30/04/2026
HABARI, JUMUHIYA YA WANAFUNZI WANAOSOMA SAYANSI YA SIASA UDSM (DUPSA)* Kwakutambua nafasi yetu k**a vijana katika ujenzi wa taifa, tumeandaa mdaharo wa wazi kwaajili ya kufanya tathimini ya wizara ya maendeleo. *MADA ni SIKU 166 ZA KUANZISHWA KWA WIZARA YA MAENDELEO YA VIJANA: SERA NA MIKAKATI YA WIZARA IMEFANIKIWA KWA KIASI GANI KUTAFSIRI MATATIZO YA VIJANA NA KUASHIRIA SULUHU YA KUDUMU*. Hivyo basi tunapenda kuwakaribisha nyote katika mdahalo huko utakaofanyika 📆*Tarehe:02 May 2026, Jumamosi* 📍*Mahali: Theatre 1* ⏰️*Muda: saa 3:30 asubuhi-12:30 mchana* . Wewe k**a mdau wa maendeleo ya kijana unakaribishwa sana kutakuwa na wazungumzaji mashuhuri kabisa ambao watachambua na kuelezea kiundani zaidi. Usipange kukosa *NYOTE MNAKARIBISHWA*