05/07/2026
Watu walioacha maisha ya ushoga na kujitolea au kujifanya kumtumikia Mungu ni pamoja na waandishi k**a Rosaria Butterfield na Becket Cook, pamoja na mchungaji Christopher Yuan. Na wengine wengi hapa Tanzania.
SWALI KWANINI WAKIMBILIE KANISANI BADALA YA MSIKITINI.⁉️
Hapa kuna mifano ya watu mashuhuri waliobadilika kutoka katika mtindo huo wa maisha na sasa wanamtumikia Mungu:
1️⃣ ROSARIA BUTTERFIELD: 🇺🇲
Awali alikuwa profesa wa chuo kikuu, mwanaharakati wa kutetea haki za mashoga (LGBT), na aliishi maisha ya ushoga kwa miaka mingi akiwa k**a Bottom (Yani anaye ingiliwa)
Baada ya kukutana na Wakristo na kusoma Biblia kwa kina, alimpa maisha yake Yesu Kristo nakukili kuwa ni Bwana na mwokozi.
2️⃣ BECKET COOK: 🇺🇲
Alikuwa mbunifu maarufu wa mitindo (fashion designer) na muigizaji huko Hollywood aliyeishi maisha ya ushoga.
Baada ya kuhudhuria ibada kanisani na kupata uzoefu wa kiroho, aliamua kuacha mtindo huo na sasa anazungumza duniani kote akishuhudia neema ya Yesu Kristo.
3️⃣ CHRISTOPHER YUAN: 🇨🇳🇺🇲
Alikuwa kijana aliyefungwa jela kwa makosa ya mihadarati na aliishi k**a shoga.
Akiwa gerezani alimpokea Yesu, na leo ni mwalimu wa Biblia, mwandishi, na profesa msaidizi wa chuo cha Theologia (Moody Bible Institute) nchini Marekani.
4️⃣ DEUNDRAE COCKERELL: 🇺🇲
Kijana aliyekuwa kiongozi wa sifa (worship leader) ambaye aliwahi kuangukia kwenye maisha ya ushoga kabla ya kurudi kikamilifu kwa Kristo na kushuhudia nguvu za Mungu za kubadilisha maisha.
5️⃣ Philemon Aggrey: 🇹🇿
Agrrey alikuwa shoga kwa miaka mingi sana, akiwa upande wa bottom yani yule anaye ingiliwa na wanaume.
Alipata neema ya Mungu, kwa sasa anaishi maisha ya wokovu k**a mkristo mtiifu na ameachana kabisa na historia yake ya awali ya kujihusisha na ushoga.
6️⃣ AMOSI (ANTI ASU) 🇹🇿
Ni mwanamume wa ambaye alipata umaarufu mkubwa kwenye mitandao na vyombo vya habari nchini kutokana na historia yake ya kujihusisha na vitendo vya ushoga, kuishi k**a mwanamke, na hata 'KUOLEWA' na wanaume wenzake kadhaa.
Alianza tabia hizo akiwa mdogo sana, akawa maarufu kwa jina la 'AUNT ASU' kwa sababu ya matendo na muonekano wake wa k**e (ikiwemo kujitoboa masikio na kujaribu kutafuta matibabu ya kukuza matiti).
👉Aliwahi kuolewa na wanaume wengine nakuachika.
Kwa sasa ametangaza kuacha ushoga nakuanza kumtumikia Mungu akiwa k**a muinjilist.
SWALI KWA MUDA WOTE HUO WA MIAKA KARIBU 20 MPAKA 25. WANAWEZA KWELI KUACHA KABISA IYO TABIA, AU NDIO KWA SIRI SIRI ZEGE LINAKOLOGWA.
VIPI KUHUSU MAUMBILE YA NYUMA YANARUDI, AU NDIO UKIJAMBA MAVI, AKIKOHOA KIDOGO USHUZI ☺️😊