwenye matukio mbalimbali.

Address

Tabata, Segerea
Dar Es Salaam
8309

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo List posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share